Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Acha kutetea ujinga wewe waislamu wanafundishana mpaka kareti msikitini wewe unaongea ujinga gani hapa?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu hapo. Kwanza hakuna kitu kinaitwa dini nzuri. Bibilia inasema, dini iliyonzuri ni kwenda kuwatazama yatima na wajane, kujilinda na maovu yote.
 
Duniani kote.Si Kibiti,si Znz,si Kenya,Uarabuni
,yaani kila kona matendo yanaambatana na ukatili na uuaji
Umetaja majina ambayo hata mimi naweza kukutajia, lakini hujaonesha tukio hata moja, ili tulichambuwe, ni kweli?

Hapo unajaribu kuukwepa uongo wako.
 
Umetaja majina ambayo hata mimi naweza kukutajia, lakini hujaonesha tukio hata moja, ili tulichambuwe, ni kweli?

Hapo unajaribu kuukwepa uongo wako.
Hukosi kuzaa magaidi hata wa 3 ulivyo na roho mbaya dada
 
Hukosi kuzaa magaidi hata wa 3 ulivyo na roho mbaya dada
Maelfu siyo watatu. si ndivyo ulivyoaminisha, Mpigania uhuru na haki akijitutumua ni gaidi, US na NATO wakifanya mauwaji ya kimbari ni watenda haki, au sivyo?

Wewe mungu wako ni myahudi, bila shaka.
 
Maelfu siyo watatu. si ndivyo ulivyoaminisha, Mpigania uhuru na haki akijitutumua ni gaidi, US na NATO wakifanya mauwaji ya kimbari ni watenda haki, au sivyo?

Wewe mungu wako ni myahudi, bila shaka.
Usilinganishe Us na Waarabu wewe, ndio maana wakimbizi wenu hukimbilia kwa wazungu, nyie wanafiki sana
 
Kama uislam ungeruhusu kua free hivyo bila kusimamia sheria kali mbona nao ungeshakua wahovyo ukiwaacha watu wawe huru hasa wanawake mbona wataingia had nabikin msikitin binadam wanahitaji sheria kal yan ukivuka redline jambia linakuhusu
 
Braza wewe ni ponjolo..........yaani Uniite kafiri na nikupe msaada ........**** maqe
 
Huna akil maendeleo yanatokana na nature yawatu sasa wa Algeria ambao kiasil niwatu waspanish utawafananisha nasie weus hata tupewe kibra ihamie hapa akil ndogo hatutoboi... Kwan wachina wamendelea kwajil yasharia
 
bible ilisema mwanamke hawezi kuwa kiongozi wala hatakiwi kuuliza swali kanisani ila anaenda kumuuliza mmewe nyumbani πŸ˜…πŸ˜…haya hamyaon?
Mkuu naomba unituwekee hapa hii umeitoa mstari gani kwenye Bible?
Kuweka facts ni muhimu kuliko hear say kama stori za kijiweni.
 
Jibu mujaraaabu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ




Mkuu naomba unituwekee hapa hii umeitoa mstari gani kwenye Bible?
Kuweka facts ni muhimu kuliko hear say kama stori za kijiweni.
Biblia imekandamiza haki za wanakawe hawana mamlaka hata ya kuongea kanisani.

Kasome WAKORINTHO 14:34-36:-

34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.

35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.

36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?

Nilikuwa mkristo naijua biblia yote .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…