Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

Kuna Dada huko Majini yamempanda amekuja anatusumbua mno.....
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Mnaolilia ni nyinyi.Waislamu wamepiga hatua miaka mingi tu.Angali Ismailiya Islsmic Community,dhule za Tambaza na Mzizima walijenga wao,!!hospital Agha Khan,University ya, Agha Khan,hospital ziko Tanzanis nzima.Bado Istiqama na Direct Aid.Bado BAKWATA,wana mashule yao zaidi ya 60.
Screenshot_2023-08-01_080613.jpg
Screenshot_2023-08-01_075219.jpg
Screenshot_2023-08-01_080557.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2023-08-01_075219.jpg
    Screenshot_2023-08-01_075219.jpg
    30.2 KB · Views: 8
Acheni unafiki. Maaskofu wenu na mapadri walikua wapi wakati miili ikiokotwa kwenye viroba. Shida yenu waisilamu wakiongoza hii nchi mnakua na vinyongo sana. Acheni roho mbaya hamjakatazwa kukosoa ila hizo mambo za udini huwa mnaanzisha wenyewe. Hebu nikuulize swali hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje ushungi?. Hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje uzanzibar?. You guys mna roho mbaya sana
Huu ndio ukweli.Na wanaona wivu kwa vile wanawake wao wanatembea kichwa wazi na kuvyaa nyele za maiti,wenywe wanaita Wigi.
 
Ni upuuzi mtupu, wanajiona ni kundi dogo lenye kuhitaji kuhurumiwa kila nyanja. Halafu ni wabaguzi balaa mara utawasikia wakiitana waislam, waislam, ndugu waislam kitu ambacho huwezi kukisikia kwa wakristo wakiitana hadharani wakristo, wakristo ndugu wakristo kana kwamba nchi hii ni ya wakristo pekee. Hukuti taarifa kuwa wakristo wadai hili na lile. Hawa ndugu dini yao inawaathiri vibaya wanajisikia kuonewa na kukandamizwa hata duniani pia kuna upuuzi huo
Upupu tu and nothing else umeandika.....you've tried to express your hate through keyboard!

Sasa kuna shida gani mtu akisema ndugu zangu?? Kwahiyo neno "ndugu zangu" nalo unalichukulia serious namna hiyo?? Kwani umekatazwa kulitumia hahaa

Hee jamani, nikiongea na wachaga wakwetu nisiwaite ndugu zangu wachaga?? Ama ni Mara ngapi president magufuli alikuwa akilitumia neno ndugu zangu?? Kwani kuna ubaya gani??

Dini yetu imejengwa katika upendo ndugu yangu LOTH HEMA

Kumuita mtu tu ndugu yangu(say) mbowe tayari respect na mahaba ndani yake!
 
Mnaolilia ni nyinyi.Waislamu wamepiga hatua miaka mingi tu.Angali Ismailiya Islsmic Community,dhule za Tambaza na Mzizima walijenga wao,!!hospital Agha Khan,University ya, Agha Khan,hospital ziko Tanzanis nzima.Bado Istiqama na Direct Aid.Bado BAKWATA,wana mashule yao zaidi ya 60.
View attachment 2704488View attachment 2704492View attachment 2704494

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Aisee Leo huu Ismailia unawaita Waislam!! Na ahamadiya nao unawakubali? Jamani nimemuuliza hilo kwa sababu Hutasikia ismailia, Ahamadiya na kwa kiasi kikubwa Shia wamejilipua au hata wanaleta vurugu kwenye jamii. Ila ni WASUNNI ndyo Janga la Dunia hii. Mfano tu ni huko Nigeria na Pakstani
 
Mimi katika maisha yangu nimefaidika sana wakati wa Awamu za Maraisi Waislamu.

Na nilipenda sana vipindi vyao vilikuwa vya fulsa na Pesa.

Kwakweli sikuwa wa kujitegemea katika awamu ya Nyerere lakini nilisikia hata sabuni zilikuwa za shida
Watu walipanga foleni kwenye maduka ya ule unga wa njano.

