Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,987
- 5,566
msimamizi wa ujenzi/ consultant ni nani?
hao wasimamizi wapo barabarani au maofisini?
hao wasimamizi wapo barabarani au maofisini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawepa pita kule shauri moyo Al haramainWasiwasi wangu pia ni kama upanuzi wa Uhuru Road (Karume-Kkoo) utawezekana maana zile njia mbili zimemaliza space yote
Labda kama BRT itaunga Nyerere Rd (Mataa ya Changombe) to Kkoo
Angalia ukubwa wa hizo nchi halafu ndio utajua TZ ina muunganiko wa barabara kiasi ganiTaarifa zimfikie CAGView attachment 1756017
Mpango wote ulianzia kwa Big Ben, JK akapokea kijiti akakikimbiza mpaka alipofikia akapokea anko Magu. Sifa haipo kwa mmoja tu. Ukitaka kusifia Unawiri wa Matunda juu ya Matawi mara zote angalia ShinaHuyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je? ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani
Kama ni juhudi sema za Kikwete au hujui BRT ilisainiwa na nani?Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.
Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Hata njia nane alikuta upembuzi ulishafanyikaHiyo yote alikuwa ni mipango ya JK. Mipango ya JPM ni ile ya ujenzi Wa chato, vitambulisho vya machinga, wakulima kusamehewa kusafirisha mazao yao yasiyozidi gunia 10, machinga wasiguswe wafanye biashara popote, na ujenzi Wa njia 8 kwenda Kibaha na ukuta Wa melerani.
Nchi ina master plan, acheni mambo ya JK sijui JPM. Kila kinachofanyiko kiko planned, mchango wa rais ni usimamizi.Hiyo yote alikuwa ni mipango ya JK. Mipango ya JPM ni ile ya ujenzi Wa chato, vitambulisho vya machinga, wakulima kusamehewa kusafirisha mazao yao yasiyozidi gunia 10, machinga wasiguswe wafanye biashara popote, na ujenzi Wa njia 8 kwenda Kibaha na ukuta Wa melerani.
Wanajitoaga akilitu sio kama hawaoni kinacho endelea.Naona barabara ya kuelekea Karume tokea Kigogo 2014 inayotokea magomeni imeshaanza kufumuliwa na kutanuliwa kwa fujo, tayari kwa kutandikwa mkeka wa BRT. Taarifa zimfikie CAG. Leo naweka picha kabisa.
View attachment 1755801
Haya yameanza tokea enzi za jk kwanini hatuwasikii mkisema jk ni shujaa wa afrika
Hiyo yote alikuwa ni mipango ya JK. Mipango ya JPM ni ile ya ujenzi Wa chato, vitambulisho vya machinga, wakulima kusamehewa kusafirisha mazao yao yasiyozidi gunia 10, machinga wasiguswe wafanye biashara popote, na ujenzi Wa njia 8 kwenda Kibaha na ukuta Wa melerani.
Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je? ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
Taarifa zimfikie CAGView attachment 1756017
CAG hajatumia vilainishi ndio maana mmemchukia sana MATAGA
Angalia ukubwa wa hizo nchi halafu ndio utajua TZ ina muunganiko wa barabara kiasi gani
Jiwe Mradi wa BRT kaukuta umefanyika kila kitu, including kupatikana kwa Financier ambae ni World Bank!Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.
Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Tulikua tunaongoza na mataahira,ndugai yeye alisema anafail mirembeAwamu ya tano kelele zilikuwa nyingi mno, hata wakichimba choo cha shule moja wanakimbilia kwenye tv kutangaza, hii ndiyo iliyowavuruga baadhi ya watu kudhani awamu hii imefanya makubwa kuliko awamu zote zikijumlishwa.
Haya yameanza tokea enzi za jk kwanini hatuwasikii mkisema jk ni shujaa wa afrika
Tulikua tunaongoza na mataahira,ndugai yeye alisema anafail mirembe
Mwenda zake yeye lake sijui lipo muhimbili au chato maana afazali job yeye alitujuza lilipoTulikua tunaongoza na mataahira,ndugai yeye alisema anafail mirembe
Yeye lilikua muhimbili ndio karibu na magogoniMwenda zake yeye lake sijui lipo muhimbili au chato maana afazali job yeye alitujuza lilipo