Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Naomba Lucas Mwashambwa amshukuru mama kwa hiloMuonekano wa kipekee sababu ya mama hahahahha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Lucas Mwashambwa amshukuru mama kwa hiloMuonekano wa kipekee sababu ya mama hahahahha
EeewaaNaomba Lucas Mwashambwa amshukuru mama kwa hilo
Bora huyoo MI natembea WA 2010 na kanishikia mimba Ila IQ yake waungane wanawake 8 WA jf u Kim to a Yule mdada maarufuMwasibu mambo mengine kama unafanya kweli basi fanya kama Siri yako.
Mimi nachukia Sana mtu anaetembea na vitoto vidogo wakati vijana wenzao wapo kibao.
Achana na watoto mashangazi wapo wamejaa tele tena wengine ukikwama pesa wanakupa wao, Acha huu ujinga.
Tunakoelekea hatutakuwa na pesa, ni electronic money tu, simu na credit card tu.Itakuwa na muonekano gani?
Hata hizo pesa lakini katika mfumo wa kieletronic, naona itakuwa salama zaidi.Tunakoelekea hatutakuwa na pesa, ni electronic money tu, simu na credit card tu.
Kuna kamoja nimeanzana nako jana wacha tuone itakavyokua 🙂Yote ulivyosema ni kweli Niko na ka 21 ila sioni shida maana hata hao aged Wana mambo Yao ya kusumbua tena zaidi ya 21 uzuri wa hao generation Z ni they love for real ila kwa upande wa sex unapaswa uwe imara maana energy Yao sio poa
Are you serious? Mimi nina miaka 33 unataka nianze kukimbizana na mzee mwenzangu? Dating pool yangu ipo age-limited to 20 ~ 24 and she must be in college. Hao wanawake wakubwa wana emotional buggage plus insecurities after a series of years being pumped and dumped.Sasa niambie ni msichana yupi wa 21 anayekojowa?
Sio kidogo.. mpaka kuna saa hua tunaapa kabisa kuachana na hayo mambo lakini wapi bana.Ila wanaume mna mahangaiko
Join the chain kwao kitu kikubwa vinataka time and fucking less money akikuomba sana ni tenKuna kamoja nimeanzana nako jana wacha tuone itakavyokua 🙂
wengi wana utiii kaliiHakukuachia UTI sugu
Mwasibu the great😅😅😅😅Our own mwasibu jameni! (Cc. kelphin)
On a serious note: Sidhani kama vitoto vyote vya 2000s viko hivyo. Naamini na vinavyojitambua na kuyaelewa maisha tena pure wife material vipo.
Hivyo usitumie ujinga wa hicho chako kisichojitambua kuvihukumu vitoto vyote vya 2000s. Endelea kutafuta vingine kama tu unajua unachokitafuta. Angalia tu usiishie kuviharibia maisha🚶🏿♂️
Mkuu hapo ntapingana na wewe. Nakumbuka wakati tupo sekondari mabinti wengi wa age yetu walikua wanatoka na majamaa ya mtaani makubwa kinoma kipindi hicho yanakuja kuwachukua na magari sisi tunaonekana vinuka mkojo hatuna kitu.Hivi vitoto mviache vienjoy ujana wao na wavulana ndio nature inataka hivyo.
Sema kuna kamoja nilikua nako kalikua kasumbufu jamani khaa.. kila saa kanataka mchati, ukatumie meseji, mara video call, ukasifie, ukape hela, yaani ilikua bado kidogo wife atudake. Nikaona kataniletea matatizo nikapiga chini kimya kimya.Join the chain kwao kitu kikubwa vinataka time and fucking less money akikuomba sana ni ten
🤓Mhasibu wa hovyo duniani, ghorofa utaendelea kuliota
Wote ni hivyo hivyo na hakuna namna atakuelewa hata usemeje kile unakataza ndio kitu katafanya sema Sina namna maana pia na enjoy sana Kako vizuri ila huo usumbufu hadi kuna saa najifungia ndani kasione kama nipo (tuko Jirani)Sema kuna kamoja nilikua nako kalikua kasumbufu jamani khaa.. kila saa kanataka mchati, ukatumie meseji, mara video call, ukasifie, ukape hela, yaani ilikua bado kidogo wife atudake. Nikaona kataniletea matatizo nikapiga chini kimya kimya.