Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Jk ndio mzizi, magu hakuna alilofanya zaidi ya kula mahindi mabarabarani
 
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Jk ndio mzizi, magu hakuna alilofanya zaidi ya kula mahindi mabarabarani
 
Duuuh, huu upenzi ni wa kiwango cha SGR.

Miaka mitano ya kwanza, raisi yeyote anatembelea mipango iliyopo, mitano inayofuata anakuwa bize kujilimbikizia mali, hapo sasa anaweza chora ramani ya miaka 5(ya mwenzake) ijayo.

Kabla hamjaanza hizi tambo, tuambieni mipango iliyokuwepo kuanzia awamu ya kwanza, ipi ilikamilika na ilikamilika awamu ipi? Ipi bado na ipi ndo inaendelezwa sasa; mfano, daraja la Mkapa, ni mpango wa awamu ya kwanza, awamu ya 3 wakaanzisha mchakato uliokamilika awamu ya nne.

Uwanja wa mpira ni mpango wa awamu ya tatu, ukakamilika awamu nne, mpango wa kusambaza umeme nchi zima ni wa awamu ya pili kwa gharama ya Tshs 1.2trillion, Tanesco wakanyimwa, wakapewa IPTL, guess nani alileta IPTL! Mpaka leo mradi huo haujakamilika, umeridhiwa na REA kwa kuwakamua wananchi sasa.

Maji ya Nile, mpango wa awamu ya 3, Lowasa akawashinda waarabu na mradi ukafanyika kipindi hicho.

Sasa, tujue basi ili anayestahili asifiwe na tusisahau kuweka na madudu yao, tupime ili tupate mizania sawa na ya haki.
Yaani maji ya ziwa Victoria unaita ni maji ya Nile? Unakwama wapi kwani?
 
Twambie Rais/utawala ambao haukujenga barabara - Wajerumani, Waingereza, Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikiwete. Hata Samia pia anajenga kwa kaisi chake. Usiwe mjinga. Hata makubaliano ya kujenga daraja la Ubungo na Mfugale yalitiwa saini wakati wa JK. Tumia ubongo uliyopewa na Mungu vizuri. Tawala zote zilijenga barabara kwa kiwango chake.
Hoja yake ni wale wanaosema JPM hajafanya lolote, na si kwamba wengine hawakufanya lolote
 
Usipotoshe. Nakufahamu vizuri. Wewe ni mpiga vigelegel mzuri wa marehemu dikteta. Hoja yake ni kuwa Samia hafanyi chochote. Hata hizo barabara zinazojengwa sasa hivi ni Magufuli ndiye anazijenga. It is bullshit!
Hoja yake ni wale wanaosema JPM hajafanya lolote, na si kwamba wengine hawakufanya lolote
 
Back
Top Bottom