Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
- Thread starter
- #61
.... bilioni 325.3 zimepatikana kati ya April- Sept 2024.....Hebu nionyeshe ilipotoa hata Trilioni 5 tu Mwaka jana,hivi vichwani kwenu kuna akili Au takataka?
Usiwe mjinga kwa vitu vilivyo wazi....tatizo lenu hamfuatilii "msivyo vipenda".
#JMT milele !