Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

So? Nyie jamaa hata basic za biashara
Hamjui. As of Now India, Indonesia, China na Nchi kibao zinazokua kiuchumi Zinamezea mate hio Gas.

The reason India ama Nchi nyengine hazichukui Gesi nyingi si kwamba wamejitosheleza, La hasha, Bali ni kwamba Hawana Ubavu kiuchumi kucompete na hao mabwana Wakubwa wa Ulaya.

Kesho na Kwshokutwa atakae kataa Gesi ya Urusi ujue inaenda Nchi nyengine.

Ndio Maana Unaona US analia Lia anataka India, China Na wengineo wamuwekee vikwazo Urusi.
Wewe ndio unajua basic za uchumi sio? Yaani wewe mfanyabiasha uache kumuuzia mteja anaenunua kwa wingi na kwa bei kubwa gas yako then uje umuuzie mteja anaenunua gas chache na kwa bei ndogo halafu ufurahie?
 
So? Nyie jamaa hata basic za biashara
Hamjui. As of Now India, Indonesia, China na Nchi kibao zinazokua kiuchumi Zinamezea mate hio Gas.

The reason India ama Nchi nyengine hazichukui Gesi nyingi si kwamba wamejitosheleza, La hasha, Bali ni kwamba Hawana Ubavu kiuchumi kucompete na hao mabwana Wakubwa wa Ulaya.

Kesho na Kwshokutwa atakae kataa Gesi ya Urusi ujue inaenda Nchi nyengine.

Ndio Maana Unaona US analia Lia anataka India, China Na wengineo wamuwekee vikwazo Urusi.
Google kitu kinaitwa Power of Siberia 1 and Power Siberia 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unadhani Ulaya hawakujua hili la Gas na mafuta kuwa litawapa shida kwa muda fulani but in long run watakuwa wamejiondoa kwenye utumwa wa Gas ya Russia? Kwanza hata leo wakiamua kupata mbadala wanao ambao ni Makaa ya Mawe halafu tuone hiyo Gas Urusi atamuuzia nani.
Mkaa ya mawe tena? Inabidi yale mambo ya Climate change wakubali kuyaweka kando na watumie hicho walichokuwa wanakipiga vita miaka nenda miaka rudi.

Solution yao ni Nuclear power plants, lakini na hizo wanazipiga vita
 
Hakuna mtu aliekataa kuwa alieweka vikwazo nae vinampiga,na hata wao waweka vikwazo walijua hilo ndio maana hawaoni aibu kutangaza hadharani. Lakini ujue kwamba hili swala litawaumiza waweka vikwazo kwa muda mchache lakini litawaumiza daima Russia sababu mbadala wa Gas ni Makaa ya Mawe na nchi kadhaa zishaanza kuwasha matanuru yao mfano Poland. Na Ujerumani unapelekwa mswada bungeni kurejea kwenye Makaa ya Mawe halafu sasa tuone itakula kwa nani.
Watarudi kuinunua, na hii vita itasabisha BRICS waanze fanya biashara kwa currency yao wenyewe. Apeleke tu lakini mpaka anaanza yatumia jasho litakuwa limemtoka na mambo yake ya kukind amazingira yatakuwa yametupiliwa mbali.
Hakuna jiwe litabaki bila kupinduliwa.
Nmeona russia anasajali wapiganaji kutoka middle east hii vita bado.
 
Wewe unafikiria kweli, gesi itakosa wateja? Urusi akishusha bei kama alivyofanya atapata wateja wengi, india na china zinaweza kua substitute nzuri tu. Ndio maana USA kaanza kumpiga mkwara India.
Wateja hawakosekani,je utawauzia kwa bei na kiwango kikubwa kama kile ulichokuwa unauza Ulaya na vipi kuhusu miundombinu hizo gharama za kujenga miundombinu mipya atagharamia nani?
 
Yaani Dollars ashindwe kuidhofisha Mchina ambae ndio anafanya biashara ya moja kwa moja ya mabilioni ya dollars na Marekani ndio aje kuidhofisha Mrusi anaefanya? Hivi huu uchumi mmeusomea wapi?
Subiri tu utaona kitakachotokea sio siku nyingi...ndiyo utaelewa nimeandika nini...LAKINI KWA AJILI YA KUONDOA UJINGA WAKO SOMA HIZI MAKALA HAPO CHINI... Na kwa taarifa yako ni kwamba thamani ya DOLLAR Tayari ishaanza kumong'onyoka speed ya hatari ktk historia...
Russian rouble soars to 83 vs dollar before easing, stocks mixed
Ruble becomes best-performing currency in March; soars to 83 to the dollar
Russia and China are out to undermine the US dollar, and if they succeed it will change the world for ever
Gold prices rise on weaker dollar, caution on Russia-Ukraine talks
Gold gains 1% as dollar slips, Ukraine optimism wanes

