Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kuna kitu hamjui. Kambi ya jeshi sio chooni kila mtu anaingia. Kama ikitokea vurugu tu ma brigadier hawana mamlaka ya kupeleka wanajeshi eneo husika bila kibali cha CDF, sasa unadhani ni rahisi askari wa (foresti) kuingia eneo la jeshi ?Apigie simu TAWA (Tanzania Wildlife Management Authority) Waje wamchukue chatu huyo, hivyo ndo sisi tumeelezwa kufanya, ukiona nyoka mkubwa usimuue, pigia simu kwa KWS au snake park waje wamchukue.
Hata polisi kuna camera, kuna jamaa alikuwa ni askari polisi na kazi yake ilikuwa ni uandishi wa habari za jeshi la polisi. Hii ilikua miaka ya 2004na kamera ya kurekodia kabisa
Kumbuka askari nae anataka cheo ati.Chatu ni mnyama mwerevu sana, Hangeweza kushambulia hao nguruwe baada ya kujua kuna binadamu amemuona hapo karibu. (Labda kama huyo askari angempata chatu tayari ashamuua nguruwe na ako katika hali ya kummeza ndo hangeachilia chakula chake)
Chatu akishajua ameonekana na binadamu hua attention yote iko kwa binadamu maana anajua akisleki kidogo atauliwa. Infact, nyoka wote hua wako hivyo, wakishajua wameonekana na binadamu hua ni kukimbia au kujitetea maisha yake.
Mimi binafsi nimeshawahi kuona black mamba mkubwa sana karibia mita tatu, bahati nzuri alikua ashaniona na alikua anakwepa kwahivyo sikumfikia karibu kiasi cha kumtishia maisha yake kwa kumkanyaga bila kukusudia manake hapo angeniuma.... nilimfwata nyuma pole pole tu hadi akaingia kwa shimo flani, nikawapigia jamaa wa snake park inayopatikana karibu na kwetu wakaja waka ng'ang'ana hadi akatoka kwa shimo na wakamshika. Baada ya kama wiki moja jamaa huyo wa snake park akaja akanitafuta na kunipa Ksh.500, akaniambia huko snake park anakofanya kazi hua wanalipwa commision kulingana na ukali wa sumu au urefu wa nyoka watakaofanyikiwa kushika jangwani, akasema yeye alilipwa 3,400 kwa kumshika nyoka huyo kwahivyo hio 500 ni asante yake kwa kupiga simu.... Nikajua kumbe kuna faida kupiga simu!
Anyway, nilipomuuliza zaidi kuhusu huo ukali wa sumu akanieleza kua hapo snake park kazi yao ni ku extract sumu ya nyoka alafu wanaweka kwa package na kutuma South Africa, Ikifika huko sumu hio inadungwa kwa farasi ambao wanatengeneza anti-dote amabayo inatolewa kwa damu ya hao farasi kwenye maabara na wanasayansi wenye ujuzi huo alafu anti-dote hio ikirudi Kenya hua inauzwa gali sana kwahivyo hio industry ya kutengeneza tiba ya sumu za nyoka ni very exclusive na very profitable, kwahivyo nyoka wenye sumu kali si kivutio cha utalii tu bali ni industry ya kutengeneza tiba za kuumwa na nyoka lakini sisi Kenya na EAC kwa ujumla tunaichezea manake duniania kote kunaukosefu wa anti-dote za nyoka ilhali sisi tuko na nyoka wengi hatari kazi yetu kuua tu!
Ukiwa serious sana huwez nielewa mkuu.mkuu,,, naomba unifahamishe jinsia yako tafadhali, kisha uniambie unatokea dar au mkoani.
kuna utafiti flani najaribu kufanya hapa.
Chatu anajua binadamu sio 👍👍👍Chatu ni mnyama mwerevu sana, Hangeweza kushambulia hao nguruwe baada ya kujua kuna binadamu amemuona hapo karibu. (Labda kama huyo askari angempata chatu tayari ashamuua nguruwe na ako katika hali ya kummeza ndo hangeachilia chakula chake)
Chatu akishajua ameonekana na binadamu hua attention yote iko kwa binadamu maana anajua akisleki kidogo atauliwa. Infact, nyoka wote hua wako hivyo, wakishajua wameonekana na binadamu hua ni kukimbia au kujitetea maisha yake.
Mimi binafsi nimeshawahi kuona black mamba mkubwa sana karibia mita tatu, bahati nzuri alikua ashaniona na alikua anakwepa kwahivyo sikumfikia karibu kiasi cha kumtishia maisha yake kwa kumkanyaga bila kukusudia manake hapo angeniuma.... nilimfwata nyuma pole pole tu hadi akaingia kwa shimo flani, nikawapigia jamaa wa snake park inayopatikana karibu na kwetu wakaja waka ng'ang'ana hadi akatoka kwa shimo na wakamshika. Baada ya kama wiki moja jamaa huyo wa snake park akaja akanitafuta na kunipa Ksh.500, akaniambia huko snake park anakofanya kazi hua wanalipwa commision kulingana na ukali wa sumu au urefu wa nyoka watakaofanyikiwa kushika jangwani, akasema yeye alilipwa 3,400 kwa kumshika nyoka huyo kwahivyo hio 500 ni asante yake kwa kupiga simu.... Nikajua kumbe kuna faida kupiga simu!
