Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

siyo kwamba ukiwa na gari, automatikali una mawe ?

maana nishawahi ulizwa, una gari ?
nikasema hapana
na chat ikaishia hapo
Mbona siku hizi tunaacha magari tunapenda Ubber?

Juzi nilikuwa sehemu mbali Sana na home, tumepiga vyombo vya kufa mtu, mid night nimechukuwa Bajaj mpaka home sh 15,000/= tu.

Sasa nani anataka shida sasa hivi ukalewe usiku uanze kuumiza macho na kupigwa taa au kupata ajari?

Wewe utakuwa na tatizo lingine siyo gari, gari halijawahi kuwa tatizo kwenye dating, material ni pesa ndio jawabu la mambo yote.
 
Huyu Mleta uzi nimemfikiria na kugundua ni wale Vijana waliotoka kwenye familia duni na masikini sana lakini baada ya Nature kumpa kipato na kazi nzuri amegeuka kuwa zuzu na limbukeni kwenye huu ulimwengu.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU , badirika bhana huu ujinga unaopost kuwadharirisha Wanawake kwa sababu ni Muhasibu na unavaa suti sio ishu sana. Tumia taaluma yako kuleta maandiko yenye tija au bora ubaki kwenye kui support timu yetu ya SSC tu. Nature iliyokupa maisha hiyo hiyo inaweza ikakubadirikia na kukudharirisha aisee.
 
Unajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua na miaka 21.

Kale katoto ndio kalitoka kumaliza degree, kwa hiyo nikajiaminisha atakuwa anatumia akili za chuo kudeal na mapenzi. Ikawa tofauti kabisa, kumbe akifunga madaftari anabaki na ujinga uleule.

Ujinga ni mwingi, ila nitakumbuka machache

1. Akanikataza kumuita kwa jina lake. Akalazimisha nimuite mpenzi. Hii kwangu ilikuwa adhabu kubwa sana kumwita mpenzi wakati simpendi. Imagine upo ofisini na wakuu wenzako, umekula suti za Kihasibu mnapitisha malipo, halafu wanasikia unaita mtu Mpenzi kwenye simu

2. Ukiwa naye anataka muda wote awe na simu yangu eti kupima uaminifu wangu. Sms ikiingia anataka kwanza asome yeye.

3. Kuna siku nilifungiwa lodge. Mimi hata iweje huwa silali nje ya home. Kuna siku tulikuwa na miadi ya kula mzigo, tukachukua chumba kwa makubaliano ya saa 4 usiku tunaondoka. Ilipofika muda dogo akaficha funguo anataka tulale.

4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.

5.Ukitaka kwenda kumchukua kwao(alikuwa anaishi na dada yake) analazimisha usogee karibu kabisa ili majirani waone kama anafuatwa na gari.

Baada ya kujionea mwenyewe nikakapiga tukio la kuuma kakakimbia chenyewe.

My Take
Try this at your own risk.
Inawezekana na malezi na ujinga wake,ila binafsi namfahamu binti wa 2004, heshima aliyonayo! nidhamu!! usikivu na unyenyekevu hata hawa wa 1985 hawana
 
Huyu Mleta uzi nimemfikiria na kugundua ni wale Vijana waliotoka kwenye familia duni na masikini sana lakini baada ya Nature kumpa kipato na kazi nzuri amegeuka kuwa zuzu na limbukeni kwenye huu ulimwengu.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU , badirika bhana huu ujinga unaopost kuwadharirisha Wanawake kwa sababu ni Muhasibu na unavaa suti sio ishu sana. Tumia taaluma yako kuleta maandiko yenye tija au bora ubaki kwenye kui support timu yetu ya SSC tu. Nature iliyokupa maisha hiyo hiyo inaweza ikakubadirikia na kukudharirisha aisee.
mbona umekua mkali sana 😬😬
vingine ni changamsha genge usichukulie threads kwa userious hivyo utakufa na mhaho. umemkazania jamaa.
 
Mwasibu mambo mengine kama unafanya kweli basi fanya kama Siri yako.

Mimi nachukia Sana mtu anaetembea na vitoto vidogo wakati vijana wenzao wapo kibao.

Achana na watoto mashangazi wapo wamejaa tele tena wengine ukikwama pesa wanakupa wao, Acha huu ujinga.
Mkuu 21 ni mtoto?
 
Mkuu ukinichukulia serious utapoteza muda tu. Hii ni account binafsi sio ya taasisi
Sikuchukulii serious Mimi lakini akili yako inatakiwa ifanyiwe adjustment, huwa unaandika vitu vya kipuuzi sana. Labda hii I'd ni Artificial Intelligence 😂😂😂
 
Huyu Mleta uzi nimemfikiria na kugundua ni wale Vijana waliotoka kwenye familia duni na masikini sana lakini baada ya Nature kumpa kipato na kazi nzuri amegeuka kuwa zuzu na limbukeni kwenye huu ulimwengu.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU , badirika bhana huu ujinga unaopost kuwadharirisha Wanawake kwa sababu ni Muhasibu na unavaa suti sio ishu sana. Tumia taaluma yako kuleta maandiko yenye tija au bora ubaki kwenye kui support timu yetu ya SSC tu. Nature iliyokupa maisha hiyo hiyo inaweza ikakubadirikia na kukudharirisha aisee.

No hard feelings mzee[emoji23] sio kila siku kila saa ni vitu serious tu, muda mwingine inatakiwa tuishi kama binadamu wengine, mimi sioni ubaya wowote kila mtu anafanya haya mambo ni vile tu yeye ameamua kushare yake na sisi…which is Not bad
 
Back
Top Bottom