SASA WEWE nipe ushahidi unaopingana na hoja yangu hapo juu....humu tumo maGT usilete ligi za FB na Insta humu NJOO NA HOJA; ILI KUPINGA HOJA. DOLA INAPOROMOKA USHAHIDI WANGU HUO JUU HIZO NI DATA SIO PROPAGANDA WALA USHABIKI
 
Wewe unafikiria kweli, gesi itakosa wateja? Urusi akishusha bei kama alivyofanya atapata wateja wengi, india na china zinaweza kua substitute nzuri tu. Ndio maana USA kaanza kumpiga mkwara India.
Na ukumbuke kama US akiamua kumkazia India,India lazima awe mpole sababu India anaihitaji US kwasasa kuliko wakati mwingine wowote kuanzia Kijeshi,Kiuchumi na Kijamii.
 
Pole yako Makaa ya Mawe yapo mengi sana Ulaya,hapo Poland yamejaa kibao.
Kwa hio ulaya Nzima ni Poland?

Pitia hapa

EU Nzima JUMLISHA NCHI zote reserve yao ni 70B metric tonne.

Urusi pekee 176B metric Tonne.

NChi Kubwa kama USA, Urusi, China, India na Australia ndio Zina Coal ya Kutosha hapa Duniani.
 
Unaongelea gesi kama Mchanga? Gesi ni kitu Kina demand Dunia nzima, itauzwa India, China, Tanzania na kwengineko.

Ulaya wanamuhitaji Urusi kuliko Urusi anavyomuhitaji ulaya.

Na Urusi ameshasign deal na India, Mrusi atamlipa India kupitia Rupia na India atamlipa Urusi kupitia Ruble hakuna Dollar wala Euro itakayotumika.

Hivyo long term USA na Washirika wake pia wataumia.

Hapa Tunapochat Tayari Japan imepigika vibaya mno Yen Inashuka kwa kasi, sarafu ambayo kwa miaka zaidi ya mitano ilikua stable.

Same kwa wengine waliotajwa na Putin kama Bulgaria hela zao zimashuka Thamani.
Watoe tongotongo hawa...unajua wabongo wanapenda ushabiki bila kufanya utafiti MAGHARIBI INAZAMA wao wanaleta USHABIKI MAANDAZI WA SIMBA NA YANGA.............USA NA ULAYA WAKO KWENYE BLINK OF ECONOMIC RECESSION KULIKO HATA KIPINDI CHA 1920s na 1930s
 
Subiri tu utaona kitakachotokea sio siku nyingi...ndiyo utaelewa nimeandika nini...LAKINI KWA AJILI YA KUONDOA UJINGA WAKO SOMA HIZI MAKALA HAPO CHINI... Na kwa taarifa yako ni kwamba thamani ya DOLLAR Tayari ishaanza kumong'onyoka speed ya hatari ktk historia...
Russian rouble soars to 83 vs dollar before easing, stocks mixed
Ruble becomes best-performing currency in March; soars to 83 to the dollar
Russia and China are out to undermine the US dollar, and if they succeed it will change the world for ever
Gold prices rise on weaker dollar, caution on Russia-Ukraine talks
Gold gains 1% as dollar slips, Ukraine optimism wanes

SASA WEWE PPMA nipe ushahidi unaopingana na hoja yangu hapo juu....humu tumo maGT usilete ligi za FB na Insta humu NJOO NA HOJA; ILI KUPINGA HOJA. DOLA INAPOROMOKA USHAHIDI WANGU HUO JUU HIZO NI DATA SIO PROPAGANDA WALA USHABIKI
Ndio tatizo lenu pro Russia, hamuwezi kujibu hoja bila matusi na kutweza utu wa mtu. Halafu mtu akileta hoja mnadai ni propaganda wakati wewe umejaza link kibao ambazo sio wewe uliezitengeneza.
 
So? Nyie jamaa hata basic za biashara
Hamjui. As of Now India, Indonesia, China na Nchi kibao zinazokua kiuchumi Zinamezea mate hio Gas.

The reason India ama Nchi nyengine hazichukui Gesi nyingi si kwamba wamejitosheleza, La hasha, Bali ni kwamba Hawana Ubavu kiuchumi kucompete na hao mabwana Wakubwa wa Ulaya.

Kesho na Kwshokutwa atakae kataa Gesi ya Urusi ujue inaenda Nchi nyengine.

