Ujinga, Umaskini na Maradhi ni mtaji mkuu wa wanasiasa wa Tanzania

Ujinga, Umaskini na Maradhi ni mtaji mkuu wa wanasiasa wa Tanzania

Hatua zinahusu nini?

Fanya bidii yako binafsi kushindana na yote hayo yatakuondokea. Unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?

Nyie ndiyo mnawaponza wasiojuwa Kiswahili vizuri, wanaanza kupiga hatua kutoa Geita sijui wapi huko wanajuwa wakifika Ikulu kila kitu safi, wakaishia rumande.

alafu we vp? we ni wa buku saba nini
 
Mwaka mambo mapya, buku 10 kwa saa 1 siku hizi, hujuwi tumeingia mwaka wa uchaguzi? Kalagabaho.

Ukiona chama kimefikia hatua ya kuajiri vichaa wakukitetea badala ya kufanya mambo ambayo yatafanya jamii ikitetee kwa mazuri yake.we jua chama hicho kinapumulia mashine.
 
Hatua zinahusu nini?

Fanya bidii yako binafsi kushindana na yote hayo yatakuondokea. Unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?

Nyie ndiyo mnawaponza wasiojuwa Kiswahili vizuri, wanaanza kupiga hatua kutoa Geita sijui wapi huko wanajuwa wakifika Ikulu kila kitu safi, wakaishia rumande.
juhudi za Mtu binafsi ni MUHIMU. Lakini nafasi ya VIONGOZI ni ya nini?
 
Hatua zinahusu nini?

Fanya bidii yako binafsi kushindana na yote hayo yatakuondokea. Unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?

Nyie ndiyo mnawaponza wasiojuwa Kiswahili vizuri, wanaanza kupiga hatua kutoa Geita sijui wapi huko wanajuwa wakifika Ikulu kila kitu safi, wakaishia rumande.
Mada hapa ni tatizo kwa WANASIASA kuwekeza kwenye ujinga , umaskini na maradhi! Swali Je tuondokane namna gani na tatizo hili? Kama watu hawajali KANUNI , taratibu, sheria, na hata kuheshimu maamuzi ya wananchi huko ni kuwekeza kwenye ujinga wetu. Kama tunahonga na kufanikiwa malengo yetu. Huko ni kuwekeza kwenye umaskini wa watu. Hatua gani zichukuliwe tuanze kuthamini utu wa mtu na kuheshimu waliowachagua na kufanya maamuzi kwa MISINGI ya HAKI ?
 
juhudi za Mtu binafsi ni MUHIMU. Lakini nafasi ya VIONGOZI ni ya nini?

Kuongoza.

Katika kanuni za kukubali kuongozwa ya kwanza ni kuwa kiongozi halaumiwi. Ndiyo maana mimi hupenda kuwa kiongozi na sipendi kuongozwa.
 
Mada hapa ni tatizo kwa WANASIASA kuwekeza kwenye ujinga , umaskini na maradhi! Swali Je tuondokane namna gani na tatizo hili? Kama watu hawajali KANUNI , taratibu, sheria, na hata kuheshimu maamuzi ya wananchi huko ni kuwekeza kwenye ujinga wetu. Kama tunahonga na kufanikiwa malengo yetu. Huko ni kuwekeza kwenye umaskini wa watu. Hatua gani zichukuliwe tuanze kuthamini utu wa mtu na kuheshimu waliowachagua na kufanya maamuzi kwa MISINGI ya HAKI ?

Ndiyo maana nikasema, unangoja mtu akuchukulie hatua kwa ujinga wako?

Kama tunaongelea uongozi Tanzania, kiongozi mkuu wa mwisho ni Jakaya Kikwete, na naam, Kikwete hakuna mahala unaweza mtoa dosari katika uongozi wake ukilinganisha na wa kabla yake, kama papo hebu leta tupachambuwe.
 
Mtaji wa ccm, nape aliwauliza watu tanga eti mnataka maji au katiba, wale watu wakajibu majiiiiii....! Mnataka barabara au katiba, wakajibu barabaraaa..! Umeme au katiba, umemeeee! Katiba itawasaidia nini nyie watu hakunaaaa.....! Kama si uenda wazimu ni nini?
 
Siku zote MTU yeyote asifurahie kisiasa kuchaguliwa na mtu mjinga asiyejua kwa nn anakuchagua,kesho huyo mtu mjinga kutokana na ujinga wake anaweza kumchagua kichaa kuwa kiongozi na utamlaumu lkn sio kosa lake ndivyo alivyo andaliwa kufanya hivyo.

Ndio maana tunaona kwa macho yetu viongozi wengi wawakilishi wa watu (WABUNGE)wanaishi Dar es salaam kwa sababu wanajua waliowachagua ni mambumbumbu mablanketi kumi na hata wasipoenda kabisa majimboni mwao ukifika wakati wa uchaguzi watachaguliwa tena,viongozi wa namna hii watambue kuwa wanachofanya ni UNYAMA uliopitiliza usio na chembe ya huruma kwa watu waliomwamini.

Serikali ina jukumu zito la kuwapa watu ELIMU ili kujenga utambuzi wa kwa nini wachague viongozi,na lipi jukumu la viongozi kwa maslah mapana ya watu na TAIFA kwa ujumla ili kuleta maendeleo kwa haraka zaidi kama zilivyo nchi nyingine duniani.
 
maisha bora ama bora maisha?? nazani ni bora maisha!!! maisha bora ni wezi wa ESCROW.
 
Siku zote MTU yeyote asifurahie kisiasa kuchaguliwa na mtu mjinga asiyejua kwa nn anakuchagua,kesho huyo mtu mjinga kutokana na ujinga wake anaweza kumchagua kichaa kuwa kiongozi na utamlaumu lkn sio kosa lake ndivyo alivyo andaliwa kufanya hivyo.

nimekuelewa kabisa.
 
iko hivi.. Mlinzi tuliyempa dhamana ya kulinda mali zetu anashirikiana na wezi kutuibia.. Ccm ndiyo impewa dhamana ya kulinda rasilimali zetu na kukusanya kodi na kutuletea maendeleo.. Sasa kwa kuwa iko dhahiri shahiri mlinzi huyu anashikiriana na wezi kutuibia dawa ni moja tu.. Kumfukuza kazi na kumpeleka mahakamani..

Toa ccm madarakani tanzania ipone

mungu aliye hai akulinde sana .
 
Back
Top Bottom