Uislamu ni tofauti na wengi tunavyouchukulia: Haya ni mambo ambayo watu walielewa tofauti kuhusu uislamu


Huu ndio uislamu na hawa ndio waislamu kimatendo
 
Umeelezea vizuri.Allah akubariki.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Waliofanya hivyo sio waislamu soma vizuri hiyo habari.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Mathayo 10:34-39 BHN​

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake. “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili.
 
Hii habari imepotoshwa.Waliandamana kutaka wajengewe Shule,nyumba za ibada zipo nyingi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hapo kwa Aisha umeperaza paraza. Hebu elezea vizuri alimuoa Aisha na kisha kumuingilia huku Aisha akiwa na umri gani?
Maria mama wa Yesu,aliolewa akiwa na miaka 13,Wakati Joseph aliyemuoa alikuwa ns miaka 90.Watu wa mashariki ya kati,wanakula nyama na maziwa,wanakuwa na afya,usifananishe na watu wa Afrika ,wanaokula ugali na chumvi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yesu anasema
"Msidhani nimekuja kuleta amani duniani,sikuja kuketa amani bali Upanga":
Matthew 26:39-46
Hawa wanafuata maagizo ya Yesu kwa vitendo,ili wapate uzima wa milele

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Yesu anasema
"Msidhani nimekuja kuleta amani duniani,sikuja kuketa amani bali Upanga":
Matthew 26:39-46
Hawa wanafuata maagizo ya Yesu kwa vitendo,ili wapate uzima wa milele

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Halafu "mungu" wenu huyu alikua anafanyia wavulana uchafu sana
MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245
 
Wacha kudanganywa,na kudanfanyika,kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji.Qur'an nzima imempinga na kumlani Shetani,ukianza kusoma Qur'an unaanza kumlani Shetani,hakuna kitabu cha dini yoyote kinachomlani shetani,ila Qur'an tu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Shetani aandike Qur'an halafu ajipinge mwenyewe

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Aisee hao watu ni wabaguzi asikwambie mtu nina experience ya kutosha nlisoma shule yenye mrengo huo asilimia kubwa ni wao wachache tulikua dini zingne nlisoma siku 65 tu nlikimbia shule!
Ukiona mahali Panasonic ubaguzi,ujuwe wewe ndio mbaguzi.Mwizi hufikiria kila anayemuona ni mwizi kama yeye.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hizo ni propaganda tu, wanauwana wenyewe wenyewe kikabila hko, wanasingizia Waislam

Nasikia Uganda huko kuna mpaka vijiji wanakula nyama za watu. Sasa Muislam akitaka kuliwa nyama au nduguye kaliwa nyama akienda kuuwa wala watu inakuwaje hapo?
Hawana hoja,wanabadilisha habari.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
kujihami unajihami kwa kuua mkuu na kuondoa fitna unaondoa kwa kuua, kujitetea unajitetea kwa kuua ? sidanganyiki
Msikilize yesu
"Msidhani nimekuja kuleta amani duniani,sikuja kuleta amani bali upanga"
Matthew 10:34-36
Hao wanamfuata Yesu,kwa vitendo,ili wapate uzima wa milele.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sio salamu alaykum ni assalam alaykum sitochangia kitu umenza vibaya
 
Hapo namba 3. Kiukweli mudi alikuwa mpenda ngono, alimuoa dogo wa miaka 6, alimuoa Bibi wa miaka 40, akaoa wanawake 11. Huyo si mpenda ngono?
Hebu Rudi ueleze vizuri hii point.
 
Sio kweli umeandika uongo mtupu
University ya kwanza Afrika aliyeanzisha ni mwanamke wa kiislam

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Kumbe mimi ndo nilikuwa sijaelewa, kwa vile M23 inauwa basi waislam nao wana
haki ya kuua.

Ndomana kuna makundi mengi ya waislam, osama aliua watu zadi ya elfu tatu tena siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…