Na Democrasia haikuwepo
Ninacho msifu Nyerere ni kuondoa Ukabila na Udini.

Wakati wa Mkapa hali ilikuwa mbaya sana kwangu kipesa.
Wakati wa Magufuri ndio kabisa pesa hakuna na Uhakiki kila kukicha. Ili kufukuza wafanyakazi kwa kuwaonea tu.

Maraisi Waislamu wamefanya vizuri sana.
Hata huyu aliyepo. Namwomba tu Akubali kuurekebisha Mkataba wa DP World mambo yatakuwa mazuri tu.
Hili lina ukweli mkubwa mno, wagalatia huwa wana shida kubwa pahala!
Kale karoho kakupenda kuwakunjia watu wasipate mafanikio makubwa kapo sana!
Yule Mzee wetu wa Butiama alikuwa anakunja mno halafu anazisingiza kujenga usawa.!
 
Hawa watu ni janga Kwa taifa
Jana FaizaFoxy kawabadilikia wenzie kama hawajui hawa watu niwabaguzi mno nawanapenda kutafuta huruma sijui wapoje!?
Bora umeongea kabisa....
Shida ya waislam mpaka sasa hakuna kitabu wanacho kiamini asilimia 100 hata Quran yenyewe hawaimini mfano ukisoma kurani ilio tafsiriwa na imam Abdalaaha Farsey kuna Aya wanazikataa kuwa haziko sawa .

ukisoma ilio tafsiriwa na Barwahan kuna aya wanazikataa wanasema haziko sawa ukisoma Ibn Kathir vivyo hivyo hawaikubali aya zote ukienda vitabu vya Hadithi vivyo hivyo watakwambia baadhi wanazikubari baadhi hazikubariki vitabu vyote vya hadithi hakuna hata kimoja wanacho kikubari ukiuliza bible watakwambia biblia ni kitabu cha uongo lakini papo hapo kuna aya wanazikubari ndani ya bible ukiwambia kama biblia hii ni fek leteni org mlio nayo hawana ukiwauliza mnaamini vitabu vingapi

watakwambia 4 yaan Taurat ,Zaburi , Injiri na Quran ukiwambia haya onyesheni Taurat Zaburi na Injiri viko wapi vitabu hivyo hawana na hawajui na wala hawavijui lakini wanarudi tena kusoma kwenye biblia wanayo ikataaa kwakweli tukisimamia ukweli bila ushabiki uislam sio din ya MUNGU wa mbinguni bali ni dini ilio jaa ujanja ujanja na ni mawazo ya watu na yanalindwa na lugha
Akina Ndg. kweli kabisa hawa watu tabia yao ya kulia llia ni kila mahali waliko. Ulaya na Marekani wamekaribishwa kwa kuwaonea huruma, lakini agenda yao ya islamization bado wanaishikilia. mfano Uingereza mtu akikosoa kidogo mtume, Allah na quran yao hawakawii kukimbilia kuwa this is islamophobia. lakini wao wanashupalia na mpaka wakafanya Maandamano ya vurugu UK kushinikiza sharia ya Blasphemy itumike Uingereza; ambapo ikikubalika inamaana ukimsema vibaya Mohammad=Blasphemy.
Hapa jana tuliweka ule UZI wa "Je Unajua kuwa Majina Matano kati ya 99 Waislam wanasema are the Beautiful Names of Allah, yanathibitisha kuwa ALLAH ni Shetani Mwenyewe?" Walelia Poo kwa Modes
Hapa chini nawawekea VIDEO FUPI TU ambayo tuliwapiga nayo kwenye mshono mpaka wakalia poo.
 
Hizi kelele unazosikia wala sio msimamo wa waislamu, isipokuwa kuna kakundi kanatumika kutoka sehemu flani nyeti kujibebesha bendera as if they are spokesperson wa waislam ili Ku naturalise hali.
Nikweli, mim Ni musislam nanashindwa keelewa Hii kujitetea kwenye uislam kumetokea wapi
 
Upupu tu and nothing else umeandika.....you've tried to express your hate through keyboard!

