Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

Hakuna mgogoro wowote wala tishio lolote la kiusalama, kwasababu DPW imepewa a security clearance, na wao ni operators only, ulinzi wa mipaka yetu bado jukumu la JWTZ, hivyo usiwe na wasiwasi kabisa!.
P
 
Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Hii ni vita ni wazanzibar na watanganyika usije ukajikuta siku muislam wa Tanganyika unafukuzwa Zanzibar watu wanaanda mazingira
 
Sijui watu wataelewa lini; serikali ya kilaghai inayohimiza "Siasa za kistaaraabu", wakiwa na maana ya kulaghai na uongo kila wanacho kisema!

Mbowe kachotwa akili, kaharibu mwelekeo mzima wa chama na kuondoa matumaini ya waTanzania juu ya kuwaondoa madarakani mafisi hawa.
 
Naituma mahali
 
Wengi wenu elimu hamna ndo shida pia hata mki elimika elimu huwa haingii
Mmekaririshana hiko kichaka, maana nakisikia tangu nazaliwa. Kwahiyo we unayeongea hapa ndo mfano wa hao walioelimika, sio?!!!! Kama we ndo umesoma aisee basi nikwambie tu kuwa huko madrasa kuna elimu kubwa kuliko yako!!!
 
Unajisikia Kama ulipuke fulani ivi kwa kumeza bomu.
Yaani wewe uliyeongea ndiye mwenye chuki na umefundishwa kumchukia asiyefungamana na unachoamini wewe ,unamuona Kama ataenda motoni. Muache tu aende motoni kwani wewe utapoteza Nini. Wewe kale pepo
Mbona mi nakuona wewe ndo uliyekasirika balaa na kutokana na hiyo dp world na sababu kuu ni waarabu (mkihisi kuna uislamu ndani yake). Vimaneno maneno vya kukera vingiii vyenye chuki ndani......islamization of tz n.k hayakauki vinywani mwenu.
 
We inaonekana unaota
 
Na bado wataenda hadi Mwanza, Kigoma, Kyela, Chato n.k
 
TEC walipotoa tamko, walishambuliwa haswa.!!!

Sasa waliokuwa wanatoa matamko kupinga tamko la TEC waje waseme neno..!!
 
kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.

CCM siyo yakuiamini hata kidogo, sasa hadaa zote zipo hadharani kwa waTanzania kujua bandari zote na shoroba za Uchukuzi pia ugavi kama reli, Mandela Road express way, Morogoro road, Julius Nyerere Pugu Road, ma-godown, bandari kavu, mito na maziwa n.k yote mali ya Dubai kupitia kampuni ya DP World.
 
Mkuu.. haya mambo ukijaribu kuyafikiria sana unaweza kukuta nywele zinanyonyoka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…