Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Russia ana akili sana. Kitu watu wasichokielewa ni kwamba Urusi anachokifanya sasa hivi ni kudhoofisha sarafu ya dola ya Marekani na washirika wake ambayo ndiyo hasa imekuwa inawapa KIBURI waMagharibi.....Dolarisation imewezekana kwa zaidi ya miaka 50 sasa kwa sababu Marekani aliingia makubaliano na wazalishaji wakubwa wa Mafuta duniani kwamba mafuta yanunuliwe kwa dola pekee.....sasa kinachotokea hivi sasa Urusi anataka avunje hiyo sera ya kuifanya DOLA kuwa sarafu inayotawala.

Kinachotokea ni kwamba MAFUTA na GESI ni bidhaa kinara kwa kuuzwa duniani hivi sasa...hivyo basi...Urusi kama MZALISHAJI MKUBWA NAMBA TATU wa mafuta duniani anaelewa kabisa na AMEPANGA kwamba hawa jamaa awatikise kwa kuigomea DOLA ili sarafu yake ipate nguvu.

PIA kumwondoa Urusi kwenye mfumo wa kifedha kimataifa wa SWIFT ambao upo chini ya Marekani na Washirika wake kunamfanya URUSI aujenge na kuuongeza nguvu mfumo wake wa kibenki uitwao Sistema peredachi finansovykh soobscheniy,(SPFS)utakaowezesha biashara ya kimataifa kwa Urusi kuongezeka mara dufu na hivyo kumpa nguvu zaidi za kiuchumi huku sarafu yake Ruble ikipata nguvu zaidi kwa kuwa Urusi atafanya biashara na wanunuzi wakubwa waliopo Asia yaani China, India, Iran nchi za Arabia nakadhalika.

Nachokiona ni kwamba Nchi za Magharibi pamoja na Marekani wanajaribu kumgomea URUSI wasinunue bidhaa kwa sarafu ya URUSI kwa kuwa wanafahamu fika wakinunua kwa kutumia RUBLE basi ubabe wa sarafu yao ya kimkakati ambayo ndo inawapa KIBURI yaani USD utaisha hivyo ushawishi wao wa kiuchumi utashuka....................URUSI amekuja KUBALANSI SHOBO za wamagharibi hii ni nzuri sana...KWENYE HILI SAGA West watasanda tu.........Urusi ataendelea kutrade na Uchina na mambo yatakuwamukide tu. Hebu ona hapo hiyo grafu nani anatrade zaidi na Urusi kwenye bidhaa yake kubwa ya nishati, kisha utagundua hao Ulaya hawamtishi Mwamba hata kiduchu....
2c0358e432e749c6b239d7373b7511b8 (2).png
 
Nchi kadhaa za Ulaya zishaanza kuwasha matanuru yao ya Makaa ya Mawe,mfano Poland kawasha matanuru yake yote ya Makaa ya Mawe kwa hiyo hategemei Gad tena. Kuna kipindi Trump aliwaambia Ulaya washeni matanuru yenu ya Makaa ya Mawe kuepuka utegemezi wa Gas ya masimango kutoka Russia lakini Ulaya wakiongozwa na Ujerumani na Ufaransa wakajifanya wao ni Watunza mazingira wa Dunia wakagoma. Marekani pamoja na wingi wake wa mafuta na gas aliyonayo lakini still bado anatumia Makaa ya Mawe.
 
Russia ana akili sana. Kitu watu wasichokielewa ni kwamba Urusi anachokifanya sasa hivi ni kudhoofisha sarafu ya dola ya Marekani na washirika wake ambayo ndiyo hasa imekuwa inawapa KIBURI waMagharibi.....Dolarisation imewezekana kwa zaidi ya miaka 50 sasa kwa sababu Marekani aliingia makubaliano na wazalishaji wakubwa wa Mafuta duniani kwamba mafuta yanunuliwe kwa dola pekee.....sasa kinachotokea hivi sasa Urusi anataka avunje hiyo sera ya kuifanya DOLA kuwa sarafu inayotawala.

Kinachotokea ni kwamba MAFUTA na GESI ni bidhaa kinara kwa kuuzwa duniani hivi sasa...hivyo basi...Urusi kama MZALISHAJI MKUBWA NAMBA TATU wa mafuta duniani anaelewa kabisa na AMEPANGA kwamba hawa jamaa awatikise kwa kuigomea DOLA ili sarafu yake ipate nguvu.