Sasa kuna shida gani mtu akisema ndugu zangu?? Kwahiyo neno "ndugu zangu" nalo unalichukulia serious namna hiyo?? Kwani umekatazwa kulitumia hahaa

Hee jamani, nikiongea na wachaga wakwetu nisiwaite ndugu zangu wachaga?? Ama ni Mara ngapi president magufuli alikuwa akilitumia neno ndugu zangu?? Kwani kuna ubaya gani??

Dini yetu imejengwa katika upendo ndugu yangu LOTH HEMA

Kumuita mtu tu ndugu yangu(say) mbowe tayari respect na mahaba ndani yake!
sentensi iishie ndugu zangu, ukiongeza waislam tayari umebagua watu. Uliwahi kusikia sentensi hizh? Ndugu zangu wakristo, ndugu wakatoliki, ndugu walutheri, ndugu wapentekoste/walokole, ndugu wasabato kwenye mikusanyiko yao au mijumuiko mingine? Kwa nini kila mara na kila wakati ni ndugu waislam, ndugu waislam kana kwamba ni ndani ya misikiti? Huo ni ubaguzi wa kidini usiotakiwa katika
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Dini ya mnyazi Mungu
 
Aisee Leo huu Ismailia unawaita Waislam!! Na ahamadiya nao unawakubali? Jamani nimemuuliza hilo kwa sababu Hutasikia ismailia, Ahamadiya na kwa kiasi kikubwa Shia wamejilipua au hata wanaleta vurugu kwenye jamii. Ila ni WASUNNI ndyo Janga la Dunia hii. Mfano tu ni huko Nigeria na Pakstani
Naona unaanza kuelewa, utaelewa tu.
 
Mimi katika maisha yangu nimefaidika sana wakati wa Awamu za Maraisi Waislamu.

Na nilipenda sana vipindi vyao vilikuwa vya fulsa na Pesa.

Kwakweli sikuwa wa kujitegemea katika awamu ya Nyerere lakini nilisikia hata sabuni zilikuwa za shida
Watu walipanga foleni kwenye maduka ya ule unga wa njano.

Na Democrasia haikuwepo
Ninacho msifu Nyerere ni kuondoa Ukabila na Udini.

Wakati wa Mkapa hali ilikuwa mbaya sana kwangu kipesa.
Wakati wa Magufuri ndio kabisa pesa hakuna na Uhakiki kila kukicha. Ili kufukuza wafanyakazi kwa kuwaonea tu.

Maraisi Waislamu wamefanya vizuri sana.
Hata huyu aliyepo. Namwomba tu Akubali kuurekebisha Mkataba wa DP World mambo yatakuwa mazuri tu.
Huu ndio ukweli
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Wewe unaekunya mavi ukajipaka una uhodari wa kumkosoa mtu anaetawadha?

Jifikirie hilo kwanza.
 
Nikweli, mim Ni musislam nanashindwa keelewa Hii kujitetea kwenye uislam kumetokea wapi
Finn Mungu akuriki sana Mtanzania mwenzetu. Mm binafsi ninamchanganyiko ndani ya familia yetu tuko waislam na wakristo. Ni kwambie siwezi kamwe kumuacha nndg yangu kwa sababu ni muislam. Na ndani ya familia siwezi kamwe kusema haya ninayosema humu JF ili ndugu huyo atoke uislam. Badala yake nikwambie, sisi wakiristo tunaambiwa ndani ya familia hubiri injili ya yesu kwa matendo mema ili matendo hayo na kwa msaada wa Mungu yule wa kweli aliye na upendo kwa kila mwanadamu ndugu yangu avutiwe na kuamua mwenyewe kuchunguza mafundisho ya kweli ya Yesu kwenye Biblia. Pia nikwambie tena Finn angalia tu hata kwenye Jamii, Wakristo ndyo huwa wanajaribu hata kuiga tamaduni za kiislam (mfano kuvaa kanzu, Makanisani kwetu kama kuna Msiba hatuna uficho ficho nani aingie kaniasani) Lakini ndugu zetu waislamu wana uficho ficho sana mpaka tunapatwa na wasiwasi.
Na mm nasema tena narudia dhehebu la SUNNI na wala siyo SHIA, AHAMADYA WALA ISMAILIA ndyo kila mtu wa dini nyingine analitilia mashaka.
Kama nitakuwa nimepitiliza katika kujieleza nisamehe; Maana najua ni nadra sana kumpata Muislam aliye na roho nyeupe kama yako
 
