Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Makaa Ya mawe ni inferior kwa gesi, LA sivyo watu wasingetumia gharama kubwa kuagizishia Gesi nje ya Nchi
Sio kweli. Makaa ya Mawe ni Gharama nafuu Sana kuliko Fossil Fuels zote. Tatizo la Makaa ya Mawe ni Chanzo kikubwa Cha uchaguzi wa hewa Duniani kuliko vyote. Kilichoifanya Ulaya hasa Ujerumani kutegemea gas ya Urusi ni kwasababu ya Siasa zao za Ndani. Kuanzia Mwaka 1998,Ugerumani ilikuwa na Vinu vya Nyuklia 78 na 60 vya Makaa ya Mawe,Lakini mpaka kufikia mwaka 2010,Zaidi ya Vinu Vya Nyuklia 75 na 60 vya Makaa ya Mawe vilifungwa kwamba vinachafua mazingira. Na hiyo ni kutokana na Vya vya Mazingira Kama chama Cha Kijani Kuingia kwenye Serikali ya Shirikisho.

Kwahiyo Mimi naamini kabisa Nchi Kama Ujerumani iliyokuwa na Vinu vya Nyuklia 78 na 60 vya Makaa ya Mawe inauwezo wa kuachana na Gas ya Urusi ndani ya MIEZI 6 ikiamua kwasha Vinu vyake vyote vya zamani. Tatizo Kuna vyama vya kisiasa kwenye Serikali ya Shirikisho ambavyo vinapinga Matumizi ya Nishati ya Nyuklia na Makaa ya Mawe,kwahiyo Kisiasa haitawezekana kwa Ujerumani.

Mbadala wa Mafuta ya Urusi ndio Shida mpaka Sasa.
 
India anuchukua gesi kwa asilimia 2 kutoka russia unalijua hilo
Hpn nakatah urusi ipeleke wapi rupia ya India akafanye nao nn Cha maaan labda unimbie india ijikungute San kutptafuta pesa za mrusi aweze kufanya nao biashra mrusi apokei takataka yoyote ya pesa ispo kuwa ruble yake tu itumie
 
Sio kweli. Makaa ya Mawe ni Gharama nafuu Sana kuliko Fossil Fuels zote. Tatizo la Makaa ya Mawe ni Chanzo kikubwa Cha uchaguzi wa hewa Duniani kuliko vyote. Kilichoifanya Ulaya hasa Ujerumani kutegemea gas ya Urusi ni kwasababu ya Siasa zao za Ndani. Kuanzia Mwaka 1998,Ugerumani ilikuwa na Vinu vya Nyuklia 78 na 60 vya Makaa ya Mawe,Lakini mpaka kufikia mwaka 2010,Zaidi ya Vinu Vya Nyuklia 75 na 60 vya Makaa ya Mawe vilifungwa kwamba vinachafua mazingira. Na hiyo ni kutokana na Vya vya Mazingira Kama chama Cha Kijani Kuingia kwenye Serikali ya Shirikisho.

Kwahiyo Mimi naamini kabisa Nchi Kama Ujerumani iliyokuwa na Vinu vya Nyuklia 78 na 60 vya Makaa ya Mawe inauwezo wa kuachana na Gas ya Urusi ndani ya MIEZI 6 ikiamua kwasha Vinu vyake vyote vya zamani. Tatizo Kuna vyama vya kisiasa kwenye Serikali ya Shirikisho ambavyo vinapinga Matumizi ya Nishati ya Nyuklia na Makaa ya Mawe,kwahiyo Kisiasa haitawezekana kwa Ujerumani.

Mbadala wa Mafuta ya Urusi ndio Shida mpaka Sasa.
Kama nilivyomjibu jamaa hapo juu makaa ya mawe ni bei rahisi sababu hayana issue, ila yakiwa source pekee ya umeme nayo yatapanda bei.

Nimetoa na mfano hai as we speak ulaya sasa hivi makaa ya mawe tayari yameshapanda bei.
Gharama zimepanda mara mbili ya mwanzo.

Na usisahau coal nyingi ulaya nayo inatoka Urusi

Na Nuclear source kubwa ya Uranium pia inatoka urusi.
 
Kama nilivyomjibu jamaa hapo juu makaa ya mawe ni bei rahisi sababu hayana issue, ila yakiwa source pekee ya umeme nayo yatapanda bei.

Nimetoa na mfano hai as we speak ulaya sasa hivi makaa ya mawe tayari yameshapanda bei.
Gharama zimepanda mara mbili ya mwanzo.

