Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Kama nyumba ya kuishi..residential house and not an office! Ila haiwezi kujengwa kwa 40,000,000 au 60,000,000 kma walivyosema PM na Rais. Likewise, 145,000,000 ni nyingi !
 
Umemaliza ubishi!
 
Mbona kila mtu nyie anajifanya alichukua quotation zake, kwanini wao wasiseme ili kutoa utata

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nikupe hiyo pesa ukanijengee kama hiyo !?
 
Hapo bado ukuta wa fence!
 
Ila kumbuka huwez jenga nyumba ya taasisi ukasupervise kama yako, hii inaenda na wataalam, tofali hadi upeleke maabara, zege pia, i bet kwa construction process halisi zikifuatwa hii nyumba inafika 110mil.
Kumbuka kila kitu kinatakiwa kiwe standard
Na isipokua standard inakua shida tena😀
 
Mheshimiwa Raisi yupo sahihi kabisa, kwa milioni 40 with effective supervision unajenga kama hiyo
Milioni arobaini hapana, ila kwa mil 100 au zaidi nakubali. Hapo hujui tiles wameka za viwango gani, bati hiyo ni gauge 28 , ratio ya zege hapo ni kama ya madaraja. Mi nadhani kama imefuata standard zile za serikali kabisa inaweza kufika hata mil 120 au zaidi. Tusiwe emotional Sana kwenye haya mambo, tuwe logical. Hapo huenda kila kona ya nyumba kuna nguzo, hapo tayari gharama inaongezeka, huenda katikati ya msingi na lintel kuna ring beam nyingine.
 
Kama kuna finishing touches nzuri huko ndani, na structure ilijengwa kwa viwango stahiki, no way hiyo nyumba ni less than 100m.. mnaosema milioni sijui 60, 70 mnaongelea very low qualoty houses...
Ni kweli kabisa mkuu
 
Well said
 
Sio kweli mkuu, tofali moja iliyotumika hapo haipungui 2200 kwasababu ratio ya tofari ya serikali ni kali na tofari ni mpaka ipelekwe maabara kupimwa. Wakuu tusipngee kwa mihemko. Ratio ya zege hapo ni kama ya madaraja ya mfugale. Hiyo nyumba kama imefuata standard zote za serikali inaweza isipungue 120M
 
Kwa standard za serikali hiyo thamani ni sahihi kabisa kama imefuata standard zote
 
Hapo unapiga hesabu mifuko ya saruji, piga hesabu ya matofari mzee. Tofali moja haipungui sh.2000 maana ratio yake ni kali sana.kokoto hawatumii chafu, wanatumia zile za barabarani
 
Mheshimiwa Raisi yupo sahihi kabisa, kwa milioni 40 with effective supervision unajenga kama hiyo
ndiyo shida ya mambo ya zabuni na tenda. Siku zote lazima iwe juu. Ila wanhetumoamJKT tungeambiwa 20M maana free labour
 
Mkuu umeongea point, watu wanalinganisha na zile Nyumba za chanika zinazouzwa m40 wakati zimejengwa na tofali za biskuti bati g30. Tofali za serikali mfuko mmoja unatoa tofali 20-25
 
Nyumba ya kawaida sana million 140 sio kweli labda kama kiwanja wameuziwa million 100 mikochen
 
Kama kuna finishing touches nzuri huko ndani, na structure ilijengwa kwa viwango stahiki, no way hiyo nyumba ni less than 100m.. mnaosema milioni sijui 60, 70 mnaongelea very low qualoty houses...
Wewe wacha mambo yako Rais amesema milioni 43!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…