Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Biblia imekandamiza haki za wanakawe hawana mamlaka hata ya kuongea kanisani.

Kasome WAKORINTHO 14:34-36:-

34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.

35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.

36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?

Nilikuwa mkristo naijua biblia yote .
Hii ndiyo sahihi mkuu.
Unaweza facts hapa atakaye pinga aje na kifungu chake toka vitabuni.
 
Hii ndiyo sahihi mkuu.
Unaweza facts hapa atakaye pinga she na kifungu chake toka vitabuni.
Ukisoma hapa utaona wanawake wakitaka kufanya ibada au kuhutuhu lazima wafunike vichwa vyao ila wao hawafuati.

1 Wakorinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa


Ukifuata haya maandiko utajua wakristo ni wanafiki hawafuati biblia yao kabisa.
 
Biblia imekandamiza haki za wanakawe hawana mamlaka hata ya kuongea kanisani.

Kasome WAKORINTHO 14:34-36:-

34 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.

35 Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.

36 Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?

Nilikuwa mkristo naijua biblia yote .
Mkuu ziko sehemu nyingi sana za kukandamiza wanawake mwambie Titicomb hivyo akitaka mimi nitampa facts zote...
Wanawake bora hata kwenye uislamu ila Uyahudi na Ukristo wamekandamizwa sana
 
Mkuu ziko sehemu nyingi sana za kukandamiza wanawake mwambie Titicomb hivyo akitaka mimi nitampa facts zote...
Wanawake bora hata kwenye uislamu ila Uyahudi na Ukristo wamekandamizwa sana
Hawa hawafuati biblia yaani ukisoma maandiko na wao wapo tofauti kabisa😅😅

Wanamke anatakiwa kufunika kichwa akisali na kuhutubu ila wao hawafanyi si kama waislamu tu 😅😅 👇

1 Wakorinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa
 
Hawa hawafuati biblia yaani ukisoma maandiko na wao wapo tofauti kabisa😅😅

Wanamke anatakiwa kufunika kichwa akisali na kuhutubu ila wao hawafanyi si kama waislamu tu 😅😅 👇

1 Wakorinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa
Mkuu Dogma na mapokeo ndo zimetawala kwenye Dini bila kufuata Maandiko
 
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.

Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.

Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.

Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.

Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.

Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.

Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.

Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.

Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.

Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.

Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Mimi si muislam....lakini najua uislam ni mzuri sana lakini unachafuliwa sana ........na mara nyingine baadhi ya wanaojiita waislam.....hawafuati vile inavyotakiwa........CHUKI
 
Huna akil maendeleo yanatokana na nature yawatu sasa wa Algeria ambao kiasil niwatu waspanish utawafananisha nasie weus hata tupewe kibra ihamie hapa akil ndogo hatutoboi... Kwan wachina wamendelea kwajil yasharia
Mfumo wa dini umewasaidia,
 
Waislamu ni ndugu zetu kwa sababu tunaishi nao, tumesoma nao na pia tumefanya nao kazi na kushirikiana Mambo mbalimbali za kijamii.
Mwislamu akipata taarifa za msiba ataacha shuguri zote ajumuike na wewe pia hata kwenye sherehe ni hivyohivyo na Mara nyingi shuguri zao hazina michango ni wewe mwenyewe kujitoa.
Hawa wanaojifanya waislamu mtandaoni na kueneza chuki wanajisumbua kwani waislamu halisi tunaishi nao mitaani.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]Yaani wapo tofauti kabisa na bible nacheka tu.
Tofauti ni kwamba wakristo wamejiegemeza sana katika mambo mepesi kama Demokrasia, mambo ya uhuru uliyopitiliza na kugeuza sheria sio kwamba hawana sheria kali kwenye maandiko yao

Ila ukija upande wa wavaa kobazi wanajaribu kupractice zile sheria ziliwekwa kwenye maandiko sasa hii lazima ilete shida kwa jamii ambazo zimerahisisha mambo ilo wakubali wakatae wapo nje ya maandiko yao, ukiangalia namna wanavyosimplify mambo kutokana na akili zinavyowatuma
Wanalaumu sana kuhusu uislam na ukatili ila kiuhalisia kutofata maandiko yao wamezalisha ufisadi, wizi, uzinzi, ulevi, uteja, ushoga tena hadi unajadiliwa hadharani na wanazuoni wao wakubwa na wengine kupitisha uhuru wao.. watakwambia kinachoangaliwa ni matendo na moyo
Chini ya mataifa ya kiislam ayo mambo yote yanafanyika lakini watu wanafanya kwa siri ila mtu akibainika sheria inachukua nafasi na anapotezwa kabisa
 
