Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mbona siku hizi tunaacha magari tunapenda Ubber?siyo kwamba ukiwa na gari, automatikali una mawe ?
maana nishawahi ulizwa, una gari ?
nikasema hapana
na chat ikaishia hapo
Inawezekana na malezi na ujinga wake,ila binafsi namfahamu binti wa 2004, heshima aliyonayo! nidhamu!! usikivu na unyenyekevu hata hawa wa 1985 hawanaUnajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua na miaka 21.
Kale katoto ndio kalitoka kumaliza degree, kwa hiyo nikajiaminisha atakuwa anatumia akili za chuo kudeal na mapenzi. Ikawa tofauti kabisa, kumbe akifunga madaftari anabaki na ujinga uleule.
Ujinga ni mwingi, ila nitakumbuka machache
1. Akanikataza kumuita kwa jina lake. Akalazimisha nimuite mpenzi. Hii kwangu ilikuwa adhabu kubwa sana kumwita mpenzi wakati simpendi. Imagine upo ofisini na wakuu wenzako, umekula suti za Kihasibu mnapitisha malipo, halafu wanasikia unaita mtu Mpenzi kwenye simu
2. Ukiwa naye anataka muda wote awe na simu yangu eti kupima uaminifu wangu. Sms ikiingia anataka kwanza asome yeye.
3. Kuna siku nilifungiwa lodge. Mimi hata iweje huwa silali nje ya home. Kuna siku tulikuwa na miadi ya kula mzigo, tukachukua chumba kwa makubaliano ya saa 4 usiku tunaondoka. Ilipofika muda dogo akaficha funguo anataka tulale.
4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.
5.Ukitaka kwenda kumchukua kwao(alikuwa anaishi na dada yake) analazimisha usogee karibu kabisa ili majirani waone kama anafuatwa na gari.
Baada ya kujionea mwenyewe nikakapiga tukio la kuuma kakakimbia chenyewe.
My Take
Try this at your own risk.
😂 waacheniWatoto wa 2010 hadi 2028 tutavizungumzia hapa.
mbona umekua mkali sana 😬😬Huyu Mleta uzi nimemfikiria na kugundua ni wale Vijana waliotoka kwenye familia duni na masikini sana lakini baada ya Nature kumpa kipato na kazi nzuri amegeuka kuwa zuzu na limbukeni kwenye huu ulimwengu.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU , badirika bhana huu ujinga unaopost kuwadharirisha Wanawake kwa sababu ni Muhasibu na unavaa suti sio ishu sana. Tumia taaluma yako kuleta maandiko yenye tija au bora ubaki kwenye kui support timu yetu ya SSC tu. Nature iliyokupa maisha hiyo hiyo inaweza ikakubadirikia na kukudharirisha aisee.
HahahahahahahahahaHuyu si ndio muhasibu wa kule kwenye michezo na uke uzi wake ? Kama ni yeye siezi shangaa hili andiko lake
Na inawezekana wakati huo pesa itakuwa imebadirika muonekano😂 waacheni
Mkuu 21 ni mtoto?Mwasibu mambo mengine kama unafanya kweli basi fanya kama Siri yako.
Mimi nachukia Sana mtu anaetembea na vitoto vidogo wakati vijana wenzao wapo kibao.
Achana na watoto mashangazi wapo wamejaa tele tena wengine ukikwama pesa wanakupa wao, Acha huu ujinga.
😬😬😬😬😬, Walah... Uzee unakuijia vibaya sana ..4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.
Mkuu ukinichukulia serious utapoteza muda tu. Hii ni account binafsi sio ya taasisiWatu kama Hawa hawana furaha na maisha yao, huwa anatafuta handle mtandaoni na huwa nashangaa sana mtu mwenye akili timamu inakuwaje unakuja ku exposed mambo yako ya aibu hadharani?
Sitaki ligi, kama Una akili timamu utakuwa umenielewa.Mkuu 21 ni mtoto?
Furushi hakutaka kuumiza kichwa chake 🤣🤣🤣Kwakweli😂😂😂yeye kaona jamaa amesema anashuka hesabu za kiuhasibu akajua huyu ni mwalimu.
Wewe sio mimi, mimi sio wewe. Muda wa kuchukulia serious hivi vitu utumie kwenye mambo ya msingi. Ukinifuatisha mimi utalost unless nikuajiri kuwa manager wangu humu JFSitaki ligi, kama Una akili timamu utakuwa umenielewa.
Mimi siwezi kutoka na binti under 30.
Consistency
Consistency
Sikuchukulii serious Mimi lakini akili yako inatakiwa ifanyiwe adjustment, huwa unaandika vitu vya kipuuzi sana. Labda hii I'd ni Artificial Intelligence 😂😂😂Mkuu ukinichukulia serious utapoteza muda tu. Hii ni account binafsi sio ya taasisi
Umri wenu huenda tofauti. Labda Okw yupo kwenye 27 au below.Sitaki ligi, kama Una akili timamu utakuwa umenielewa.
Mimi siwezi kutoka na binti under 30.
Huyu Mleta uzi nimemfikiria na kugundua ni wale Vijana waliotoka kwenye familia duni na masikini sana lakini baada ya Nature kumpa kipato na kazi nzuri amegeuka kuwa zuzu na limbukeni kwenye huu ulimwengu.
Mkuu OKW BOBAN SUNZU , badirika bhana huu ujinga unaopost kuwadharirisha Wanawake kwa sababu ni Muhasibu na unavaa suti sio ishu sana. Tumia taaluma yako kuleta maandiko yenye tija au bora ubaki kwenye kui support timu yetu ya SSC tu. Nature iliyokupa maisha hiyo hiyo inaweza ikakubadirikia na kukudharirisha aisee.