Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Hiyo nyumba haipungui 200mil ni mwendelezo wa kudharirishana na kuoneana tu.....
 
Hawa ndio waliomba tena bilioni 1 kwa ajili ya uzio wa nyumba zote 7!!
Gharama ya kujenga hiyo nyumba milioni 143 na gharama ya uzio milioni 143!!

Hawa wameonja asali. Sasa wanataka mzinga!!
 
kwa nini uandikie mate wakati wino upo,
nyumba ipo, nyaraka za manunuzi zipo, wathamini wapo, sasa kwa nn tubishane? wakati kazi ndogo tu hiyo! ita valuer atoa tathimini ili kieleweke
 
Mnajitetea siyo??? Kwa Magu, mtazitema, Hana mtoto wa njomba Yule, Rudisheni pesa zetu

kwa nini uandikie mate wakati wino upo,
nyumba ipo, nyaraka za manunuzi zipo, wathamini wapo, sasa kwa nn tubishane? wakati kazi ndogo tu hiyo! its valuer atoa tathimini ili kieleweke
[/QUOT
 
Kupiga bati mil 15??? Mmh wajinga ni wengi sana, au inawezekana wewe ndio mkandarasi
Tufanye imekula bati 100 na bati moja ni 40,000(bei kubwa sana hii) , inakuwa ni mil 4 tu, kwa hiyo hiyo mil 11 ni matumizi ya mbao na misumari??
 
Namuona kaka yangu D. N umesimamishwa Kazi dah

Ova
 
Tiles za mil 17 ziwekwe kwenye gheto la kawaida?? Hebu chukulia tu mfano wa makadiriaji ya juu sana yaani tuseme box moja ni 80000, hapo unapata maboksi 212. Maboksi 212 unaweka kwenye gheto la kawaida??? Huu utani sasa
 
Mifuko 200 ni mingi sana kwenye hii nyumba. Tumejenga manyoni kwa ramani sawa na hii
 
Bati 200?? Kuna watu hamna kabisa ubongo kwenye vichwa vyenu
 
Kuna mtu anaweza kujenga nyumba kwa milioni 50, mwingine nyumba ya aina hiyo hiyo akajenga kwa milioni 100 kutegemeana na quality ya material na ubora wa finishing. Mambo ya ujenzi hayapo uniform kihivyo, kisa mtu kajenga kwa milioni 20 basi atataka kushawishi kila mtu kwamba gharama ya ujenzi wa nyumba haiwezi kuvuka mil.20.
 
Mifuko 200 ni mingi sana kwenye hii nyumba. Tumejenga manyoni kwa ramani sawa na hii
Utakua fundi tu wewe.
Kwanza niambie tofali za kulaza mfuko mmoja wa cement unajenga tofali ngapi?
 
Sasa kwanini nyumba za serikali ndio zinaongoza kwa ubovu?
Si kweli, ubovu umeanza siku hizi walipobadili mfumo wa usimamiaji.
Kabla ya magufuli nyumba za serikali zilikuwa na ubora na usimamizi thabiti.
Sababu usimamiaji ulisimamiqa tofauti na wajenzi.
 
Big Yes
 
Si kweli, ubovu umeanza siku hizi walipobadili mfumo wa usimamiaji.
Kabla ya magufuli nyumba za serikali zilikuwa na ubora na usimamizi thabiti.
Sababu usimamiaji ulisimamiqa tofauti na wajenzi.
ndio maana mnashauriwa kuwa wasikikizaji zaidi.
 
Hivi kwanini wanasiasa wa bongo wanajitia kujua kila kitu hata vile ambavyo viko nje ya taaluma yao? Gharama za ujenzi ziko juu na mtu huwezi kutoa makadirio kwa kuangalia tu.
By the way, nani anajua gharama harisi za kununua madege ya atcl?
magufuli ni zaidi ya mwanasiasa mkuu,

amekaa wizara ya ujenzi miaka kadhaa,anajua upuuzi mwingi usioujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…