Kumsikiliza kiongozi mkuu wa nchi ni muhimu mno. Hotuba na maelekezo yake yana mantiki pana mno ktk maisha yako, yangu na ya watu wote. Hata kama hatokani na chama chako as long as ni president unapaswa kumsikiliza. Halazimishwi mtu ila ni muhimu mno.[emoji120][emoji120][emoji120]