Hapa mmepewa ahadi ya kupata wake 100 kama mtaifuata injili ya yesu😅😅
Marko 10:29-31👇
29 Yesu akasema, “Nawaambieni kweli: Hakuna aliyeacha nyumba, kaka, dada, mama, baba, watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili 30 ambaye hatapata malipo mara mia zaidi katika nyakati hizi; nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na mashamba, pamoja na mateso; na uzima wa milele katika kizazi kinachokuja. 31 Lakini wengi walio wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho baadaye na wale walio wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza baadaye.”
a mtaifuata injili ya yesu😅😅
Kila kitu utapata mara 100 kama mke ,watoto ,ndugu hivi ili andiko hamsoni au laah!?