Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Nimecheka hilo lalamiko lako namba 4 kwamba wakati anakupa vile viuno vya Mkoleni, wakati huo huo anaomba hela/anaomba umnunulie Peruvian hair/anaomba umpeleke vacation Zanzibar 😜🙌
Kumbe wanatofautiana
Me wangu nikiwa nakaribia kuwaleta Wazungu ndiyo hapo anaanza kuomba hayo mahitaji
Na kwakuwa nakuwa nje ya common sense, najikuta nakubali tu
Yeye: Daddy ninunulie iPhone 15
Mimi: Usihofu nitakupa
Yeye: Daddy nilipie tiketi ya Dubai
Mimi: Unataka uende na Fly Emirates ama Kenya Airways
Kuja kutahamaki nimeuza Kiwanja cha familia 🙌
Bora tumezeeka sasa 😜
Kumbe wanatofautiana
Me wangu nikiwa nakaribia kuwaleta Wazungu ndiyo hapo anaanza kuomba hayo mahitaji
Na kwakuwa nakuwa nje ya common sense, najikuta nakubali tu
Yeye: Daddy ninunulie iPhone 15
Mimi: Usihofu nitakupa
Yeye: Daddy nilipie tiketi ya Dubai
Mimi: Unataka uende na Fly Emirates ama Kenya Airways
Kuja kutahamaki nimeuza Kiwanja cha familia 🙌
Bora tumezeeka sasa 😜