Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto na makahaba, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
 
Ni upuuzi mtupu, wanajiona ni kundi dogo lenye kuhitaji kuhurumiwa kila nyanja. Halafu ni wabaguzi balaa mara utawasikia wakiitana waislam, waislam, ndugu waislam kitu ambacho huwezi kukisikia kwa wakristo wakiitana hadharani wakristo, wakristo ndugu wakristo kana kwamba nchi hii ni ya wakristo pekee. Hukuti taarifa kuwa wakristo wadai hili na lile. Hawa ndugu dini yao inawaathiri vibaya wanajisikia kuonewa na kukandamizwa hata duniani pia kuna upuuzi huo
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela


Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa


Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.


Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu


Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Naunga hoja
 
Acheni unafiki. Maaskofu wenu na mapadri walikua wapi wakati miili ikiokotwa kwenye viroba. Shida yenu waisilamu wakiongoza hii nchi mnakua na vinyongo sana. Acheni roho mbaya hamjakatazwa kukosoa ila hizo mambo za udini huwa mnaanzisha wenyewe. Hebu nikuulize swali hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje ushungi?. Hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje uzanzibar?. You guys mna roho mbaya sana
 
Moja ya mafundisho ya Uislam ni kwamba,mmoja wenu akitenda dhambi.nanyi mkikaa kimya,mtahusika pia.

Ni mwislamu yupi dhambi inatendeka anaikubali?
 
Acheni unafiki. Maaskofu wenu na mapadri walikua wapi wakati miili ikiokotwa kwenye viroba. Shida yenu waisilamu wakiongoza hii nchi mnakua na vinyongo sana. Acheni roho mbaya hamjakatazwa kukosoa ila hizo mambo za udini huwa mnaanzisha wenyewe. Hebu nikuulize swali hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje ushungi?. Hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje uzanzibar?. You guys mna roho mbaya sana
Umesema kweli kabisa, ushungi na kanzu havipo kwenye sera za vyama wala katiba
 
Acheni unafiki. Maaskofu wenu na mapadri walikua wapi wakati miili ikiokotwa kwenye viroba. Shida yenu waisilamu wakiongoza hii nchi mnakua na vinyongo sana. Acheni roho mbaya hamjakatazwa kukosoa ila hizo mambo za udini huwa mnaanzisha wenyewe. Hebu nikuulize swali hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje ushungi?. Hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje uzanzibar?. You guys mna roho mbaya sana
Kuhusu USHUNGI, kwa twambie Quran imeagiza hilo katika Aya Gani? Mhe Rais kaamua kujipatia vazi rasmi baada ya kupata positions za juu; hapo mwanzoni Wala hakuwa anavaa USHUNGI. Hata Nyerere alijiamria kuvaa Chuoni Lai, kama vazi rasmi. Sasa tusije sema ati Mhe ndyo Muislam kindakindaki.
Wewe hujui tu. Wenzenu wanaojua Quran vizuri wamaisha baini kuwa siyo takwa la Quran. Serikali ya Saudi Arabia wamepiga marufuku wanafunzi katika levels zote kuvaa Hijabu. Huko Iran wakina mama wameigomea kuvaa Hijabu na sasa Madikiteta wa Kiayatolah wameua na kuwafunga watu ili kuilazimishia Hijabu. Mhe Rais akiwa ni mpigania wa haki za wanawake analijua hilo.

 
Kuhusu USHUNGI, kwa twambie Quran imeagiza hilo katika Aya Gani? Mhe Rais kaamua kujipatia vazi rasmi baada ya kupata positions za juu; hapo mwanzoni Wala hakuwa anavaa USHUNGI. Hata Nyerere alijiamria kuvaa Chuoni Lai, kama vazi rasmi. Sasa tusije sema ati Mhe ndyo Muislam kindakindaki.
Wewe hujui tu. Wenzenu wanaojua Quran vizuri wamaisha baini kuwa siyo takwa la Quran. Serikali ya Saudi Arabia wamepiga marufuku wanafunzi katika levels zote kuvaa Hijabu. Huko Iran wakina mama wameigomea kuvaa Hijabu na sasa Madikiteta wa Kiayatolah wameua na kuwafunga watu ili kuilazimishia Hijabu. Mhe Rais akiwa ni mpigania wa haki za wanawake analijua hilo.

Basi hapo watumwa wa utamaduni wa mwarabu wanaumia balaa.Utawasikia Ali kiba ni mcha mungu kisa tu anavaa baraghshia,we imba bongofleva,singeli..lakina kumbuka kuvaa msuli,baragashia...we ni ustaadh tayari!
 
Mimi katika maisha yangu nimefaidika sana wakati wa Awamu za Maraisi Waislamu.

Na nilipenda sana vipindi vyao vilikuwa vya fulsa na Pesa.

Kwakweli sikuwa wa kujitegemea katika awamu ya Nyerere lakini nilisikia hata sabuni zilikuwa za shida
Watu walipanga foleni kwenye maduka ya ule unga wa njano.

Na Democrasia haikuwepo
Ninacho msifu Nyerere ni kuondoa Ukabila na Udini.

Wakati wa Mkapa hali ilikuwa mbaya sana kwangu kipesa.
Wakati wa Magufuri ndio kabisa pesa hakuna na Uhakiki kila kukicha. Ili kufukuza wafanyakazi kwa kuwaonea tu.

Maraisi Waislamu wamefanya vizuri sana.
Hata huyu aliyepo. Namwomba tu Akubali kuurekebisha Mkataba wa DP World mambo yatakuwa mazuri tu.
 
Ni upuuzi mtupu, wanajiona ni kundi dogo lenye kuhitaji kuhurumiwa kila nyanja. Halafu ni wabaguzi balaa mara utawasikia wakiitana waislam, waislam, ndugu waislam kitu ambacho huwezi kukisikia kwa wakristo wakiitana hadharani wakristo, wakristo ndugu wakristo kana kwamba nchi hii ni ya wakristo pekee. Hukuti taarifa kuwa wakristo wadai hili na lile. Hawa ndugu dini yao inawaathiri vibaya wanajisikia kuonewa na kukandamizwa hata duniani pia kuna upuuzi huo
Vilaza sana hawa watu. Ubaguzi ndiyo jadi yao
 
kwani hujui hawa ni watu wenye mahitaji maalum[emoji28][emoji28][emoji28]”wape nafasi”.!!!
 
Back
Top Bottom