Na usisahau coal nyingi ulaya nayo inatoka Urusi

Na Nuclear source kubwa ya Uranium pia inatoka urusi.
Kwa kinachoendelea sasa hivi naona ni mchezo hatari sana ambao west wameuanzisha.

Ni jambo gumu kwa west kukubali kununua gesi kwa hela ya Russia ila ni jambo gumu vilevile Russia kukubali matakwa ya west kuhusu hii biashara. Hii ni vita kubwa sana ya kiuchumi.
 
Kwa kinachoendelea sasa hivi naona ni mchezo hatari sana ambao west wameuanzisha.

Ni jambo gumu kwa west kukubali kununua gesi kwa hela ya Russia ila ni jambo gumu vilevile Russia kukubali matakwa ya west kuhusu hii biashara. Hii ni vita kubwa sana ya kiuchumi.
Na Ni Jambo gumu kabisa(next to impossible) EU+USA kuweza kupigana kijeshi na Russia.
 
Putin alijipangaje? Hujui kwamba hili swala litawaumiza Ulaya in short-term but in long-term Urusi ndio atakiona cha moto maana wataacha kununua gas yake mazima.View attachment 2170197
Watapata wapi gesi ya dezo kama ya mrusi utasema marekani mzee wa fursa, mpigaji mzuri urusi inagesi mpka inamwagikia watarudi tu mezani hi haina ujanja ni kama umemwekea mgomo wife mvua inanyesha baridi inakuingia dushelele linaamka
 
Kama nilivyomjibu jamaa hapo juu makaa ya mawe ni bei rahisi sababu hayana issue, ila yakiwa source pekee ya umeme nayo yatapanda bei.

Nimetoa na mfano hai as we speak ulaya sasa hivi makaa ya mawe tayari yameshapanda bei.
Gharama zimepanda mara mbili ya mwanzo.

Na usisahau coal nyingi ulaya nayo inatoka Urusi

Na Nuclear source kubwa ya Uranium pia inatoka urusi.
Tatizo lako wewe NI mbishi Sana.

One Metric Tonne ya Caol ni $ 36 huku One Metric Tonne ya Gasoline ikiwemo Gas ni $ 818. Hivi unafikili hata ikipanda itafika $ 818 kutoka $ 36? Jibu ni Hapana.

Harafu Kuna Kitu kinaitwa ENERGY VALUE PER KG. Hicho ni Kiwango Cha Nishati kinachoweza kutolewa na 1 Kg or 1 Litre of a Fuel.

1 Kg of Coal inatoa Nishati ya 0.0067MW ya Nishati wakati 1 Kg of Gasoline inatoa Nishati ya 0.000012MW ya Nishati.

Advantage ya Gas dhidi ya Coal ni Mbili TU;

1. Gas haichafui mazingira Kama ilivyo kwenye Makaa ya Mawe.

2. Gas ni Rahisi kusafirisha kuliko Makaa ya Mawe.

Faida za Makaa ya Mawe dhidi ya Gas.

1.Cheap.

2.High energy value per Kg

3.High burning time.

4.High Security. Explosions can occur in Gas Plants but not in Coal Plants. Na nyingine Nyingi.

Ulaya walichagua Faida ya Kutunza Mazingira dhidi ya Gharama nafuu ya Coal ndio maana Waka Opt kwenye Gas.
 
Na ukumbuke kama US akiamua kumkazia India,India lazima awe mpole sababu India anaihitaji US kwasasa kuliko wakati mwingine wowote kuanzia Kijeshi,Kiuchumi na Kijamii.
Hakuna muda ambao marekani anaogpa kuiwekea nchi nyingine kubwa vikwazo kama Sasa ukae unalijua Sasa dola imeporomoka kwa kiasi hicho bado China hajaanza kununua mafuta kwa yen alafu ni ukiritimba tu yaani biashara nifanye mie na wew tuna currency zetu tutegemee currency ya mtu yupo mbali haijui hata biashara yenu hapa mataifa yalichelewa sana
 
Kivip yaani Kwan Russia inawapa ulaya gesi na mafuta bure sababu umecomment as if anawapaga ulaya gesi na mafuta bure
Kinachotokea ni sawa na wewe unanunua unga kwa mangi kilo 1 kwa 1,000 then unagombana na Mangi halafu unaenda kununua duka la mbali kabisa kwa kilo 1 ileile kwa 5,000. Sasa hapo nani anapata hasara kati ya Mangi na wewe??.
 