Naona unaanza kuelewa, utaelewa tu.
Kuna Dada huko Majini yamempanda amekuja anatusumbua mno.....
Aise CAPO ngoja huyu wakujilipua apate kidonge chake kupitia hii video. Maana wanasema "ukikariri kurani utabakia Muislam ila ukiisoma Kuran na kuielewa utaacha Uislam" without lies Islam dies"
 
BlackBold

Contents za uzi huu ndizo zilizokuwemo kwa majibu ya uzi wangu mlioufungia kujibiwa. Why mnafanya ubaguzi?


Maxence Melo
 
Aise CAPO ngoja huyu wakujilipua apate kidonge chake kupitia hii video. Maana wanasema "ukikariri kurani utabakia Muislam ila ukiisoma Kuran na kuielewa utaacha Uislam" without lies Islam dies"
Huyo uliyomuweka ndiyo nabii wako? Ana authority ipi kuisemea Qur'an?
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Waislam kwa miaka mingi sana tumejazwa ujinga kwa makusudi kabisa kuaminishwa kuwa ni mwiko kuchanganya siasa na dini.

Huo ni uongo na tumekuwa tukijazwa ujinga "brainwashed" kuamini hilo.

Uislam haujatukataza popote kufanya siasa. Uislam ni mfumo kamili wa maisha ya binadam. Tusidanganywe tena na tukaendelea kudanyika kuwa siasa haziendani na Uislam.

Mtu akikwambia "siasa haina dini" elewa kuwa huyo anakutowa kwenye Uislam wako. Usikubali hata kidogo, ni yeye hana dini anataka akutowe na wewe kwenye Uislam wako.

Kwa makusudi kabisa mefikia hatua mpaka maneno yanabadilishwa "systematically ""udini" nq sisi tunachekeleantu.

Elewa maana ya maneno haya:

Udini = Uislam. Mdini = Muislam.
Wadini = Waislam.
imswahili = Muislam.
Waswahili = Waislam.
Uswahili = Uislam.
Mwarabu = Muislam.
Waarabu = Waislam.

Hayo ni kwa uchache tu, mtaongezea na mengine. Huo ni upotoshwaji wa makusudi na unaoratibiwa siyo wa bahati mbaya.

Waielwmntuamke na tufanye siasa popote. Madheikhnwetu.muwe.msyarinwa.mbele kuhamadishansiasankama wslivyofanya Masheikh wetu wakati wa kudai uhuru.

Uislam ni siasa, siasa ni Uislam.

Someni haya yalindikwa zamani hapa hapa Tanzania:

Mtazamo wa Uislamu kuhusu siasa


WENGI wetu tumekuwa tukisikia viongozi, wasomi na watu mbalimbali wakizungumzia masuala ya dini na siasa. Ujumbe mkuu siku zote umekuwa kuvitenganisha viwili hivyo yaani visichanganywe. Katika sehemu mbalimbali duniani, kama ilivyo kwa masuala mengine yahusuyo maisha ya kila siku, Waislamu wamekuwa ama wakiaswa kutochanganya dini na siasa au wakilaumiwa kwa kuvichanganya viwili hivi. Chanzo cha nasaha na lawama hizo ni mtazamo Kimagharibi au Usekula ambao unadai kutenganisha dini na siasa (separation of the Church from politics). Wasekula wanadai kuwa viwili hivyo vikichanganywa basi vurugu itatawala katika jamii husika. Hata hivyo, jamii nyingi za huko Magharibi zinaendeshwa kwa taratibu za kinaswara (Kikristo) lakini bado zinadai kuwa zenyewe ni za Kisekula. Wasiwasi wao umekuwa kwa Uislamu ambao siku zote wanaona kama dini isiyojali au isiyofuata haki za binadamu. Mwandishi Mama Nasir anaelezea zaidi.

