Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je? ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?

Unataka tumsifie akivyokua anakupiga miti?
Mabarabara ni kitu cha chini sana ambacho hupaswi kumsifia rais,kama ukiwa na akili timamu na akili zako znafanya kaz vizur,labda kama unatumia mkundu kufikir ndo unaweza kusifia kwa ujenz wa barabara tu,hata sisimiz wanajenga barabara
 
Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaama mtoa ahadi wa mipango mzuri ila si mtekelezaji wa mambo yake,kimsingi kila serikali huanzisha mipango na kuandaa mpango ya serikali inayokuja upimaji ni kwenye utekelezaji airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je?

Ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
kuna shida sehemu...watanzania wagumu katika kutekeleza sio kupanga...kuna mmoja mtoa ahadi wa mipango mzuri ila si mtekelezaji wa mambo yake,kimsingi kila serikali huanzisha mipango na kuandaa mpango ya serikali inayokuja upimaji ni kwenye utekelezaji.
 
Huku Mbagala hawajamaliza wataanza je huko?mradi huu unaenda kwa phase,sasa hivi wanajenga phase 2 kulwa road,hiyo ya kigogo inayosema wewe ni phase ipi?
Nadhani huo ni ukarabati wa kawaida kama ule ujenzi uliofanywa temeke, polisi,tmk,hospitali,tmk sundan kutokezea mtoni kwa Aziz ally

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
hahah, huna unachokijua, phase 1 ni kimara to ferry, kwanini ilienda kariakoo na kinondoni. hiyo ya mbagala pamoja na hiyo ya ilalavyote ni phase 2
 
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Magufuli alitaka kujitwalia utukufu was CCM akafa, kazi za chama hizo
 
hahah, huna unachokijua, phase 1 ni kimara to ferry, kwanini ilienda kariakoo na kinondoni. hiyo ya mbagala pamoja na hiyo ya ilalavyote ni phase 2
Kumbe, nilijua ya kwenda Mbagala ni phase 3, r u sure?
 
Huyo Vasco dagama ndiye kajenga Barbara zote za lami kuunganisha mikoa na wilaya, ndiye kajenga UDOM, ndiye kajenga mwendokasi, ndiye kaja na mpango Wa SGR, ndiye kajenga terminal 3 Dar ea salaam airport, kajenga kambi na vyuo vya kijeshi, ukumbi Wa meal nyerere ulijengwa na yeye, mlimani city je?

Ndiye kaja na mpango Wa flyovers zote, ndiye kajenga nyumba za gorofa za askari na usalama, ndiye kavuta maji kutoka wami kwenda Handeni na Chalinze, ndiye kaanzisha kuvuta maji kutoka ziwa Victoria kwenda mikoa ya Mwanza, shinyanga, tabora, hadi Dodoma, ndo kajenga shule za kata na dispensaries kila kijiji, magora yote Dar yamejengwa wakati wake. Hivi JK utamfananisha na nani?
Duuuh, huu upenzi ni wa kiwango cha SGR.

Miaka mitano ya kwanza, raisi yeyote anatembelea mipango iliyopo, mitano inayofuata anakuwa bize kujilimbikizia mali, hapo sasa anaweza chora ramani ya miaka 5(ya mwenzake) ijayo.

Kabla hamjaanza hizi tambo, tuambieni mipango iliyokuwepo kuanzia awamu ya kwanza, ipi ilikamilika na ilikamilika awamu ipi? Ipi bado na ipi ndo inaendelezwa sasa; mfano, daraja la Mkapa, ni mpango wa awamu ya kwanza, awamu ya 3 wakaanzisha mchakato uliokamilika awamu ya nne.

Uwanja wa mpira ni mpango wa awamu ya tatu, ukakamilika awamu nne, mpango wa kusambaza umeme nchi zima ni wa awamu ya pili kwa gharama ya Tshs 1.2trillion, Tanesco wakanyimwa, wakapewa IPTL, guess nani alileta IPTL! Mpaka leo mradi huo haujakamilika, umeridhiwa na REA kwa kuwakamua wananchi sasa.

Maji ya Nile, mpango wa awamu ya 3, Lowasa akawashinda waarabu na mradi ukafanyika kipindi hicho.

Sasa, tujue basi ili anayestahili asifiwe na tusisahau kuweka na madudu yao, tupime ili tupate mizania sawa na ya haki.
 
Twambie Rais/utawala ambao haukujenga barabara - Wajerumani, Waingereza, Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikiwete. Hata Samia pia anajenga kwa kaisi chake. Usiwe mjinga. Hata makubaliano ya kujenga daraja la Ubungo na Mfugale yalitiwa saini wakati wa JK. Tumia ubongo uliyopewa na Mungu vizuri. Tawala zote zilijenga barabara kwa kiwango chake.
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
 
Back
Top Bottom