Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Ushajuzwa uislamu umenanza juzi tu.
Ukristo ulioletwa na YEsu[ambapo Yesu ni Mungu wa Wote wenye mwili] ulikuta duniani kuna dini nyingi za Kirumi na kiyahudi, za Masadukayo na Mafarisayo lakini SI UISLAMU.
 
Ayatolah Bin Kilemba anayeapa kuwa Sunni ni dhaifu kwa Shia nae unamuongeleaje?
 
... waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Hata mimi hadi leo unaposoma hii reply ningesirimu ila hapo ndiyo shida!.
 
Alhamdulillah,Allah kwa kuniumba mimi kuwa muislam,au la ingekuwa namimi muda huu niko zangu naruka ruka kukanyaga mafuta ili nipate baraka za kupata mali,hakika ametakasika mwenyezmungu.
Allah yuko uarabuni wewe umezaliwa africa halafu unasema Allah kakuumba What a crazy?
 
Ushajuzwa uislamu umenanza juzi tu.
Ukristo ulioletwa na YEsu[ambapo Yesu ni Mungu wa Wote wenye mwili] ulikuta duniani kuna dini nyingi za Kirumi na kiyahudi, za Masadukayo na Mafarisayo lakini SI UISLAMU.
Toka Lin sasa Mungu akaenda chooni kukata gogo?

Nawewe unakubali kabisa kuongopewa kuwa Yesu ni Mungu,umeskia wapi Mungu anaenda chooni kunya mavi?
 
Toka Lin sasa Mungu akaenda chooni kukata gogo?

Nawewe unakubali kabisa kuongopewa kuwa Yesu ni Mungu,umeskia wapi Mungu anaenda chooni kunya mavi?
Kwani wewe umesha wahi kuwekwa kinyumba na huyo Mungu mpaka ukajua kwamba hanyagi?
 
Wewe ndio ukafanye utafiti. Huyo mwenyewe aliyeueneza alitumia upanga
 
Kwani wewe umesha wahi kuwekwa kinyumba na huyo Mungu mpaka ukajua kwamba hanyagi?
MUNGU WANGU MIMI HAKUZAA,WALA HAKUZALIWA NA WALA HAKUNA KIUMBE HATA KIMOJA AMBACHO ANAFANANA NACHO,MUUMBA WA MBINGU NA ARDHI NA VYOTE VILIVYOMO,MWENYE KUTOA UHAI NA KIFO,NA NDIYE MFALME PEKEE WA SIKU KUUBWA YA MALIPO YA MATENDO YETU,ILA SASA MUNGU WAKO YESU KWANI NI UONGO KUWA ALIKUWA ANAENDA CHOONI KUNYA MAVI??
 
Hujui kitu wewe tulia
 
Uislamu hata upakwe rangi gani hiyo rangi itachubuka itabaki rangi yake halisi nyeusi
 
Ukatili ndio Uislam wenyewe
 
Hivi unafahamu maana ya kijichukulia sheria mkononi?
 
Shida kubwa ya Muslims... especially wa mtandaoni na kibongobongo ni kuwa wafia dini wasio na maarifa.

They give vibes kama ni "cult", having a muslim husband at some point a thought of kuwa Muslim ilicross my mind, lakini the more I was digging the more I lost interest and sikuona possibility ya kuwa na community solid katika mazingira yangu ili kukua kiimani kama niliyonayo kanisani
 
Sidhani kama unaielewa dini ya kiislam vizuri
Kwanza hakuna mahali imesema wanawake wanyanyashwe
Ila pia angalia wanawake wa wapi wanaonyanyashwa hata kingono au kiuongozi kama nchi zetu
Kuwa na Rais mwanamke kwetu kila leo kelele sasa mlimpa ya nini U Makamo
Bora ungeliweka kama maswali ili ujibiwe

Ila kama hata nchi za kiarabu hujafika na kuona wanavyoishi tuulize
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…