Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIAFrankly speaking samia hajui chochote kuhusu mpira! support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa ccm ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa simba na yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia samia akipongeza timu kama ihefu,dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1•Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2•Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Nakubaliana na wewe ila hili la kuleta siasa michezoni ni sumu mbaya, itaua hata hiyo michezo yenyewe. Leo uwanja mzima mmesambaza picha za mama yenu! Mwambieni hazitamsaidia kitu, mtaani wananchi hawamuelewi.Hizi report za CAG zinatoka kila mwaka, kuna awamu gani imeshawahi kuwa na report safi kabisa?.
Acheni nongwa za kipumbavu watanzania.
Michezo ndio inayafanya mataifa kama Ivory Coast yawe na amani baada ya vita za miaka na miaka.
Michezo kwa maana ya medali za dhahabu na wakimbiaji wa mita mia ndio inauficha umaskini wa jumla wa Jamaica.
Michezo ni heshima ya taifa. Ni nchi yenye kujaa washamba pekee isiyoelewa maana na faida za michezo.
Kuhusu mkataba wa bandari nakushauri tafuta mada nyingine za kuumiza kichwa chako, hilo jambo ndio limeshapita.
Watanzania wengi ni maskini na huwa hawafuatili mambo muhimu yanoyohusu kodi zao.Frankly speaking samia hajui chochote kuhusu mpira! support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa ccm ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa simba na yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia samia akipongeza timu kama ihefu,dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1•Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2•Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Mtu akila mlo mmoja na kupata bando la elfu anapiga makofi👏👏Wataabzania wengi ni maskin na huwa hawafuatili mambo mhim yanoyohusu kodi zao ,
Naunga mkono hojaFrankly speaking samia hajui chochote kuhusu mpira! support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa ccm ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa simba na yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia samia akipongeza timu kama ihefu,dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1•Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2•Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Umeongea vzr, na anajidanganya tu, yaani kila mechi ya yanga vs Simba ndo utaona ujinga huu. Wewe sa100 kumbuka kizur kinajiuza kibaya kinajitembeza. Wewe unajitembezaFrankly speaking samia hajui chochote kuhusu mpira! support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa ccm ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa simba na yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia samia akipongeza timu kama ihefu,dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1•Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2•Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Utaumia sana na bado Samia atakuwasha nchi nzima kwa ajili ya kuibua vipaji.Kunywa sumu kama unaumia saanaFrankly speaking samia hajui chochote kuhusu mpira! support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa ccm ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa simba na yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia samia akipongeza timu kama ihefu,dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1•Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2•Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Si Bora na Samia kafungua maelfu ya kesi,wale Wala Rushwa wa awamu ya 5 waliokuwa wanafukuza CAG walirudisha pesa?Frankly speaking Samia hajui chochote kuhusu mpira! Support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa CCM ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa Simba na Yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia Samia akipongeza timu kama Ihefu, Dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1• Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2• Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Si Bora na Samia kafungua maelfu ya kesi,wale Wala Rushwa wa awamu ya 5 waliokuwa wanafukuza CAG walirudisha pesa?
Samia apewe maua yake.
View: https://twitter.com/mwigulunchemba1/status/1721412876982694135?t=PajxVnIzKhkgygmGAEL7ug&s=19
Maigizo Kwa nani? CAG kaingezewa pesaMaigizo
Huyo anaweza kushitakiwa kwa defamation akiyasema hayo nje ya bunge.
Kama kidume kweli ayaseme hayo akiwa nje ya ubunge.
Siyo ujanja ni upuuziFrankly speaking Samia hajui chochote kuhusu mpira! Support za kinafiki ambazo huwa anatoa huwa ni ushauri anaopewa na ma-master mind wa CCM ambao wameshajua kuwa ukiwateka mashabiki wa Simba na Yanga basi kura karibia zote unazo!!
Swali dogo tu;Je ni lini umemsikia Samia akipongeza timu kama Ihefu, Dodoma jiji etc wakipata ushindi kwenye NBCPL?? Jibu ni rahisi hawa hawana positive impact kwake!
1• Samia tunataka kuona unachukua hatua kwa mafisadi yaliopo kwenye report ya CAG.
2• Mkataba wa bandari upitiwe upya pia..
Hizi report za CAG zinatoka kila mwaka, kuna awamu gani imeshawahi kuwa na report safi kabisa?.
Acheni nongwa za kipumbavu watanzania.
Michezo ndio inayafanya mataifa kama Ivory Coast yawe na amani baada ya vita za miaka na miaka.
Michezo kwa maana ya medali za dhahabu na wakimbiaji wa mita mia ndio inauficha umaskini wa jumla wa Jamaica.
Michezo ni heshima ya taifa. Ni nchi yenye kujaa washamba pekee isiyoelewa maana na faida za michezo.
Kuhusu mkataba wa bandari nakushauri tafuta mada nyingine za kuumiza kichwa chako, hilo jambo ndio limeshapita.
Ogopa sana watu wanoweka majina ya passport hadharani sio kwa bahati mbaya nduguTanzania ina safari ndefu sana mpaka kije kiishe kizazi cha watu kama wewe sio leo
😂😂Hata aliyemdanganya kuweka mabango Nchi nzima amezidi kumpoteza, hayana impact yoyote Ile
🤣🤣Mhhh umasikini wa taifa ufichwe na medali ya dhahabu ya mtu mmoja?
Hii ya leo kali [emoji22]