Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

Uislamu Siyo Kilema, Waislamu acheni kulia lia Tunapowakosoa

Dada with this AI na ulimwengu wa internet itabidi muijue tu Quran yenu; maana hapo zamani mulikuwa mnajikita tu kwenye Bible, na the bible stood the test of time and your silly criticism. But tell you what? the Quran will not stand the test of criticism. Vijana huko Pakistan, wamebaini uongo ndani ya Quran na sasa wanasema hovyo kwenye mitandao ya kijamii kwa kwenda mbele. Viongozi wa dini wanalia Ona hii video hapa chini
Sisi tuna Qur'an yetu.

Unataka tulifate robot lililoundwa na binadam? Wewe kweli hamnazo.


Mmechoka kuabudu binaadam mwenzenu sasa mmehamia kwa robot?

Hayo garbage in garbage out. Usifikiri hatuyajuwi mavitu tuliyoanza kuyaunda sisi.
 
Jana FaizaFoxy kawabadilikia wenzie kama hawajui hawa watu niwabaguzi mno nawanapenda kutafuta huruma sijui wapoje!?
Faiza acha bla bla, twambie hiyo video umeingalia au umejizima data kwa kuogopa ukweli? twambie hao siyo masheikh wenu SUNNI huko Pakistan wakilia? Dada huko nchi za Kiislam inasemekana without Blasphemy Law, au siku tu zikifutwa hizo Law ndipo mtajua hamjui, maana mtagundua kuwa watu walikuwa wakijifanya waislam kumbe ni kwa kuogopa Blasphemy Law
 
Faiza acha bla bla, twambie hiyo video umeingalia au umejizima data kwa kuogopa ukweli? twambie hao siyo masheikh wenu SUNNI huko Pakistan wakilia? Dada huko nchi za Kiislam inasemekana without Blasphemy Law, au siku tu zikifutwa hizo Law ndipo mtajua hamjui, maana mtagundua kuwa watu walikuwa wakijifanya waislam kumbe ni kwa kuogopa Blasphemy Law
Sitazami ujinga wa hatun, kuona picha yake tu juu nikaelewa ni upuuzi tu huo.

Hiyo kawadanganye wasiojuwa.

Wewe unataka kuuelewa Uislam, source ya kwanza ya Uislam siyo watu, ni Qur'an, ambayo hata sisi Waislam tunarejea huko.

Qur'an. Umeelewa?
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Bora umewanyoshea goti,wakue sasa waache kulialia
 
Sitazami ujinga wa hatun, kuona picha yake tu juu nikaelewa ni upuuzi tu huo.

Hiyo kawadanganye wasiojuwa.

Wewe unataka kuuelewa Uislam, source ya kwanza ya Uislam siyo watu, ni Qur'an, ambayo hata sisi Waislam tunarejea huko.

Qur'an. Umeelewa?
Hahaa, wewe inaelekea ni Muislam Jina tu na pengine hata hiyo quran unaisoma tu kwa kukariri kama Huyu Sheikh Uthman Ibn Farroq, ambaye amekuja kubainika kuwa Majoho makubwa tu, kumbe hata quran haisomi vizuri kwa Kiarabu. Tena hayo yote wanamwambia Waislam wenzie.
 
Lengo hapa nilitaka ujue uislam nimkosi ila Tz mnaishi kwaamani kwasababu yaukristo kama uislam noneema angalia nchi nyingi zakiislam utajua
Wangekuwa wao tu nakuhakikishia wale Magaidi wa Kibiti wangechukua nchi kiulaini tu.
Sasa hivi ingekuwa Islamic State ya kuchinjana hadharani.
Hiyo ni 100%
 
Dada with this AI na ulimwengu wa internet itabidi muijue tu Quran yenu; maana hapo zamani mulikuwa mnajikita tu kwenye Bible, na the bible stood the test of time and your silly criticism. But tell you what? the Quran will not stand the test of criticism. Vijana huko Pakistan, wamebaini uongo ndani ya Quran na sasa wanasema hovyo kwenye mitandao ya kijamii kwa kwenda mbele. Viongozi wa dini wanalia Ona hii video hapa chini

Waislam kwa miaka mingi sana tumejazwa ujinga kwa makusudi kabisa kuaminishwa kuwa ni mwiko kuchanganya siasa na dini.

