Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Hiyo yote alikuwa ni mipango ya JK. Mipango ya JPM ni ile ya ujenzi Wa chato, vitambulisho vya machinga, wakulima kusamehewa kusafirisha mazao yao yasiyozidi gunia 10, machinga wasiguswe wafanye biashara popote, na ujenzi Wa njia 8 kwenda Kibaha na ukuta Wa melerani.
Kabisa!
 
Nchi ina master plan, acheni mambo ya JK sijui JPM. Kila kinachofanyiko kiko planned, mchango wa rais ni usimamizi.
Hiki ndiyo watu wengi hawajuwi,kua Nchi hii tayari mipango yake iko kwenye Ramani toka enzi za Mkoloni! Hata Kama kutakua na mabadiliko,yatakua ni kidogo tu hasa kutokana na population ya wakati uliopo!! Watu naona wao wamekazana eti tuweke ajenda za kitaifa wakati Baba wa Taifa alishamaliza mipango yote ya Tanzania kwenye Ramani!!
 
Hiki ndiyo watu wengi hawajuwi,kua Nchi hii tayari mipango yake iko kwenye Ramani toka enzi za Mkoloni! Hata Kama kutakua na mabadiliko,yatakua ni kidogo tu hasa kutokana na population ya wakati uliopo!! Watu naona wao wamekazana eti tuweke ajenda za kitaifa wakati Baba wa Taifa alishamaliza mipango yote ya Tanzania kwenye Ramani!!
Ila utekelezaji wa hiyo mipango ndio la muhimu zaidi, haiwezekani mpango kama wa Rufiji umekaa kwenye mafaili tangu 1970’s lakini 2020 ndio unatekelezwa, lazima ushujaa apewe alietekeleza
 
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Ukisikia power of propaganda ndiyo hii, yaani bado hamuamini kama hayupo tena na sasa tuna awamu ya 6, poleni sana.
 
Huku Mbagala hawajamaliza wataanza je huko?mradi huu unaenda kwa phase,sasa hivi wanajenga phase 2 kulwa road,hiyo ya kigogo inayosema wewe ni phase ipi?
Nadhani huo ni ukarabati wa kawaida kama ule ujenzi uliofanywa temeke, polisi,tmk,hospitali,tmk sundan kutokezea mtoni kwa Aziz ally

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Bila kuboresha mindset ya wanaouendesha mradi huo miundombinu yote inabaki kazibure
 
Hiyo yote alikuwa ni mipango ya JK. Mipango ya JPM ni ile ya ujenzi Wa chato, vitambulisho vya machinga, wakulima kusamehewa kusafirisha mazao yao yasiyozidi gunia 10, machinga wasiguswe wafanye biashara popote, na ujenzi Wa njia 8 kwenda Kibaha na ukuta Wa melerani.
Kwanini sasa havikujenjwa awamu io?
 
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Hivi mnavuta bangi ya wapi ninyi wasukuma?
Mfu anajuhudi gani?
 
Huku Mbagala hawajamaliza wataanza je huko?mradi huu unaenda kwa phase,sasa hivi wanajenga phase 2 kulwa road,hiyo ya kigogo inayosema wewe ni phase ipi?
Nadhani huo ni ukarabati wa kawaida kama ule ujenzi uliofanywa temeke, polisi,tmk,hospitali,tmk sundan kutokezea mtoni kwa Aziz ally

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiyo ya Mbagala ni phase 3, ilianza kabla ya hii ya phase 2
 
Mkuu una uhakika ni BRT hiyo? Umeona kibao cha Ujenzi? isije ikawa maboresha ya njia za michepuko tu.
Sijaona kibao, ila kwa upanizi ule wa barabara na ufumuaji ule wa barabara , halafu uje ujenge barabara ya kawaida halafu baada ya miezi 6 uvunje tena kujenga BRT, hiyo itakuwa ni akili au uwendawazimu? Ile ni BRT tu, kwa vyovyote vile
 
Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je? ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
Ila hiyo terminal 3 pesa ili liwa yote, kaja kuijenga Magu na akawambia pesa ikiliwa mtaitolea popote pale

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo yote alikuwa ni mipango ya JK. Mipango ya JPM ni ile ya ujenzi Wa chato, vitambulisho vya machinga, wakulima kusamehewa kusafirisha mazao yao yasiyozidi gunia 10, machinga wasiguswe wafanye biashara popote, na ujenzi Wa njia 8 kwenda Kibaha na ukuta Wa melerani.
Njia 8 ni JK
 
Back
Top Bottom