DOKEZO Ujenzi wa maeneo mengi ya Kariakoo hauzingatii usalama wa Watu na mali zao, hatua zichukuliwe tusisubiri majanga

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Makao Makuu OSHA si wakp.hapo hapo Darisalamu jamani.
 
Unavaa suti na miwani nyeusi na majingambo kibao....mmeshindwa KUDITEKTI hili angalizo ambalo lipo wazi kabisa hata chekechea anaweza kuliona
 
Walipuuza hili andiko,yametokea
 
Hivi ni Kwanini Serikali isizuie kutoa vibali vya ujenzi maeneo ya katikati ya Jiji la Dar ili kupunguza msongamano ?

Kwanini wasitawanyishe majengo nje ya mji kama vile Tegeta , Bunju , Kigamboni, Kimara , mbezi, Mbagala n.k ??

Kwanini wanakosa uzalendo wa kuona mbele miaka 20-50 ijayo kiwa hali itazidi kuwa sio nzuri ??
 
juz kwenye uzi wa ppp nimesema jengo lao ndio pekee naona wanatumia scafold badala ya mirunda. nimependa wao wanatumia chuma kubebea ile floor.mim kwa roshen zaid ya 5 naona kama mirunda inanepq sometimes
 
juz kwenye uzi wa ppp nimesema jengo lao ndio pekee naona wanatumia scafold badala ya mirunda. nimependa wao wanatumia chuma kubebea ile floor.mim kwa roshen zaid ya 5 naona kama mirunda inanepq sometimes
Maghorofa wanayojenga wakinga,waswahili mengi ni magumashi

Ova
 
Taifa la wasiokumbuka na nchi ya wasiojifunza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…