Huo ni uongo na tumekuwa tukijazwa ujinga "brainwashed" kuamini hilo.

Uislam haujatukataza popote kufanya siasa. Uislam ni mfumo kamili wa maisha ya binadam. Tusidanganywe tena na tukaendelea kudanyika kuwa siasa haziendani na Uislam.

Mtu akikwambia "siasa haina dini" elewa kuwa huyo anakutowa kwenye Uislam wako. Usikubali hata kidogo, ni yeye hana dini anataka akutowe na wewe kwenye Uislam wako.

Kwa makusudi kabisa mefikia hatua mpaka maneno yanabadilishwa "systematically ""udini" nq sisi tunachekeleantu.

Elewa maana ya maneno haya:

Udini = Uislam. Mdini = Muislam.
Wadini = Waislam.
imswahili = Muislam.
Waswahili = Waislam.
Uswahili = Uislam.
Mwarabu = Muislam.
Waarabu = Waislam.

Hayo ni kwa uchache tu, mtaongezea na mengine. Huo ni upotoshwaji wa makusudi na unaoratibiwa siyo wa bahati mbaya.

Waielwmntuamke na tufanye siasa popote. Madheikhnwetu.muwe.msyarinwa.mbele kuhamadishansiasankama wslivyofanya Masheikh wetu wakati wa kudai uhuru.

Uislam ni siasa, siasa ni Uislam.

Someni haya yalindikwa zamani hapa hapa Tanzania:

Mtazamo wa Uislamu kuhusu siasa


WENGI wetu tumekuwa tukisikia viongozi, wasomi na watu mbalimbali wakizungumzia masuala ya dini na siasa. Ujumbe mkuu siku zote umekuwa kuvitenganisha viwili hivyo yaani visichanganywe. Katika sehemu mbalimbali duniani, kama ilivyo kwa masuala mengine yahusuyo maisha ya kila siku, Waislamu wamekuwa ama wakiaswa kutochanganya dini na siasa au wakilaumiwa kwa kuvichanganya viwili hivi. Chanzo cha nasaha na lawama hizo ni mtazamo Kimagharibi au Usekula ambao unadai kutenganisha dini na siasa (separation of the Church from politics). Wasekula wanadai kuwa viwili hivyo vikichanganywa basi vurugu itatawala katika jamii husika. Hata hivyo, jamii nyingi za huko Magharibi zinaendeshwa kwa taratibu za kinaswara (Kikristo) lakini bado zinadai kuwa zenyewe ni za Kisekula. Wasiwasi wao umekuwa kwa Uislamu ambao siku zote wanaona kama dini isiyojali au isiyofuata haki za binadamu. Mwandishi Mama Nasir anaelezea zaidi.

Nini Uislamu na siasa ni nini?


Uislamu ni dini au mfumo wa maisha ambao Allah (s.w.) amewaletea waja wake kupitia kwa Mitume wake. Sisi tuliopo sasa Uislamu umetufika kupitia kwa Mtume Muhammad (s.a.w.). Uislamu ni mfumo uliokamili, unaongoza kila kipengele kinachohusu maisha ya mwanadamu. Wanaoamua kuukubali au kuufuata Uislamu basi wanaamrishwa na Allah (s.w.) kufanya hivyo kwa ukamilifu na kama inavyopasa kuwa.

Allah (s.w.) anasema: "Enyi mlioamini! Ingieni kwa ukamilifu katika Uislamu. (Ingieni katika hukumu za Uislamu zote), wala msifuate nyayo za shetani. Kwa hakika yeye kwenu ni adui dhahiri". (2:208).