Du! we kweli noma yani mbadala wa gesi utumie makaa ya mawe.kwa iyo unatumiaje sasa,uwoni unarudisha dunia nyuma
Watoto mliozaliwa miaka 2000 ndio hamjui kuwa kabla ya Gas watu walitumia Makaa ya Mawe na hadi leo zipo nchi nyingi Duniani zinatumia Makaa ya Mawe mojawapo ni Marekani. Ulaya hasa Ujerumani na Ufaransa kilichowaponza ni kujifanya wao wanajali sana mazingira ndio maana walikuwa wanagombana na Trump. Sababu Trump akiwaambia Mimi siwezi kuacha matumizi ya Makaa ya Mawe,petroleum na nuclear kuzalisha nishati halafu uchumi ufe kisa kulinda mazingira.
 
Tatizo lako wewe NI mbishi Sana.

One Metric Tonne ya Caol ni $ 36 huku One Metric Tonne ya Gasoline ikiwemo Gas ni $ 818. Hivi unafikili hata ikipanda itafika $ 818 kutoka $ 36? Jibu ni Hapana.

Harafu Kuna Kitu kinaitwa ENERGY VALUE PER KG. Hicho ni Kiwango Cha Nishati kinachoweza kutolewa na 1 Kg or 1 Litre of a Fuel.

1 Kg of Coal inatoa Nishati ya 0.0067MW ya Nishati wakati 1 Kg of Gasoline inatoa Nishati ya 0.000012MW ya Nishati.

Advantage ya Gas dhidi ya Coal ni Mbili TU;

1. Gas haichafui mazingira Kama ilivyo kwenye Makaa ya Mawe.

2. Gas ni Rahisi kusafirisha kuliko Makaa ya Mawe.

Faida za Makaa ya Mawe dhidi ya Gas.

1.Cheap.

2.High energy value per Kg

3.High burning time.

4.High Security. Explosions can occur in Gas Plants but not in Coal Plants. Na nyingine Nyingi.

Ulaya walichagua Faida ya Kutunza Mazingira dhidi ya Gharama nafuu ya Coal ndio maana Waka Opt kwenye Gas.
Hao pro Russia usibishane nao sana,maana vitu vingi hawajui wao wanakariri tuu. Kuna mwingine hapo anashangaa eti Makaa ya Mawe yatakuwaje mbadala wa gas kumbe hawajui kuwa yalianza kutumika Makaa ya Mawe mpaka pale gas ilipovumbuliwa na kuwa mbadala wake.
 
Hakuna muda ambao marekani anaogpa kuiwekea nchi nyingine kubwa vikwazo kama Sasa ukae unalijua Sasa dola imeporomoka kwa kiasi hicho bado China hajaanza kununua mafuta kwa yen alafu ni ukiritimba tu yaani biashara nifanye mie na wew tuna currency zetu tutegemee currency ya mtu yupo mbali haijui hata biashara yenu hapa mataifa yalichelewa sana
Dollars inaporomokaje na wapi huko?
 
Kivip yaani Kwan Russia inawapa ulaya gesi na mafuta bure sababu umecomment as if anawapaga ulaya gesi na mafuta bure
Hata kama wananunua bado itawaumiza! Unaweza ukawa na hela na hela yako isikusaidie. Ndiyo maana sisi watanzania tulio wengi huwa tunashukuru kwa kusema ahsante kwa huduma pamoja na kwamba tumelipia hela!

Wakati fulani hapo nyuma wananchi wa Italy walifikia hatua ya kutupa mihela mitaani baada ya kuona haziwasaidi kitu mbele ya CORONA. Hela si kila kitu! Lazima itawatafuna tu kwa sehemu fulani!
 
Watoto mliozaliwa miaka 2000 ndio hamjui kuwa kabla ya Gas watu walitumia Makaa ya Mawe na hadi leo zipo nchi nyingi Duniani zinatumia Makaa ya Mawe mojawapo ni Marekani. Ulaya hasa Ujerumani na Ufaransa kilichowaponza ni kujifanya wao wanajali sana mazingira ndio maana walikuwa wanagombana na Trump. Sababu Trump akiwaambia Mimi siwezi kuacha matumizi ya Makaa ya Mawe,petroleum na nuclear kuzalisha nishati halafu uchumi ufe kisa kulinda mazingira.
Yan wewe ni mpuuz kweliii kwa maisha ya mbele kuwasha makaa ya mawe ni kama huku kwetu kupikia kuni Kwanza unajua hata running cost zake
 
Back
Top Bottom