Mkuu jiongeze,vinginevyo watakuita kilaza.
Wewe ulisoma ABC ya mkataba?
Umesahau kuwa wadau wa mkataba ndio wanafanikisha mkataba?
Na hujui katika mkataba kuna wanauza na wanaonunua?
Elimu mkuu achana na porojo.
See meMkuu hapa naona tu furushi la maneno ya kiswahili, yenye koma,nukta na alama za kuuliza. Sioni lolote jipya kwenye maelezo yako.
Vile vile anakwenda kum update Mheshiwa Rais wetu juu ya bomba la mafuta baada ya Rais Museveni kukutana na CEO wa Total Patrick Pouyane na kuwezeshwa kusainiwa document muhimu kwa ajili ya kufikia Final Investment Decision (FID) ya uwekezaji katika bomba hilo.
Halafu yule mgombea wa Mbowe anasema Total inaondoka Tanzania ! Aibuuu ! No research no right to speak !
Kwa hoja zako hapo juu 🖕, naomba nikuulize swali moja tu:-Kwani huko kwenye box la kura kura huwa mnashinda au mnatangazwa washindi? Mngekuwa mnashinda mngelazimisha kupita bila kupingwa? Jamii ipi, hii inayoshurutishwa kuikubali ccm?
Huku mitandaoni ndio sehemu watu wanafunguka ukweli ambao ni hatari kuuzungumza huko mitaani. Huko mtaani mnajivunia watu wengi wenye ufinyu wa taarifa nothing else. Kwani huyo mkuu wa nchi anapangiwa cha kuzungumza kwa utashi wetu, au ni sheria za kimataifa zinaagiza hivyo?
Wakati ww unajivunia ccm kutangazwa washindi, sisi tunajua kabisa kuwa ccm huwa haishindi bali umiliki wa vyombo vya dola ndio huwabeba. Na udhibitisho kuwa ccm imekata pumzi, ni ww kuzunguka hapa bila kujibu hoja ya tofauti ya hii episode ya leo, na ile ya 2017.
Kaitwa kwa ajili ya campaign? HowMuseven nadhani hatokuja tena tz kichwa kichwa kaitwa ajiri ya kampeni kakutana na mambo ya bomba la mafuta hajamini alichokiona hii ndio tz
Yanaitwa masimango ya kisirisiri
Hata mie naitafuta sijui kaiweka wapi?
Kwanini mnaenda kupiga Kampeni Lindi huku mkidanganya eti zile bil. 20 za korosho mlishazilipa zote ila tu ni viongozi wa vyama vya ushirika ndio 'walizipiga' juu kwa juu.Kwa hoja zako hapo juu [emoji867], naomba nikuulize swali moja tu:-
Kwanini mnashiriki kwenye uchaguzi ambao mnajua kabisa kuwa hamtshinda..?
Umeandika nini ass?M7 ni dictator mzoefu, safari hii afadhali kufa kuliko ukhnith
as your mother assholeAs your asshole..!
wala hakua cha bomba, wanadanganya amemwita kumpa mbinu nadhani wanaogopa kuongea kwenye simuJamaa kamuita ampe ushauri maana Lissu kampeleka. Hadi kaomba poo
Utakufa na stress kunywa maji.Kagame kagoma kutumika Uhuru kagoma Burundi wamegoma na mseveni aache kuja kichwa kichwa maana nchi zingine kunyamaza Kuna maana kubwa sana.
Kwa kazi anayofanya Rais na wasaidizi wake hakuna sababu yoyote ya kucheza faulo kwenye uchaguzi.Kwani huko kwenye box la kura kura huwa mnashinda au mnatangazwa washindi? Mngekuwa mnashinda mngelazimisha kupita bila kupingwa? Jamii ipi, hii inayoshurutishwa kuikubali ccm?
Huku mitandaoni ndio sehemu watu wanafunguka ukweli ambao ni hatari kuuzungumza huko mitaani. Huko mtaani mnajivunia watu wengi wenye ufinyu wa taarifa nothing else. Kwani huyo mkuu wa nchi anapangiwa cha kuzungumza kwa utashi wetu, au ni sheria za kimataifa zinaagiza hivyo?
Wakati ww unajivunia ccm kutangazwa washindi, sisi tunajua kabisa kuwa ccm huwa haishindi bali umiliki wa vyombo vya dola ndio huwabeba. Na udhibitisho kuwa ccm imekata pumzi, ni ww kuzunguka hapa bila kujibu hoja ya tofauti ya hii episode ya leo, na ile ya 2017.