MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Sikuelewi unachokiandika.
Nenda kasome maazimio ya kamati kuu utaelewa wewe kichwa box
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuelewi unachokiandika.
Sikuelewi unachokiandika.
Hatua zinahusu nini?
Fanya bidii yako binafsi kushindana na yote hayo yatakuondokea. Unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?
Nyie ndiyo mnawaponza wasiojuwa Kiswahili vizuri, wanaanza kupiga hatua kutoa Geita sijui wapi huko wanajuwa wakifika Ikulu kila kitu safi, wakaishia rumande.
Nenda kasome maazimio ya kamati kuu utaelewa wewe kichwa box
alafu we vp? we ni wa buku saba nini
Kaunge mkono maazimio ya mafisadi wenzio we bibi..je suis ukawa
Mwaka mambo mapya, buku 10 kwa saa 1 siku hizi, hujuwi tumeingia mwaka wa uchaguzi? Kalagabaho.
Nini kifanyike!? Tuambie tuambie, tufuate njia gani!?
juhudi za Mtu binafsi ni MUHIMU. Lakini nafasi ya VIONGOZI ni ya nini?Hatua zinahusu nini?
Fanya bidii yako binafsi kushindana na yote hayo yatakuondokea. Unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?
Nyie ndiyo mnawaponza wasiojuwa Kiswahili vizuri, wanaanza kupiga hatua kutoa Geita sijui wapi huko wanajuwa wakifika Ikulu kila kitu safi, wakaishia rumande.
Mada hapa ni tatizo kwa WANASIASA kuwekeza kwenye ujinga , umaskini na maradhi! Swali Je tuondokane namna gani na tatizo hili? Kama watu hawajali KANUNI , taratibu, sheria, na hata kuheshimu maamuzi ya wananchi huko ni kuwekeza kwenye ujinga wetu. Kama tunahonga na kufanikiwa malengo yetu. Huko ni kuwekeza kwenye umaskini wa watu. Hatua gani zichukuliwe tuanze kuthamini utu wa mtu na kuheshimu waliowachagua na kufanya maamuzi kwa MISINGI ya HAKI ?Hatua zinahusu nini?
Fanya bidii yako binafsi kushindana na yote hayo yatakuondokea. Unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?
Nyie ndiyo mnawaponza wasiojuwa Kiswahili vizuri, wanaanza kupiga hatua kutoa Geita sijui wapi huko wanajuwa wakifika Ikulu kila kitu safi, wakaishia rumande.
juhudi za Mtu binafsi ni MUHIMU. Lakini nafasi ya VIONGOZI ni ya nini?
Mada hapa ni tatizo kwa WANASIASA kuwekeza kwenye ujinga , umaskini na maradhi! Swali Je tuondokane namna gani na tatizo hili? Kama watu hawajali KANUNI , taratibu, sheria, na hata kuheshimu maamuzi ya wananchi huko ni kuwekeza kwenye ujinga wetu. Kama tunahonga na kufanikiwa malengo yetu. Huko ni kuwekeza kwenye umaskini wa watu. Hatua gani zichukuliwe tuanze kuthamini utu wa mtu na kuheshimu waliowachagua na kufanya maamuzi kwa MISINGI ya HAKI ?
Siku zote MTU yeyote asifurahie kisiasa kuchaguliwa na mtu mjinga asiyejua kwa nn anakuchagua,kesho huyo mtu mjinga kutokana na ujinga wake anaweza kumchagua kichaa kuwa kiongozi na utamlaumu lkn sio kosa lake ndivyo alivyo andaliwa kufanya hivyo.
Hata hao wezi hawana Maisha bora.maisha bora ama bora maisha?? nazani ni bora maisha!!! maisha bora ni wezi wa ESCROW.
Ukiona chama kimefikia hatua ya kuajiri vichaa wakukitetea badala ya kufanya mambo ambayo yatafanya jamii ikitetee kwa mazuri yake.we jua chama hicho kinapumulia mashine.
iko hivi.. Mlinzi tuliyempa dhamana ya kulinda mali zetu anashirikiana na wezi kutuibia.. Ccm ndiyo impewa dhamana ya kulinda rasilimali zetu na kukusanya kodi na kutuletea maendeleo.. Sasa kwa kuwa iko dhahiri shahiri mlinzi huyu anashikiriana na wezi kutuibia dawa ni moja tu.. Kumfukuza kazi na kumpeleka mahakamani..
Toa ccm madarakani tanzania ipone