Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Umaskini upo dunia nzima na sababu zake zinajulikana na zinazidi kuongezeka kila kukicha.Mhhh umasikini wa taifa ufichwe na medali ya dhahabu ya mtu mmoja?
Hii ya leo kali [emoji22]
Heshima ya michezo inatafutwa na inachangia katika kukuza umaarufu wa taifa zima.
Usaini Bolt unajua kapeleka watalii wangapi kwao Jamaica?.
Sergei Bubka unajua alilitangaza kwa kiasi gani taifa lake la Ukraine miaka ile ya nyuma?.
Vipi kuhusu Senegal na timu zao za taifa zenye makombe makubwa barani afrika, hakuna ushawishi wowote wanaoupata mawakala wao huko Ulaya kupitia heshima ya timu zao za Taifa?.