Nini Uislamu na siasa ni nini?


Uislamu ni dini au mfumo wa maisha ambao Allah (s.w.) amewaletea waja wake kupitia kwa Mitume wake. Sisi tuliopo sasa Uislamu umetufika kupitia kwa Mtume Muhammad (s.a.w.). Uislamu ni mfumo uliokamili, unaongoza kila kipengele kinachohusu maisha ya mwanadamu. Wanaoamua kuukubali au kuufuata Uislamu basi wanaamrishwa na Allah (s.w.) kufanya hivyo kwa ukamilifu na kama inavyopasa kuwa.

Allah (s.w.) anasema: "Enyi mlioamini! Ingieni kwa ukamilifu katika Uislamu. (Ingieni katika hukumu za Uislamu zote), wala msifuate nyayo za shetani. Kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri". (2:208).

Allah (s.w.) akasisitiza kwa waumini: "Enyi mlioamini! Mcheni Allah kama ipasavyo kumcha, wala msife isipokuwa mmekwisha kuwa Waislamu kamili". (3:102)

Kutokana na aya hizi ni wazi kuwa Muislamu anawajibika kutekeleza masuala yote ya maisha yake kama ilivyoelekezwa na Uislamu (Qur'an na Sunnah).

Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TUKI) imetafsiri neno "siasa" katika kamusi ya Kiswahili Sanifu kama ifuatavyo:

"Mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi.

"Itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi wa kuendesha uchumi wake, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii".

Uislamu na siasa

Pamoja na kwamba maadui wa Waislamu na dini yao wanatulazimisha kuvitenganisha viwili hivi, lakini kufuatana na maelezo ya hapo juu ni wazi kuwa Muislamu anayeamini na kuufuata Uislamu hawezi kuitoa siasa kwenye dini. Hii ni kwa sababu Uislamu kama unavyoelezwa kwenye Qur'an na Sunnah unagusa nyanja zote zinazohusu maisha ya mwanadamu ikiwemo siasa, na lengo lake kuu ni kusimamisha utawala wa Allah (s.w.) hapa duniani. Kwa hiyo ili lengo hili litimie ni lazima maagizo yote yafuatwe kwa ukamilifu na siyo kipande kipande kwa kutenganisha mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya mwanadamu.

Katika Uislamu, dini na siasa ni viwili viwili vilivyopangana (vilivyoingiliana) na kwa hiyo ni kitu kimoja. Uislamu ni njia kamili ya maisha na siasa ni sehemu ya maisha hayo. Kama Uislamu ulivyofundisha swala, swaumu, zakah, hija na mengineyo, umefundisha pia jinsi ya kuendesha dola (State) na kuunda serikali (government)u, kuchagua viongozi na wawakilishi wetu, kuweka mikataba, kuendesha biashara na shughuli nyingine mbalimbali.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu na kuwa lengo la mfumo huo ni kusimamisha ufalme wa Allah (s.w.) hapa duniani.

Mfumo wa siasa wa Kiislamu unasimama katika misingi ifuatayo:

Utukufu/ukuu (sovereignity) wa Allah (s.w.). Uislamu unafundisha kuwa chanzo cha nguvu zote na sheria zote ni Allah (s.w.). Hii imedhihirishwa katika sura na aya mbalimbali za Qur'an kama vile 25:2 na 67:1. Ni Mwenyezi Mungu ndiye anayejua kipi kizuri na kipi kibaya kwa viumbe vyake. Na Yeye ndiye mwamuzi wa mwisho.