Waislamu ni ndugu zetu kwa sababu tunaishi nao, tumesoma nao na pia tumefanya nao kazi na kushirikiana Mambo mbalimbali za kijamii.
Mwislamu akipata taarifa za msiba ataacha shuguri zote ajumuike na wewe pia hata kwenye sherehe ni hivyohivyo na Mara nyingi shuguri zao hazina michango ni wewe mwenyewe kujitoa.
Hawa wanaojifanya waislamu mtandaoni na kueneza chuki wanajisumbua kwani waislamu halisi tunaishi nao mitaani.
Upo sahihi mkuu mtaani tunaish poa sana tu tunafanya miamala mbalimbali tunataniana tunacheka tunafurahi japo kuwa kuna baadhi ya watu walimezeshwa dhana mbaya kuhusu waislam uko utotoni ila wakishafika utu uzima tunaishi nao poa tu kwenye mitikasi ya hapa na pale tunakua pamoja izi chuki ukifatilia sana zipo mtandaoni tu ila mtaani life lipo tofauti na izi chuki za mtandaoni zingekua mtaani basi kila siku tungekua tunaokota maiti
 
Tofauti ni kwamba wakristo wamejiegemeza sana katika mambo mepesi kama Demokrasia, mambo ya uhuru uliyopitiliza na kugeuza sheria sio kwamba hawana sheria kali kwenye maandiko yao

Ila ukija upande wa wavaa kobazi wanajaribu kupractice zile sheria ziliwekwa kwenye maandiko sasa hii lazima ilete shida kwa jamii ambazo zimerahisisha mambo ilo wakubali wakatae wapo nje ya maandiko yao, ukiangalia namna wanavyosimplify mambo kutokana na akili zinavyowatuma
Wanalaumu sana kuhusu uislam na ukatili ila kiuhalisia kutofata maandiko yao wamezalisha ufisadi, wizi, uzinzi, ulevi, uteja, ushoga tena hadi unajadiliwa hadharani na wanazuoni wao wakubwa na wengine kupitisha uhuru wao.. watakwambia kinachoangaliwa ni matendo na moyo
Chini ya mataifa ya kiislam ayo mambo yote yanafanyika lakini watu wanafanya kwa siri ila mtu akibainika sheria inachukua nafasi na anapotezwa kabisa
Kaangalie hukumu za bible 😅😅tunaongelea bible sio wazungu hapa.


Ni kwamba wakristo hawafuati bible maana humo ndani kuna hukumu za kutisha bali wanafuata wazungu.


Wewe ni mkristo ila hufuati bible na hata ukisoma huelewi 😅😅bali unafuata wazungu bible ina ukatilia ndani yake ,ndani ya bible kumekandamiza haki za wnawake mpaka maandiko hayasomwi.

Uislamu upo practical ndio maana haubadiliki na hauna unafiki.

Mnahalalisha uzinifu kwa kujifanya mnabariki ndoa ,mara muwatenge waliozini halafu mnakuja kubariki ndoa yao kama sio unafiki n nn?

Ukristo haujakamilika bila ya maagizo ya Wazungu na sasa mtabariki ndoa za jinsia moja maana papa kashasema😅

Mnachukiana ndani ya madhehebu huku mnatumia bible moja halafu mnawawapenda na kuwatukuza wayahudi ambao hamtumii kitabu kimoja na wala sio wakristo..

Huwezi kuwa na akili timamu ukafuata huyo ujinga kama unabisha twende kimaandiko kama sijakutoa kamasi hapa.

Je nyie manaswar ni wanafiki dhidi ya kitabu chenu?
 
Kaangalie hukumu za bible [emoji28][emoji28]tunaongelea bible sio wazungu hapa.


Ni kwamba wakristo hawafuati bible maana humo ndani kuna hukumu za kutisha bali wanafuata wazungu.


Wewe ni mkristo ila hufuati bible na hata ukisoma huelewi [emoji28][emoji28]bali unafuata wazungu bible ina ukatilia ndani yake ,ndani ya bible kumekandamiza haki za wnawake mpaka maandiko hayasomwi.

