The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Unataka tumsifie akivyokua anakupiga miti?Mabarabara n kitu cha kujisifia kwel,acha upunguani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka tumsifie akivyokua anakupiga miti?Mabarabara n kitu cha kujisifia kwel,acha upunguani
Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je? ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
Mabarabara ni kitu cha chini sana ambacho hupaswi kumsifia rais,kama ukiwa na akili timamu na akili zako znafanya kaz vizur,labda kama unatumia mkundu kufikir ndo unaweza kusifia kwa ujenz wa barabara tu,hata sisimiz wanajenga barabaraUnataka tumsifie akivyokua anakupiga miti?
Sasa ilichelewa wapi?na mbona inaanzia katikati?Hiyo ya Mbagala ni phase 3, ilianza kabla ya hii ya phase 2
kuna shida sehemu...watanzania wagumu katika kutekeleza sio kupanga...kuna mmoja mtoa ahadi wa mipango mzuri ila si mtekelezaji wa mambo yake,kimsingi kila serikali huanzisha mipango na kuandaa mpango ya serikali inayokuja upimaji ni kwenye utekelezaji.Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaama mtoa ahadi wa mipango mzuri ila si mtekelezaji wa mambo yake,kimsingi kila serikali huanzisha mipango na kuandaa mpango ya serikali inayokuja upimaji ni kwenye utekelezaji airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je?
Ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
Hapo ki % UGANDA ndio inaongoza.Taarifa zimfikie CAGView attachment 1756017
hahah, huna unachokijua, phase 1 ni kimara to ferry, kwanini ilienda kariakoo na kinondoni. hiyo ya mbagala pamoja na hiyo ya ilalavyote ni phase 2Huku Mbagala hawajamaliza wataanza je huko?mradi huu unaenda kwa phase,sasa hivi wanajenga phase 2 kulwa road,hiyo ya kigogo inayosema wewe ni phase ipi?
Nadhani huo ni ukarabati wa kawaida kama ule ujenzi uliofanywa temeke, polisi,tmk,hospitali,tmk sundan kutokezea mtoni kwa Aziz ally
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna anaelaumu utekelezaji ila jinsi inavyoelezwa humu utafikiri yeye ndio alieanzisha hilo na bila yeye lisingefanyikaUpembuzi sawa , je usimamizi inakuwaje, unaweza ukapanga vizuri je uterekezaji vipi!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Magufuli alitaka kujitwalia utukufu was CCM akafa, kazi za chama hizoHizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.
Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Uwezi kumaliza yote kwenye awamu yako vinginevyo utataka kuwa Rais wa maisha Jk alifanya yake JPM alifanya yake na Mama nae atafanya yakeKwanini sasa havikujenjwa awamu io?
See yo again JPM [emoji174] tutakukumbukaHizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.
Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Kumbe, nilijua ya kwenda Mbagala ni phase 3, r u sure?hahah, huna unachokijua, phase 1 ni kimara to ferry, kwanini ilienda kariakoo na kinondoni. hiyo ya mbagala pamoja na hiyo ya ilalavyote ni phase 2
yupo sahihiKumbe, nilijua ya kwenda Mbagala ni phase 3, r u sure?
Duuuh, huu upenzi ni wa kiwango cha SGR.Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je?
Ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
Waziri wa ujenzi sio mwenye serikali .nyumbu usisahau wazili wa ujenzi alikuwa baba yako.View attachment 1756123
serikali ni ya nani??Waziri wa ujenzi sio mwenye serikali .
Kazi yake Ni unyampara
tukisema ufisadi ulikuwa mali ya msoga,mnasemaje yeye alipiga % kule ujenzi!!!Ya msoga king
Kayafa alikuwa nyampara tu
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.
Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Bus za mwendo kasi hazitakwama tena jangwani kwasababu ya mvua hasa ikimalizika pia karume hadi Kkoo
Naona barabara ya kuelekea Karume tokea Kigogo 2014 inayotokea magomeni imeshaanza kufumuliwa na kutanuliwa kwa fujo, tayari kwa kutandikwa mkeka wa BRT. Taarifa zimfikie CAG. Leo naweka picha kabisa.