Allah (s.w.) akasisitiza kwa waumini: "Enyi mlioamini! Mcheni Allah kama ipasavyo kumcha, wala msife isipokuwa mmekwisha kuwa Waislamu kamili". (3:102)

Kutokana na aya hizi ni wazi kuwa Muislamu anawajibika kutekeleza masuala yote ya maisha yake kama ilivyoelekezwa na Uislamu (Qur'an na Sunnah).

Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TUKI) imetafsiri neno "siasa" katika kamusi ya Kiswahili Sanifu kama ifuatavyo:

"Mfumo wa mawazo yaongozayo utawala wa serikali ya nchi.

"Itikadi inayofuatwa na kundi au jamii fulani ambayo ni msingi wa kuendesha uchumi wake, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya jamii".

Uislamu na siasa

Pamoja na kwamba maadui wa Waislamu na dini yao wanatulazimisha kuvitenganisha viwili hivi, lakini kufuatana na maelezo ya hapo juu ni wazi kuwa Muislamu anayeamini na kuufuata Uislamu hawezi kuitoa siasa kwenye dini. Hii ni kwa sababu Uislamu kama unavyoelezwa kwenye Qur'an na Sunnah unagusa nyanja zote zinazohusu maisha ya mwanadamu ikiwemo siasa, na lengo lake kuu ni kusimamisha utawala wa Allah (s.w.) hapa duniani. Kwa hiyo ili lengo hili litimie ni lazima maagizo yote yafuatwe kwa ukamilifu na siyo kipande kipande kwa kutenganisha mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya mwanadamu.

Katika Uislamu, dini na siasa ni viwili viwili vilivyopangana (vilivyoingiliana) na kwa hiyo ni kitu kimoja. Uislamu ni njia kamili ya maisha na siasa ni sehemu ya maisha hayo. Kama Uislamu ulivyofundisha swala, swaumu, zakah, hija na mengineyo, umefundisha pia jinsi ya kuendesha dola (State) na kuunda serikali (government)u, kuchagua viongozi na wawakilishi wetu, kuweka mikataba, kuendesha biashara na shughuli nyingine mbalimbali.

Uislamu ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu na kuwa lengo la mfumo huo ni kusimamisha ufalme wa Allah (s.w.) hapa duniani.

Mfumo wa siasa wa Kiislamu unasimama katika misingi ifuatayo:

Utukufu/ukuu (sovereignity) wa Allah (s.w.). Uislamu unafundisha kuwa chanzo cha nguvu zote na sheria zote ni Allah (s.w.). Hii imedhihirishwa katika sura na aya mbalimbali za Qur'an kama vile 25:2 na 67:1. Ni Mwenyezi Mungu ndiye anayejua kipi kizuri na kipi kibaya kwa viumbe vyake. Na Yeye ndiye mwamuzi wa mwisho.

Kazi ya dola yoyote hewa ni kusimamia utekelezaji wa sheria, kwa hiyo ni dola iweze kusimamia sheria ya Allah (s.w.) ni lazima nayo itoke huko huko kwa Allah (s.w.). Sheria zilizomo kwenye Qur'an (za kukata wezi mikono, kuchapa viboko/kupiga mawe wazinifu na kadhalika) ni amri za Allah na hivyo haziwezi kubadilishwa na mamlaka yoyote ya kibinadamu hata Umoja wa Mataifa badala yake inatakiwa zitekelezwe na waja wote. Kwa Waislamu kutekeleleza amri/sheria hizo kwa vitendo ndio kukamilisha Uislamu wetu. Kunapotokea mifumo ya siasa ambayo haitekelezi au haisimamishi amri za Allah (s.w.) ni wazi kuwa Uislamu unapata kasoro, na hapo ndipo ulazima wa kuwa na dola ya Kiislamu unapokuja.

