5-1 😂😂😂🔥😆😆😆😆
Tanzania ina safari ndefu sana mpaka kije kiishe kizazi cha watu kama wewe sio leoHizi report za CAG zinatoka kila mwaka, kuna awamu gani imeshawahi kuwa na report safi kabisa?.
Acheni nongwa za kipumbavu watanzania.
Michezo ndio inayafanya mataifa kama Ivory Coast yawe na amani baada ya vita za miaka na miaka.
Michezo kwa maana ya medali za dhahabu na wakimbiaji wa mita mia ndio inauficha umaskini wa jumla wa Jamaica.
Michezo ni heshima ya taifa. Ni nchi yenye kujaa washamba pekee isiyoelewa maana na faida za michezo.
Kuhusu mkataba wa bandari nakushauri tafuta mada nyingine za kuumiza kichwa chako, hilo jambo ndio limeshapita.
Wewe unajiona upo njema sana kichwani? Unajidanganya una msaada sana kwa nchi yako?.tanzania inasafari ndefu sana mpka kije kiishe kizazi cha watu kama wewe sio leo
Wanaishia humu humu JF hawana jeuri ya kuandamana huko njiani.Nilitamani nione watu wamebeba mabango ya kuwapinga do world au kuwafukuza waarabu wa loliondo
Nje ya mada5-1 😂😂😂🔥
Utalala na Boni Yai 😂😂😂Nje ya mada
HayaUtalala na Boni Yai 😂😂😂
Eti Mama Samia, muone sasa!Yaani wewe ndiyo unauelewa kumshinda mama Samia?
Frankly speaking samia hajui chochote kuhusu mpira! support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa ccm ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa simba na yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia samia akipongeza timu kama ihefu,dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1•Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2•Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..