Uislamu upo practical ndio maana haubadiliki na hauna unafiki.

Mnahalalisha uzinifu kwa kujifanya mnabariki ndoa ,mara muwatenge waliozini halafu mnakuja kubariki ndoa yao kama sio unafiki n nn?

Ukristo haujakamilika bila ya maagizo ya Wazungu na sasa mtabariki ndoa za jinsia moja maana papa kashasema[emoji28]

Mnachukiana ndani ya madhehebu huku mnatumia bible moja halafu mnawawapenda na kuwatukuza wayahudi ambao hamtumii kitabu kimoja na wala sio wakristo..

Huwezi kuwa na akili timamu ukafuata huyo ujinga kama unabisha twende kimaandiko kama sijakutoa kamasi hapa.

Je nyie manaswar ni wanafiki dhidi ya kitabu chenu?
[emoji16][emoji16]umesoma vizuri nilichoandika Maalim
Me ni mvaa kobazi kwa hiali yangu and im proud
Waambie wagaratia
 
Ukisoma hapa utaona wanawake wakitaka kufanya ibada au kuhutuhu lazima wafunike vichwa vyao ila wao hawafuati.

1 Wakorinto 11:5 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa


Ukifuata haya maandiko utajua wakristo ni wanafiki hawafuati biblia yao kabisa.
Sasa hapa mkuu sijaona wamesema ni dhambi kutofunika kichwa bali ataaibisha tu kichwa chake.
Kimsingi aibu ni subjective kama vile preference ni subjective.

Tutofautishe amri au sheria na mapokeo ya kitamaduni.
 
Moja katika ya bandiko bora sana.
Aione Bibie wa mitaa ya Tandamti FaizaFoxy na Ustaadhi wa gas for haitoki Ntwara THE BIG SHOW kwa utetezi

Mimi nina dini yangu Uislam,na wewe una dini yako UKRISTO,MIMI NIMERIDHIKA NA IMANI YANGU,BASI NA WEWE TOSHEKA NA IMANI YAKO,HAUABUDU NINACHOKIABUDU NA MIMI SITOWEZA ABUDU KILE AMBACHO WEWE UNAKIABUDU,KAMA UNAONA MIMI NA UISLAM WANGU NIMEPOTEA BASI TUSUBIRI BAADA YA KUFA NA KUONDOKA JUU YA HUU MGONGO WA ARDHI TUONE YUPI ALIKUWA KWENYE NJIA SAHIHI NA YUPI ALIPOTOKA,ITS JUST A MATTER OF TIME...
 
The Taliban barred women from campuses last December, triggering global outrage. Girls had been banned from school beyond sixth grade soon after the Taliban returned to power in August 2021. Afghanistan is the only country in the world with bans on female education.

Who are the Talibans??uislam umekuwapo duniani karne nyingi hata kabla hiyo Taliban haijazaliwa,Taliban siyo Justification ya Validity of Islam,Islam ni MAIN SET kama watu wanapotoka haimaanishi kuwa wamekuwa influenced na Uislam.

Soma Uislam unasema nini kuhusu elimu,Education is mandatory to any muslim MEN & WOMEN,sasa unaongea kitu gani?
 
Sasa hapa mkuu sijaona wamesema ni dhambi kutofunika kichwa bali ataaibisha tu kichwa chake.
Kimsingi aibu ni subjective kama vile preference ni subjective.

Tutofautishe amri au sheria na mapokeo ya kitamaduni.
😅😅😅Jamaa umesoma shule gani? Jambo lolote lile la aibu halifai ,kadhalika wanawake wote wana aibu ni hulka yao .

Lile sanamu la Maria lipo kichwa wazi na mlishaambiwa wasizae mavazi yanayofanana na wanaume sasa kaangalie.

Je nyie ni wanafiki manaswara ? Ukienda kweny misiba yenu haswa mkiwa mnafanya ibada ya maiti pale kanisani basi utaona wakina dada wamekuja na nguo fupi ila wanajificha na kanga ...Ina maana mnajistiri kanisani pakiwa na msiba tu ....Nileteee andiko la kujistiri pakiwa na msiba nasilimu hapa.!!


Nimehudhuria ibada na naendelea kuhudhuria za mazishi kwa vile ndugu zangu na rafiki zangu wapo wakristo kibao...
 
Back
Top Bottom