Ujenzi wa barabara ya mwendokasi, Magomeni - Karume waanza kwa fujo

Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Jk ndio mzizi, magu hakuna alilofanya zaidi ya kula mahindi mabarabarani
 
Hizo zote ni juhudi za Magufuli na mama anaziendeleza.

Anatokea huko msukule wa Mbowe anaharisha Magufuli hakufanya lolote. Zero brain kabisa.
Jk ndio mzizi, magu hakuna alilofanya zaidi ya kula mahindi mabarabarani
 
Yaani maji ya ziwa Victoria unaita ni maji ya Nile? Unakwama wapi kwani?
 
Hoja yake ni wale wanaosema JPM hajafanya lolote, na si kwamba wengine hawakufanya lolote
 
Usipotoshe. Nakufahamu vizuri. Wewe ni mpiga vigelegel mzuri wa marehemu dikteta. Hoja yake ni kuwa Samia hafanyi chochote. Hata hizo barabara zinazojengwa sasa hivi ni Magufuli ndiye anazijenga. It is bullshit!
Hoja yake ni wale wanaosema JPM hajafanya lolote, na si kwamba wengine hawakufanya lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…