PIA kumwondoa Urusi kwenye mfumo wa kifedha kimataifa wa SWIFT ambao upo chini ya Marekani na Washirika wake kunamfanya URUSI aujenge na kuuongeza nguvu mfumo wake wa kibenki uitwao Sistema peredachi finansovykh soobscheniy,(SPFS)utakaowezesha biashara ya kimataifa kwa Urusi kuongezeka mara dufu na hivyo kumpa nguvu zaidi za kiuchumi huku sarafu yake Ruble ikipata nguvu zaidi kwa kuwa Urusi atafanya biashara na wanunuzi wakubwa waliopo Asia yaani China, India, Iran nchi za Arabia nakadhalika.

Nachokiona ni kwamba Nchi za Magharibi pamoja na Marekani wanajaribu kumgomea URUSI wasinunue bidhaa kwa sarafu ya URUSI kwa kuwa wanafahamu fika wakinunua kwa kutumia RUBLE basi ubabe wa sarafu yao ya kimkakati ambayo ndo inawapa KIBURI yaani USD utaisha hivyo ushawishi wao wa kiuchumi utashuka....................URUSI amekuja KUBALANSI SHOBO za wamagharibi hii ni nzuri sana kwa mawazo yangu.
Yaani Dollars ashindwe kuidhofisha Mchina ambae ndio anafanya biashara ya moja kwa moja ya mabilioni ya dollars na Marekani ndio aje kuidhofisha Mrusi anaefanya? Hivi huu uchumi mmeusomea wapi?
 
Putin alijipangaje? Hujui kwamba hili swala litawaumiza Ulaya in short-term but in long-term Urusi ndio atakiona cha moto maana wataacha kununua gas yake mazima.View attachment 2170197
Unaongelea gesi kama Mchanga? Gesi ni kitu Kina demand Dunia nzima, itauzwa India, China, Tanzania na kwengineko.

Ulaya wanamuhitaji Urusi kuliko Urusi anavyomuhitaji ulaya.

Na Urusi ameshasign deal na India, Mrusi atamlipa India kupitia Rupia na India atamlipa Urusi kupitia Ruble hakuna Dollar wala Euro itakayotumika.

Hivyo long term USA na Washirika wake pia wataumia.

Hapa Tunapochat Tayari Japan imepigika vibaya mno Yen Inashuka kwa kasi, sarafu ambayo kwa miaka zaidi ya mitano ilikua stable.

Same kwa wengine waliotajwa na Putin kama Bulgaria hela zao zimashuka Thamani.
 
Hakunaga hyo fit fataat mbona hukumpa long run mrusi baada ya kuwekewa vikwazo? Wanaonja joto ya jiwe.
Kwa urussi anampa gesi bure kwamba ulaya akigoma yeye urussi hati hasara unajua revenue urussi atakayopoteza kama ulaya wakigoma kununua gesi na mafuta kutoka urusi uingeongea unachoongea
 
Unaongelea gesi kama Mchanga? Gesi ni kitu Kina demand Dunia nzima, itauzwa India, China, Tanzania na kwengineko.

Ulaya wanamuhitaji Urusi kuliko Urusi anavyomuhitaji ulaya.

Na Urusi ameshasign deal na India, Mrusi atamlipa India kupitia Rupia na India atamlipa Urusi kupitia Ruble hakuna Dollar wala Euro itakayotumika.

Hivyo long term USA na Washirika wake pia wataumia.

Hapa Tunapochat Tayari Japan imepigika vibaya mno Yen Inashuka kwa kasi, sarafu ambayo kwa miaka zaidi ya mitano ilikua stable.

Same kwa wengine waliotajwa na Putin kama Bulgaria hela zao zimashuka Thamani.
India anuchukua gesi kwa asilimia 2 kutoka russia unalijua hilo
 
Kwa urussi anampa gesi bure kwamba ulaya akigoma yeye urussi hati hasara unajua revenue urussi atakayopoteza kama ulaya wakigoma kununua gesi na mafuta kutoka urusi uingeongea unachoongea
Unashindwa kuelewa logic ya kawaida, mweka vikwazo naye kala vikwazo vinamwangaisha.
Kwani aliyeanza kumwekea vikwazo mwenzake ili pesa ianguke ni nani?
 
Unaongelea gesi kama Mchanga? Gesi ni kitu Kina demand Dunia nzima, itauzwa India, China, Tanzania na kwengineko.

Ulaya wanamuhitaji Urusi kuliko Urusi anavyomuhitaji ulaya.

Na Urusi ameshasign deal na India, Mrusi atamlipa India kupitia Rupia na India atamlipa Urusi kupitia Ruble hakuna Dollar wala Euro itakayotumika.