Ndio Maana Unaona US analia Lia anataka India, China Na wengineo wamuwekee vikwazo Urusi.
Safi sana mkuu,Na hawajui nchi Kama Germany wanauziwa kwa 1/5 ya Bei ya soko yaani Ni very cheap.Sasa atapata wapi gesi ya pesa ndogo hivyo Ila Viwanda cake viendelee kuongoza kwa uzalishaji huko Ulaya Kama ilivyo Sasa hivi?
 
Ndio tatizo lenu pro Russia, hamuwezi kujibu hoja bila matusi na kutweza utu wa mtu. Halafu mtu akileta hoja mnadai ni propaganda wakati wewe umejaza link kibao ambazo sio wewe uliezitengeneza.
Leta hoja mkuu na unisamehe kwa matusi nimelifuta...naomba hoja samahani kwa matusi tena ila UKWELI NDO HUO NILOKUPA.
 
Watoe tongotongo hawa...unajua wabongo wanapenda ushabiki bila kufanya utafiti MAGHARIBI INAZAMA wao wanaleta USHABIKI MAANDAZI WA SIMBA NA YANGA.............USA NA ULAYA WAKO KWENYE BLINK OF ECONOMIC RECESSION KULIKO HATA KIPINDI CHA 1920s na 1930s
Duh kweli wewe ni kiazi mbatata eti EU na US wapo kwenye blinks ya uchumi kuliko 1930s. Yaani Ulaya kugomea Gas ya Urusi ambayo inapatikana kila sehemu na ikiwa na mbadala wake ndio uchumi ufe,aisee kweli hizi akili unazipata kwa wafuasi wa Zumaridi.
 
Putin alijipangaje? Hujui kwamba hili swala litawaumiza Ulaya in short-term but in long-term Urusi ndio atakiona cha moto maana wataacha kununua gas yake mazima.View attachment 2170197
Kwa wananchi watavumilia Long-term solutions?

Huwajui wananchi wa ulaya subiri uone kitavo wakaa huko na maandamano, ulaya wakiamua kuandamana wanaandamana mpaka mwezi.
 
Ndo shida ya kuingilia ugomvi usiokuhusu.

Hivi ujerumani alkua na ugomvi gan na RUSSIA mpk nae ashiriki kumpiga SANCTIONS.

Angalia Sasa wajerumani wanaishi kwa tabu kwasababu ya viongzi wao kua vibaraka wa USA na kupelekeshwa ovyo.

Pongezi kwa TANZANIA kutokufungamana upande wowote, japo kias chake tunaathirika[emoji4][emoji106]

Bei ya wese haina uhusiano na kufungamana au kutofungamana na upande wowote bali kiwango cha mafuta yaliyokuwa yaningia kwenye soko la dunia kimepungua sababu ya Urusi kupigwa ban...

Wote tutakiona cha moto hata sisi wakulima wa ufuta na alizeti huku Itaja...
 
Duh kweli wewe ni kiazi mbatata eti EU na US wapo kwenye blinks ya uchumi kuliko 1930s. Yaani Ulaya kugomea Gas ya Urusi ambayo inapatikana kila sehemu na ikiwa na mbadala wake ndio uchumi ufe,aisee kweli hizi akili unazipata kwa wafuasi wa Zumaridi.
Sawa mkuu wa mapopoma nimekuelewa
 
Ndo shida ya kuingilia ugomvi usiokuhusu.

Hivi ujerumani alkua na ugomvi gan na RUSSIA mpk nae ashiriki kumpiga SANCTIONS.

Angalia Sasa wajerumani wanaishi kwa tabu kwasababu ya viongzi wao kua vibaraka wa USA na kupelekeshwa ovyo.

Pongezi kwa TANZANIA kutokufungamana upande wowote, japo kias chake tunaathirika[emoji4][emoji106]
Mam ako Jana ametangaza nauli na mafuta ipandiswe Bei kutoka na hv Vita
Amekuwa ndie latra anasistiza sna nauli ziwe juu juu
 
Du! we kweli noma yani mbadala wa gesi utumie makaa ya mawe.kwa iyo unatumiaje sasa,uwoni unarudisha dunia nyuma
Wewe unadhani Ulaya hawakujua hili la Gas na mafuta kuwa litawapa shida kwa muda fulani but in long run watakuwa wamejiondoa kwenye utumwa wa Gas ya Russia? Kwanza hata leo wakiamua kupata mbadala wanao ambao ni Makaa ya Mawe halafu tuone hiyo Gas Urusi atamuuzia nani.
 
Back
Top Bottom