Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Usituletee stori za bibilia sisiHao watu wanazaliana kama Kunguni ndio maana wanakua kwa kasi.
Katika Biblia uislam unatokea kwa Ishmaeli, Yule mtoto ambaye Ibrahim alizaa na Kijakazi (Hajir).
Na Ukristo unatokea kwa Isaka ambaye alizaliwa kutoka kwa mke wake.
Haya Ishmaeli alizaa watoto 12 wakati Isaka alizaa wawili tu, Ukiangalia utaona haya mambo hayajaanza leo.
Hamna mashindanoKwani ni mashindano?
Unanijulia wapi wewe. Mimi ni mkristo kuliko hata wewe hapo.Wewe ni gaidi hata sio mkristo tunakujua
Ni nzuri sana ingawa tumekatazwa na kanisa ila siku hizi tunasogeza maisha yanaenda waislamu tutawaiga tu hata kama tunajifanya vichwa vigumuHamasisha ndoa za mitalaa
Wakatoliki tulikua zamani sasa hivi hovyo tuWakatoliki na waislamu ni pipa na mfuniko sema wakatoliki hawachinji watu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ukristo na uislam vyote upinga maovuSwali langu lilikuwa hayo unayosema uislam umeyakataza, Je ukristo umeyaruhusu?
Hapana ! Maana hata duniani hawawezi kupewa na mwanaume zaidi ya mmojaNa wanawake watapewa wanaume 72?
Hapa mmepewa ahadi ya kupata wake 100 kama mtaifuata injili ya yesu๐ ๐Ukitegwa unayo chance ya kuungama dhambi zako na kuanza upya ila hakuna mtu atakayekupiga hata kofi tu, unlike nyinyi ambao kukata mtu shingo ni kufumba na kufumbua.
๐๐๐ Unavyotamani wenzako wachomwe ndo wenzako wanavyotaka uchomwe hivyo hivyo...kila mtu subiri ukifa subiri ukifa hivi vitisho mnapewa mkiwa watoto mnavibeba mpaka uzeeni. Kuna vitu ukikua unabidi uelewe kwamba vipo kwa ajili ya control tu havina uhalisia. Acha kutishia watu moto ambao kila dini inatumia kuvuta wafuasi
1. Hajaumbwa
2. Hajawepo ili aongozwe
Hizi ni ideas kutoka kwa dini zilizotengenezwa na wanaume kukandamiza wanawake
Kama una evidence ya mwanamke kuumbwa ili aongozwe niletee nasubiria
Kwa hiyo na mama zako watakuwa 100, Bro hapa kuna point unamiss๐๐๐Hapa mmepewa ahadi ya kupata wake 100 kama mtaifuata injili ya yesu๐ ๐
Marko 10:29-31๐
29 Yesu akasema, โNawaambieni kweli: Hakuna aliyeacha nyumba, kaka, dada, mama, baba, watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili 30 ambaye hatapata malipo mara mia zaidi katika nyakati hizi; nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na mashamba, pamoja na mateso; na uzima wa milele katika kizazi kinachokuja. 31 Lakini wengi walio wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho baadaye na wale walio wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza baadaye.โ
a mtaifuata injili ya yesu๐ ๐
Kila kitu utapata mara 100 kama mke ,watoto ,ndugu hivi ili andiko hamsoni au laah!?
Sisi Wakristo Mungu alichotuahidi ni uzima wa milele kuishi pamoja na Yeye.Hapana ! Maana hata duniani hawawezi kupewa na mwanaume zaidi ya mmoja
Kama wewe hazikufai unakausha tu wapo zinaowafaa,Usituletee stori za bibilia sisi
๐๐๐why not.. why niwe alive afu nishakufa...tatizo binadamu mnapenda kuimagine vitu afu mnaforce kuwa reality. Hujiulizi kila dini inasema Mungu wake ndo waukweli na wanaobisha ni adhabu. Wat makes yours special .kisa wewe umezaliwa huko na wengine hawajazaliwa huko. ๐Hii dhana ni ya kijinga kujiona main character wa ulimwengu wakati we ni kama kijidudu kwenye universe yenye billions of planets n starsMbona unaweweseka sasa,wapi mimi nimekutajia moto??,do you think umeumbwa hapa duniani kisha uachwe tuh uishi maisha yako bila kuja kuwa questioned?remember umepewa utashi tofauti na wanyama.
Kwa sababu kipindi hicho hawakuwa na political n social power kama now . walikuwa wanakandamizwa..saa hivi si Kuna kina zumaridi kina ellen white waliotokea..๐so sielewi ur point ni ninikwanini nao wao wanawake hawakutengeneza hizo dini kama ni rahisi hivo?
๐๐๐๐๐Hebu google hicho uaibike. Tatizo wakristo mnapenda kujikosha..Mara sijui boti ya nuhu Mara msumari wa Yesu Mara Nini ..all this are things forced kuleta utapeli tu nothing else. Google saa hivi claims of discovery of Sodom n Gomorra Kama sio uhuni tu wa mtu ..๐najua ukishagoogle utasema google ni ya shetani so siwezi bishana utoto mimiKama wewe hazikufai unakausha tu wapo zinaowafaa,
Mambo ya Mungu yapo kiimani zaidi, Bila shaka hata wewe yapo mambo yako unayoyaamini, Sisi wengine tunamuamini Mungu kupitia miujiza yake na Ushuhuda.
Mfano Biblia ya Kiingereza imeandika Mungu aliiteketeza Miji ya Bondeni ya Sodoma na Gomora na kuibadili kuwa Brimstone(Sulphur) and Salt.
Leo hii katika dunia yetu ni kweli sodoma na Gomora zipo na ndio mahali inakopatikana High purity sulphur (80% and above) na chumvi ya kutosha,
Hivyo story za Biblia ni za kweli.
Kwa sababu kipindi hicho hawakuwa na political n social power kama now . walikuwa wanakandamizwa..saa hivi si Kuna kina zumaridi kina ellen white waliotokea..๐so sielewi ur point ni nini
Hujajibu swali... wanawake wanapewa Nini mbingunihatuna mtu wewe, baada ya muda ndio nyinyi tunakuoneni mnalalamikia mshanyooshwa na ma feminists'