Ukhalifa wa binadamu: Mwenyezi Mungu anasema wazi katika Qur'an kuwa mwanadamu ni khalifa (mwakilishi) wake hapa duniani. Kwa mantiki hii mwanadamu analazimika fanye alivyoamrishwa na Allah. Hata hivyo, mwanadamu amepewa uhuru wa kufuata au kuzikana amri za Allah (s.w.) na ndio maana kuna wanaadamu wengi ambao wametokea kuwa wasaliti wa Allah (s.w.). Badala ya kutekeleza alivyoamrishwa ili kuleta amani na utulivu duniani wameamua kumuasi Allah (s.w.) na kusababisha machafuko tunayoyashuhudia sehemu mbalimbali duniani hivi sasa.

Kutunga sheria kwa ushauri (Shura): Uislamu unafundisha kuendesha serikali, kutunga sheria na kufanya maamuzi kwa kuzingatia ushauri na ushirikishaji watu (raia) kama Qur'an inasema katika 3:159 na 42:38. Uislamu hauruhusu udikteta, rejea zake ni Qur'an na Sunnah.

Uwajibikaji wa serikali: Katika mfumo wa siasa unaondeshwa Kiislamu, mtawala na serikali lazima wawajibike kwanza kwa Allah (s.w.) na baadaye kwa raia. Mtawala huwa ni mtumishi wa raia na wote kwa pamoja ni makhalifa wa Allah. Wote watawajibika kwa Allah (s.w.) siku ya mwisho ingawa kwa viwango tofauti. Jukumu la mtawala ni zito zaidi.

Vile vile, katika mfumo wa siasa wa Kiislamu raia yeyote wa kawaida ana uhuru wa kuhoji chochote kuhusiana na mtawala na serikali yake mradi tu abaki katika mipaka ya Qur'an na Sunnah.

Uhuru wa mahakama na usawa mbele ya sheria: Hili linapatikana katika mfumo wa siasa wa Kiislamu ambapo mkuu wa nchi au kiongozi mwingine yeyote hawi juu ya sheria. Mojawapo ya kazi za dola ya Kiislamu ni kuhakikisha haki kwa raia wote. Kigezo cha kuwapambanua waja katika Uislamu ni taqwa (ucha Mungu) tu na si vinginevyo.
Yesu kwa sasa anawafikia high profile muslims kuwaleta kwa Mungu wa kweli, ili waachane na ALLAH, YULE SHETANI MKUBWA ZAIDI. Hapa chini The Prince of Kuwait kampokea Yesu na kujitokeza hadharani; jambo ambalo ni gumu sana kwa muislam, hasa akiwa mashuhuri. Tunza neno langu, yule Mwana wa Mfalme wa SAUDIA pia amempokea Yesu; lakini ili atumike vizuri kupondaponda kichwa cha hii dini ya Allah( Shetan) inabidi aendeleena kuvaa joho la Uislam kukamilisha kazi hiyo akiwa ndani yao

View: https://youtu.be/bJBQMOC2faU?si=ztTJW9YQo3JTh1T6
 
Yesu kwa sasa anawafikia high profile muslims kuwaleta kwa Mungu wa kweli, ili waachane na ALLAH, YULE SHETANI MKUBWA ZAIDI. Hapa chini The Prince of Kuwait kampokea Yesu na kujitokeza hadharani; jambo ambalo ni gumu sana kwa muislam, hasa akiwa mashuhuri. Tunza neno langu, yule Mwana wa Mfalme wa SAUDIA pia amempokea Yesu; lakini ili atumike vizuri kupondaponda kichwa cha hii dini ya Allah( Shetan) inabidi aendeleena kuvaa joho la Uislam kukamilisha kazi hiyo akiwa ndani yao

View: https://youtu.be/bJBQMOC2faU?si=ztTJW9YQo3JTh1T6


 
Acheni unafiki. Maaskofu wenu na mapadri walikua wapi wakati miili ikiokotwa kwenye viroba. Shida yenu waisilamu wakiongoza hii nchi mnakua na vinyongo sana. Acheni roho mbaya hamjakatazwa kukosoa ila hizo mambo za udini huwa mnaanzisha wenyewe. Hebu nikuulize swali hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje ushungi?. Hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje uzanzibar?. You guys mna roho mbaya sana
Mnapenda kujiliza kudadeki zenu.
 
