Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

Mwasibu mambo mengine kama unafanya kweli basi fanya kama Siri yako.

Mimi nachukia Sana mtu anaetembea na vitoto vidogo wakati vijana wenzao wapo kibao.

Achana na watoto mashangazi wapo wamejaa tele tena wengine ukikwama pesa wanakupa wao, Acha huu ujinga.
Umesoma vizuri alichoandika? Mwanamke mwenye miaka 21 ni mtoto?

Watu waliozaliwa mwaka 2000 mpaka 2005 ndani ya hii cohort mdogo zaidi yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza na mkubwa ana miaka zaidi ya mitatu toka amalize chuo kikuu.
 
No hard feelings mzee[emoji23] sio kila siku kila saa ni vitu serious tu, muda mwingine inatakiwa tuishi kama binadamu wengine, mimi sioni ubaya wowote kila mtu anafanya haya mambo ni vile tu yeye ameamua kushare yake na sisi…which is Not bad
Mawazo na mtazamo wangu uheshimike Mkuu 😂😂😂
 
No hard feelings mzee[emoji23] sio kila siku kila saa ni vitu serious tu, muda mwingine inatakiwa tuishi kama binadamu wengine, mimi sioni ubaya wowote kila mtu anafanya haya mambo ni vile tu yeye ameamua kushare yake na sisi…which is Not bad
Hilo jamaa lijinga sana, issue zenyewe zipo tunapiga mastori MMU. Anataka hard talk MMU? upuuzi mtupu
 
Umesoma vizuri alichoandika? Mwanamke mwenye miaka 21 ni mtoto?

Watu waliozaliwa mwaka 2000 mpaka 2005 ndani ya hii cohort mdogo zaidi yupo chuo kikuu mwaka wa kwanza na mkubwa ana miaka zaidi ya mitatu toka amalize chuo kikuu.
First born wangu anafanya masters halafu Mimi naanzaje kutoka na binti 21 years old? na hawa vijana watoke na nani?

Halafu Mimi siyo Mzee lakini wapo mademu wa level zetu wa kudeal nao, tena kama unataka uenjoy kweli unatakiwa kutoka na mwanamke anayekojowa ukimfikisha.

Sasa niambie ni msichana yupi wa 21 anayekojowa?

Unajuwa ni Kwa nini kuna wanawake wenye kipato wanawapa pesa wanaume?

Hivi vitoto mviache vienjoy ujana wao na wavulana ndio nature inataka hivyo.
 
Unajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua na miaka 21.

Kale katoto ndio kalitoka kumaliza degree, kwa hiyo nikajiaminisha atakuwa anatumia akili za chuo kudeal na mapenzi. Ikawa tofauti kabisa, kumbe akifunga madaftari anabaki na ujinga uleule.

Ujinga ni mwingi, ila nitakumbuka machache

1. Akanikataza kumuita kwa jina lake. Akalazimisha nimuite mpenzi. Hii kwangu ilikuwa adhabu kubwa sana kumwita mpenzi wakati simpendi. Imagine upo ofisini na wakuu wenzako, umekula suti za Kihasibu mnapitisha malipo, halafu wanasikia unaita mtu Mpenzi kwenye simu

2. Ukiwa naye anataka muda wote awe na simu yangu eti kupima uaminifu wangu. Sms ikiingia anataka kwanza asome yeye.

3. Kuna siku nilifungiwa lodge. Mimi hata iweje huwa silali nje ya home. Kuna siku tulikuwa na miadi ya kula mzigo, tukachukua chumba kwa makubaliano ya saa 4 usiku tunaondoka. Ilipofika muda dogo akaficha funguo anataka tulale.

4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.

5.Ukitaka kwenda kumchukua kwao(alikuwa anaishi na dada yake) analazimisha usogee karibu kabisa ili majirani waone kama anafuatwa na gari.

Baada ya kujionea mwenyewe nikakapiga tukio la kuuma kakakimbia chenyewe.

My Take
Try this at your own risk.
Mimi nilikipata kimoja hivi,tukienda kula sehemu eti kanapenda tulishane kwa kutumia midomo...

Kakiandika sms,ni gazeti aiseeeeee! Kanaandika kwa kirefu sana hadi unasoma nakukosa mwelekeo hivi kana taka nini
 
Unajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua na miaka 21.

Kale katoto ndio kalitoka kumaliza degree, kwa hiyo nikajiaminisha atakuwa anatumia akili za chuo kudeal na mapenzi. Ikawa tofauti kabisa, kumbe akifunga madaftari anabaki na ujinga uleule.

Ujinga ni mwingi, ila nitakumbuka machache

1. Akanikataza kumuita kwa jina lake. Akalazimisha nimuite mpenzi. Hii kwangu ilikuwa adhabu kubwa sana kumwita mpenzi wakati simpendi. Imagine upo ofisini na wakuu wenzako, umekula suti za Kihasibu mnapitisha malipo, halafu wanasikia unaita mtu Mpenzi kwenye simu

2. Ukiwa naye anataka muda wote awe na simu yangu eti kupima uaminifu wangu. Sms ikiingia anataka kwanza asome yeye.

3. Kuna siku nilifungiwa lodge. Mimi hata iweje huwa silali nje ya home. Kuna siku tulikuwa na miadi ya kula mzigo, tukachukua chumba kwa makubaliano ya saa 4 usiku tunaondoka. Ilipofika muda dogo akaficha funguo anataka tulale.

4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.

5.Ukitaka kwenda kumchukua kwao(alikuwa anaishi na dada yake) analazimisha usogee karibu kabisa ili majirani waone kama anafuatwa na gari.

Baada ya kujionea mwenyewe nikakapiga tukio la kuuma kakakimbia chenyewe.

My Take
Try this at your own risk.
2 and 4
 
"Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela."

[emoji3][emoji3]
 
Yote ulivyosema ni kweli Niko na ka 21 ila sioni shida maana hata hao aged Wana mambo Yao ya kusumbua tena zaidi ya 21 uzuri wa hao generation Z ni they love for real ila kwa upande wa sex unapaswa uwe imara maana energy Yao sio poa
 
Back
Top Bottom