New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Hicho ndicho tunakipigia keleleIssue sio umiliki wa serikali issue ni ufanisi, tatizo la serikali zetu hazina ufanisi kabisa embu niambie taasisi Gani ya serikali yetu Ina ufanisi? Zote zimeoza Sasa why ulazimishe tu umiliki wa serikali hata kama hakuna ufanisi?
TTCL na Vodacom ni mbingu na ardhi, ATCL na Precision ni mbingu na ardhi, kiufupi hakuna government entity inaizidi private sector kwa ufanisi. Hata kampuni kama Deloitte na PWC zinaizidi ufanisi TRA na NAO kwenye ukaguzi.
Nadhani mfumo wa uendeshaji taasisi za serikali ubadilike, ziwe za mikataba zenye KPI otherwise hawa mafisadi hawana uchungu na chochote sababu bandari iingize hasara au faida hawana Cha kupoteza na mishahara ipo pale pale.
Hizi taasisi za serikali tunazodai tuziendeshe mbona Sasa tumeshindwa
Hebu nenda kwenye shule za serikali ambazo Nyerere alizitaifisha kutoka kwa wahindi na wazungu,kaangalie miundombinu yake leo ilivyo,
Wakati hizo shule zinataifishwa watoto wa viongozi walikua wanapelekwa huko,leo hii hakuna Kiongozi anaetamani kumpeleka mtoto wake huko ,lakini akitokea mtu akasema tubinafsishe hizi shule ,watatokea kina tibaijuka ambayo watoto wao wanasoma huko Kemibos wake kupinga,na vile tu mazwazwa anapata washangiliaji
Hebu angalia UDART leo ilivyo ,ni usafiri au upuuzi ,ila akija Kiongozi akasema kua nabinafsisha huu usafiri kwa waarabu ,wataibuka kina polepole wanaopanda V8 kuja kupiga soga,ila kwa vile hao wanaopanda hizo mwendokasi akili zao zipo kama mbuzi maana wanavyorundikwa hamna tofauti na mbuzi,watamuunga mkono
Ajabu sana nchi hii,haishangazi kuona viongozi wanaamua waibe wawezavyo maana hata akiinuka wa kuwapigania wanajazwa ujinga na kumuona aduin