Kazi ya dola yoyote hewa ni kusimamia utekelezaji wa sheria, kwa hiyo ni dola iweze kusimamia sheria ya Allah (s.w.) ni lazima nayo itoke huko huko kwa Allah (s.w.). Sheria zilizomo kwenye Qur'an (za kukata wezi mikono, kuchapa viboko/kupiga mawe wazinifu na kadhalika) ni amri za Allah na hivyo haziwezi kubadilishwa na mamlaka yoyote ya kibinadamu hata Umoja wa Mataifa badala yake inatakiwa zitekelezwe na waja wote. Kwa Waislamu kutekeleleza amri/sheria hizo kwa vitendo ndio kukamilisha Uislamu wetu. Kunapotokea mifumo ya siasa ambayo haitekelezi au haisimamishi amri za Allah (s.w.) ni wazi kuwa Uislamu unapata kasoro, na hapo ndipo ulazima wa kuwa na dola ya Kiislamu unapokuja.

Ukhalifa wa binadamu: Mwenyezi Mungu anasema wazi katika Qur'an kuwa mwanadamu ni khalifa (mwakilishi) wake hapa duniani. Kwa mantiki hii mwanadamu analazimika fanye alivyoamrishwa na Allah. Hata hivyo, mwanadamu amepewa uhuru wa kufuata au kuzikana amri za Allah (s.w.) na ndio maana kuna wanaadamu wengi ambao wametokea kuwa wasaliti wa Allah (s.w.). Badala ya kutekeleza alivyoamrishwa ili kuleta amani na utulivu duniani wameamua kumuasi Allah (s.w.) na kusababisha machafuko tunayoyashuhudia sehemu mbalimbali duniani hivi sasa.

Kutunga sheria kwa ushauri (Shura): Uislamu unafundisha kuendesha serikali, kutunga sheria na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushauri na ushirikishaji watu (raia) kama Qur'an inasema katika 3:159 na 42:38. Uislamu hauruhusu udikteta, rejea zake ni Qur'an na Sunnah.

Uwajibikaji wa serikali: Katika mfumo wa siasa unaondeshwa Kiislamu, mtawala na serikali lazima wawajibike kwanza kwa Allah (s.w.) na baadaye kwa raia. Mtawala huwa ni mtumishi wa raia na wote kwa pamoja ni makhalifa wa Allah. Wote watawajibika kwa Allah (s.w.) siku ya mwisho ingawa kwa viwango tofauti. Jukumu la mtawala ni zito zaidi.

Vile vile, katika mfumo wa siasa wa Kiislamu raia yeyote wa kawaida ana uhuru wa kuhoji chochote kuhusiana na mtawala na serikali yake mradi tu abaki katika mipaka ya Qur'an na Sunnah.

Uhuru wa mahakama na usawa mbele ya sheria: Hili linapatikana katika mfumo wa siasa wa Kiislamu ambapo mkuu wa nchi au kiongozi mwingine yeyote hawi juu ya sheria. Mojawapo ya kazi za dola ya Kiislamu ni kuhakikisha haki kwa raia wote. Kigezo cha kuwapambanua waja katika Uislamu ni taqwa (ucha Mungu) tu na si vinginevyo.
 
Huyo uliyomuweka ndiyo nabii wako? Ana authority ipi kuisemea Qur'an?
Dada with this AI na ulimwengu wa internet itabidi muijue tu Quran yenu; maana hapo zamani mulikuwa mnajikita tu kwenye Bible, na the bible stood the test of time and your silly criticism. But tell you what? the Quran will not stand the test of criticism. Vijana huko Pakistan, wamebaini uongo ndani ya Quran na sasa wanasema hovyo kwenye mitandao ya kijamii kwa kwenda mbele. Viongozi wa dini wanalia Ona hii video hapa chini
 
Back
Top Bottom