Ujenzi wa wa njia ya mabasi ya Mwendokasi barabara ya Nyerere unasababisha kero ya foleni

Msongamano upo kwenye barabara. Ukisema Tazara kuna foleni, je ni barabara ya kwenda Mbagala au Mnazi Mmoja. Badala yake unasema Nyerere road kuna foleni au Mandela road kuna foleni, kama ni kipande fulani tu cha barabara napo inatajwa.
 
Wadau,
Leo nimepata kadhia ya hali juu nikiwa Nyerere rd kwa kuwa foleni haitembei kabisa. Hii inasababishwa na kuwa ujenzi unaoendelea wa njia na mwendokasi...
Tumia diversion.Ukisema utegee sikio la ulalamishi la Mtanzania hakuna kitu utafanya.
 
Ila huo mkoa wanaume mnadeka sana aiseeee....πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkiwa hamna uwezo wa kuishi dar ndio maneno yenu yaliyobaki , huu ni wivu Yani hiyo kero we unaona kudeka shenzi kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…