Hivyo long term USA na Washirika wake pia wataumia.

Hapa Tunapochat Tayari Japan imepigika vibaya mno Yen Inashuka kwa kasi, sarafu ambayo kwa miaka zaidi ya mitano ilikua stable.

Same kwa wengine waliotajwa na Putin kama Bulgaria hela zao zimashuka Thamani.
Tanzaniana China zinatumia Gas kiasi gani mpaka ziweze kuziba pengo la Ulaya na hujui kuwa gas ina mbadala tena wa bei ya chini ambao ni Makaa ya Mawe?
 
India anuchukua gesi kwa asilimia 2 kutoka russia unalijua hilo
Hawa wanaketa ushabiki badala ya kuongelea uhalisia. Ulaya ndio wanaanza rasmi safari ya kutotumia mafuta na gas kutoka Russia, sasa tuone Russia atapata wapi hela za kuvamia majirani zake.
 
Nchi kadhaa za Ulaya zishaanza kuwasha matanuru yao ya Makaa ya Mawe,mfano Poland kawasha matanuru yake yote ya Makaa ya Mawe kwa hiyo hategemei Gad tena. Kuna kipindi Trump aliwaambia Ulaya washeni matanuru yenu ya Makaa ya Mawe kuepuka utegemezi wa Gas ya masimango kutoka Russia lakini Ulaya wakiongozwa na Ujerumani na Ufaransa wakajifanya wao ni Watunza mazingira wa Dunia wakagoma. Marekani pamoja na wingi wake wa mafuta na gas aliyonayo lakini still bado anatumia Makaa ya Mawe.
Makaa Ya mawe pia Ulaya Wanamtegemea Urusi kama hufahamu. Russia ni Nchi ya Pili duniani baada ya US kwa Makaa ya Mawe.
 
Unashindwa kuelewa logic ya kawaida, mweka vikwazo naye kala vikwazo vinamwangaisha.
Kwani aliyeanza kumwekea vikwazo mwenzake ili pesa ianguke ni nani?
Hakuna mtu aliekataa kuwa alieweka vikwazo nae vinampiga,na hata wao waweka vikwazo walijua hilo ndio maana hawaoni aibu kutangaza hadharani. Lakini ujue kwamba hili swala litawaumiza waweka vikwazo kwa muda mchache lakini litawaumiza daima Russia sababu mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe na nchi kadhaa zishaanza kuwasha matanuru yao mfano Poland. Na Ujerumani unapelekwa mswada bungeni kurejea kwenye Makaa ya Mawe halafu sasa tuone itakula kwa nani.
 
India anuchukua gesi kwa asilimia 2 kutoka russia unalijua hilo
So? Nyie jamaa hata basic za biashara
Hamjui. As of Now India, Indonesia, China na Nchi kibao zinazokua kiuchumi Zinamezea mate hio Gas.

The reason India ama Nchi nyengine hazichukui Gesi nyingi si kwamba wamejitosheleza, La hasha, Bali ni kwamba Hawana Ubavu kiuchumi kucompete na hao mabwana Wakubwa wa Ulaya.

Kesho na Kwshokutwa atakae kataa Gesi ya Urusi ujue inaenda Nchi nyengine.

Ndio Maana Unaona US analia Lia anataka India, China Na wengineo wamuwekee vikwazo Urusi.
 
Hakuna mtu aliekataa kuwa alieweka vikwazo nae vinampiga,na hata wao waweka vikwazo walijua hilo ndio maana hawaoni aibu kutangaza hadharani. Lakini ujue kwamba hili swala litawaumiza waweka vikwazo kwa muda mchache lakini litawaumiza daima Russia sababu mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe na nchi kadhaa zishaanza kuwasha matanuru yao mfano Poland. Na Ujerumani unapelekwa mswada bungeni kurejea kwenye Makaa ya Mawe halafu sasa tuone itakula kwa nani.
Wewe unafikiria kweli, gesi itakosa wateja? Urusi akishusha bei kama alivyofanya atapata wateja wengi, india na china zinaweza kua substitute nzuri tu. Ndio maana USA kaanza kumpiga mkwara India.
 
Ulaya walikataa kutumia Makaa ya Mawe kwa issue za kimazingira tuu lakini yana gharama nafuu kuliko gas.
Yana gharama nafuu Sababu hakuna Anaeyatumia yapo yapo tu. Ngoja gesi ikate utaona yatakavyopanda bei.

Hapa yenyewe yashaanza kupanda bei vibaya mno

 
Back
Top Bottom