Acheni unafiki. Maaskofu wenu na mapadri walikua wapi wakati miili ikiokotwa kwenye viroba. Shida yenu waisilamu wakiongoza hii nchi mnakua na vinyongo sana. Acheni roho mbaya hamjakatazwa kukosoa ila hizo mambo za udini huwa mnaanzisha wenyewe. Hebu nikuulize swali hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje ushungi?. Hauwezi kumkosoa raisi utendaji wake mpaka utaje uzanzibar?. You guys mna roho mbaya sana
bi.ushungi nchi imemshinda anauza kila kitu.kosa hapo lipo wapi?
 
Sisi tuna Qur'an yetu.

Unataka tulifate robot lililoundwa na binadam? Wewe kweli hamnazo.


Mmechoka kuabudu binaadam mwenzenu sasa mmehamia kwa robot?

Hayo garbage in garbage out. Usifikiri hatuyajuwi mavitu tuliyoanza kuyaunda sisi.
Mungu gani amtume mudi aje kubaka watoto wa miaka 9?.Huyo Allah basi punguani kama wewe.
Mudi now angekuwa nyavu kwa kesi ya ubakaji.
 
Waislamu Wengi hasa hawa wa Tanzania Huwa wanajiona kama ni kundi lenye mahitaji maalumu. Yaani kundi la kupendwa pendwa lisilotakakiwa kukosolewa pale mnapo mbwela mbwela

Ngoja niwaambie nyie siyo walemvu. Habari za Kusema Kila kitu eti Kwa kuwa ni muislamu ndo maana imekuwa hivi na vile. Kwani uislamu ni kilema kwamba mnanyanyapaliwa

Kama hamuwezi uongozi kaeni pembeni hatutamvumilia mtu atuongoze Vibaya kisa tunamwogopa kumsema kisa dini yake.. Mbona wakristo hawalalamiki wakisemwa.

Hamjakuwepo kipindi cha Magufuli..Kitima huyuhuyu alimpiga nyundo Magufuli kuhusu Utawala Bora na kukataa uwepo wa corona . Ulisikia watu wanasema Ukristo. Muache kabisa kuchaganya siasa na dini. Nchi Hii ni ya watu wote wapagani na wazinzi,walevi na wachawi, Wala vitimoto na makahaba, wakristo na waislamu na inaongozwa Kwa mujibu wa katiba na Sheria.

Katiba ya nchi haijajengwa juu ya msingi wa kanisa wala Uislamu. kWa hiyo kama mnataka kuongoza nchi Kwa Sheria za kiislamu tafuteni nchi yenu siyo Tanzania yetu

Uislamu ni dini kama dini zingine ukimbwela lazima tukushushie nawe ya kichwa, acheni hizo inferiority complex inawasumbua kujiona kama watoto wadogo eti kila kitu mnaonewa.

Acheni kabisa habari hizo chapeni KAZI acheni uswahili swahili wenu
Kwani sio nyinyi mlikua mnasema Samia bandari kawauzia waislam wenzake ?

Yani nyiny nd kawaida yenu kuanzisha mamno alaf mnatupia lawama wengine. Sishangai mm.
 
Mungu gani amtume mudi aje kubaka watoto wa miaka 9?.Huyo Allah basi punguani kama wewe.
Mudi now angekuwa nyavu kwa kesi ya ubakaji.
Hiyo hekaya mfu, haina mashiko.

Aliyebakwa anamuonea wivu aliyembaka? Au kwenu mkibakana ndivyo inavyokuwa hivyo?
 
Back
Top Bottom