UJIJI: Wazee wa UJIJI -KIGOMA wasema hawajawahi kuona Kiongozi aliyeujaza Uwanjani wa Lake Tanganyika kama Rais Samia

Uvccm wenzangu Uchawa hatuatujenga kisiasa Bali unazidi kutubomoa kila uchao,Tutaendela kuwaangalia kina Katambi na Silinde(vijana toka vyama vingine) wakishika Hatamu sisi tuendelee na propaganda za kijinga kusifia hata visivyofika
Kwahiyo unataka Rais akifanya vizuri asifiwe na BAVICHA?
 
Sio Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…