Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020


Bwaahaaa bwahaaa yaani nimecheka kwa nguvu ile mbaya. Magufuli ana miradi mikubwa miwili huku ndani, inakadiriwa kuwa ni 15t+ ikikamilika kwa 100% yote. Mpaka sasa hakuna mradi wowote umefanyika hata robo, na hajafikisha hata nusu ya hela yaani 7t, amebakisha miaka mitano iwapo tume ya uchaguzi itamtangaza mshindi, haifahamiki ni wapi atapata 7-10t ili kukamilisha hiyo miradi achia mbali shughuli nyingine, saa hii wanaongea na Museveni Njozi za $14b!? Halafu hao wanaccm waliosombwa na malori, wanashangilia hilo igizo kuwa wako na visionary leaders, wakati hata sarafu ya pamoja ya EA imewashinda. Shubamiit.
 
Hizi imani zenu za CCM kukata pumzi ndio huwa zinawapelekea kusema mnaibiwa kura!!.

Muibiwe kura kwa substance ipi mliyonayo mbele ya jamii!!.

Siasa za jamii forum na twitter ni tofauti kabisa na zile za field na huwa hamjifunzi chochote.

Huwezi kumpangia mkuu wa nchi lipo aongee na kipi asiongee yule ni rais sio admin wa kundi la whatsapp.
 
Birds of the same feather fly together.
 
umeongea kwa uchungu sana dah,lakin ndio hivyo project inaanza

Ni kweli, ule mradi mliosaini kuanza 2017 na kukamilika 2020 mmeuza mapipa mangapi mpaka sasa? Nasikia huu mradi wa sasa ndio mtapiga faida ya ajabu, 60% ya Ccm, na 40% ya waganda!
 
Wewe mpuuzi, sikiliza ijumaa M7 alisema nini kuhusu kumuomba JPM? Endelea hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…