Huyo chatu yeye angeenda mbugani kuwinda sio kuwinda vitoweo vya jeshi! Watu wanafuga nguruwe walishe jeshi huyu boya anajifanya anawinda bandani😅😅😅Lakini ukumbuke pia sisi binadamu ndo tunamaliza misitu kiasi cha kua wanyama hawana mahali salama pa kuishi tena ambapo watatoshelezeka na chakula...
Zawadi yake so kifo, yafaa kumfukuza aende zakeHana madhara wakati yupo jirani na banda la nguruwe 😅😅😅 au unahisi alienda maeneo hayo kupiga picha?
Wapuuzi wanahisi tupo Philadelfia hapa 😅😅😅 hii ni bongo! Huyo chatu ni kwamba alileta utata maana aliona jamaa anamkatili kumuharibia mission yake 😅! Ukimuona kabisa sio chatu wa kawaida huyo mkubwa kama Anaconda!Acheni mapepe nyinyi keyboard warrior next thing mtadai simba akiingia kambini aachwe.
Una hamu ya kuona nyoka nenda zoo au tafuta mmoja umfuge.
Mnajiona mnafikiria kisasa au siyo?
Kaanze wewe ili iwe mfanoTunataka ushuhuda wa huyo comando kuua koboko, chatu hata awe na ukubwa wa anaconda bado haipendezi kujichukua ujiko kwasababu sote tunajua ni mzembe
Tunataka action ya koboko
huyo chatu kwanza kuna kila dalili kua ni mzee, mpaka hapa ni wazi kua chatu kafa kwa vingi ukiachana na huo mkuki aliouelezea bwana afande as if anaelezea atomic bombWe wanakugusa masaburi! Jamaa anafanya ulinzi kwenye ranch za nguruwe ghafla akakutana na chatu na yeye yupo lindo! Sasa afanyeje amuachie akameze nguruwe ama ulitakaje
Chatu mzee anapambana?huyo chatu kwanza kuna kila dalili kua ni mzee, mpaka hapa ni wazi kua chatu kafa kwa vingi ukiachana na huo mkuki aliouelezea bwana afande as if anaelezea atomic bomb
Yaani watu wanajifanya angehivi au angevile tafuta kashkaji kamoja kati ya hao kamtupie chatu wa futi mbili tu anapoishi umuone.Wapuuzi wanahisi tupo Philadelfia hapa 😅😅😅 hii ni bongo! Huyo chatu ni kwamba alileta utata maana aliona jamaa anamkatili kumuharibia mission yake 😅! Ukimuona kabisa sio chatu wa kawaida huyo mkubwa kama Anaconda!
Mi kabwela, panya tu sijaweza kuwadhibiti ndani sembuse black mamba?Kaanze wewe ili iwe mfano
na kamera ya kurekodia kabisaHivi siku hizi Jwtz wanatembea na mikuki na sio bunduki
Kama ni mzee it also means ana experience.huyo chatu kwanza kuna kila dalili kua ni mzee, mpaka hapa ni wazi kua chatu kafa kwa vingi ukiachana na huo mkuki aliouelezea bwana afande as if anaelezea atomic bomb
Kwa hiyo huyo chatu angekamata kruta au mnyama pale zizini ni fresh maana ni kivutio.Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
View attachment 1849529
Jeshi gani mkubwa ulikuwaNa yule chatu lazima aliliwa nyama.. Kipindi nipo jeshini, tulikula sana kenge , na chatu
experience bila power ni pointlessKama ni mzee it also means ana experience.
Ziwa Victoria na Ruzizi, Tz mpaka Rwanda wote tulihangaishwa na mamba mmoja tu kibabu chenye uzoefu
Mimi sipingi kwamba ni hatari kwa nyoka huyo kua karibu na maeneo ya binadamu. (manake hata mtoto chini ya miaka 15 anawezwa kumezwa mzima mzima na chatu mkubwa kama huyo alieuliwa)Mleta mada ukitaka nyoka wa maonyesho kama huyo nenda bujora kwenye maonyesho ya wasukuma utawakuta huko, kama unaona ni kosa kamshitaki mahakaman maana sheria ni kwa wote sio raia tu hata wanajeshi pia wanashitakiwa!
Sisi tunaamini amefanya jambo jema maana nyoka huyu hafai kuwa karibu na binadam angeweza kudhuru binadam waliokalibu na eneo lile au pengine angumuua huyo askari.
Je ni bora nyoka kauwawa au askari aliepewa mafunzo kwa gharama za wananchi(kodi) il I alinde nchi na mipaka yake afe kwa kuwawa na nyoka?
Hapa najua kama askari angeuwawa na nyoka basi ungefungua uzi hapa ukidai askari hana mafunzo ya kutosha kumkabili adui(nyoka) yule
kwani hiyo video imeonesha chatu akipambana au umeyachukua kama yalivyo maneno ya director na kuyaamini?Chatu mzee anapambana?