Anyway, nilipomuuliza zaidi kuhusu huo ukali wa sumu akanieleza kua hapo snake park kazi yao ni ku extract sumu ya nyoka alafu wanaweka kwa package na kutuma South Africa, Ikifika huko sumu hio inadungwa kwa farasi ambao wanatengeneza anti-dote amabayo inatolewa kwa damu ya hao farasi kwenye maabara na wanasayansi wenye ujuzi huo alafu anti-dote hio ikirudi Kenya hua inauzwa gali sana kwahivyo hio industry ya kutengeneza tiba ya sumu za nyoka ni very exclusive na very profitable, kwahivyo nyoka wenye sumu kali si kivutio cha utalii tu bali ni industry ya kutengeneza tiba za kuumwa na nyoka lakini sisi Kenya na EAC kwa ujumla tunaichezea manake duniania kote kunaukosefu wa anti-dote za nyoka ilhali sisi tuko na nyoka wengi hatari kazi yetu kuua tu!
habari ya train za SGR imewasumbua kwelikweli!Wakenya mnasumbuka na Nini?
Huyu soldier hakutakiwa kumuua huyu chatu,kama angekuwa jasiri ,angemdhibiti akiwa hai,na kama angeweza kumkabidhi kwa marihasiri.ingekuwa heshima kubwa,hii kuua sio ujasiri,wamasai wanaua Simba kila siku,Nilikua napitapita kule YouTube nilipokutana na hii vidio ilio nishtua sana, eti mwanajeshi kaua chatu kwa "mikono yake" miwili (Ingawaje hapo akijieleza anasema alitumia mkuki na pia panga).....
Kilichonishtua ni jinsi vile media ya jeshi ilirukia na kuingia kazini eti kutoa taarifa kana kwamba kitendo kilichofanyika ni cha kusifia au hata cha kuonyeshwa kwa mitandao, Tena kwenye hio video naona hata kamanda wa cheo cha juu ako hapo anaruhusu ahojiwe......
Chatu mkubwa kama vile hafai kuuliwa, unajua amechukua mda gani kua mkubwa kama vile? mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park.. Inakuaje mlinda amani kama huyu ndo anaongoza kwa kumaliza raslimali na kivutio kizuri kama hichi? Tena anachapishwa kwa video eti sifa........ Hizi s zile enzi za 1950's ambapo wanyamapori walikua wengi kuliko binadamu, hata wamasaai waliacha mila za kuua simba eti ndo waonyeshe ujasiri wa kubalehe kwasababu ya kulinda mazingira na kusupport sector ya utalii.
Huyu askari anafaa ashikwe na kushtakiwa, huu ni ushamba wa hali ya juu, kama kazi yake ya kulinda kambi imemboesha, mpelekeni msumbiji kule kabo-delgado akapambane na magaidi .
View attachment 1849529
Watu wanamuonea huruma huyo chatu, vipi mjeda wetu angekwenda na maji si wangeanza kusema tena... Ooh mjeda gani hawezi kufight na chatu mara uzembe mara.....Hana madhara wakati yupo jirani na banda la nguruwe 😅😅😅 au unahisi alienda maeneo hayo kupiga picha?
Hahahah wampike tu aliwe naskia ni mtamu sana kama samakiWatu wanamuonea huruma huyo chatu, vipi mjeda wetu angekwenda na maji si wangeanza kusema tena... Ooh mjeda gani hawezi kufight na chatu mara uzembe mara.....
Napendekeza HUYO CHATU APIGWE SUPU.
Uliuona mkono wa kushoto wa yule MT?kwani hiyo video imeonesha chatu akipambana au umeyachukua kama yalivyo maneno ya director na kuyaamini?
Kuna clip ipo youtube, wajeda walikuwa wanamkata kata ili awe mboga...Hahahah wampike tu aliwe naskia ni mtamu sana kama samaki
Acha hizo wewe kwani wasiingie? Si taratibu zinafuatwa? Mbona wanavamiwaga na majambazi wanawaita polisi?Kuna kitu hamjui. Kambi ya jeshi sio chooni kila mtu anaingia. Kama ikitokea vurugu tu ma brigadier hawana mamlaka ya kupeleka wanajeshi eneo husika bila kibali cha CDF, sasa unadhani ni rahisi askari wa (foresti) kuingia eneo la jeshi ?
Wakenya mnasumbuka na Nini?
My take.We wanakugusa masaburi! Jamaa anafanya ulinzi kwenye ranch za nguruwe ghafla akakutana na chatu na yeye yupo lindo! Sasa afanyeje amuachie akameze nguruwe ama ulitakaje
Hivi chatu ni mtamu?Na yule chatu lazima aliliwa nyama.. Kipindi nipo jeshini, tulikula sana kenge , na chatu
Ana nyama kama ya kuku, iliyo chomwaHivi chatu ni mtamu?
Nimesikia kutapika