BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao vijana wenu acha waendelee kulinda maboxi ya wizi wa kura, sio zaidi ya hapo.
ni kizazi cha vijana kama ilivyo kizazi cha vijana wetu...usijiweke kwenye upande wa upweke kamwe....waache vijana wetu waoneshe utofauti.
Jingalao unajulikana labda ungekuja kwa ID nyingine.una evidence...au unabwata kwa ku-echo ujinga wa wahuni na wasaliti??
Maybe mashoga wasipewe shavu tuTunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Hata Tanzania haina rafiki wa kudumu...tunao marafiki wa kimkakati siku zote....BE PROUD OF YOUR NATION AND TAKE YOUR TIME TO BE INFORMEDWamarekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Huwa hawafanyi mishe zao bila malengo, bila shaka kuna deal wamekuja kulifuatilia.
Kusoma na LGBT mbona haviendaniKama tulikubali watoto wetu wa kike wasome wakiwa na watoto basi na hili la kaka zao kuoana sidhani kama litapingwa.
Eti details za ikulu. Kwani wasanifu wa majengo hayo sio binadamu? Kama ni binadamu leakage can be anywhere.Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ujio wa Obama mwaka 2013 ulitia fora!!!! JAKAYA alidata akawa anakenuaa tu, na alivyo zuzu akaagiza FFU wa kitanganyika wawekwe kando ili kupisha WANAJESHII WA THE UNITED STATES OF AMERICA.Hongera maana Rais mstaafu wakati anakabidhi ulikuwepo naye Ikulu
So unataka waishie nje? Uko serious au unatania? 🤣Kwa akili yako umedhani sijui kama hawajui kumbe unajidanganya. Wanaweza kujua lakini experience watakayo ipata kuzurula humo mjengoni na kupiga picha kisirisiri au kwa uwazi ndiko nako kumaanisha sawa ewe mwenye akili?
Sukuma gang kaziniTunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurajea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Sawa bwashee 🤣🤣nizoee tu
Mambuzi yote ni "majingalao" ukiwemo wewe mfuasi wa shetani aliyeondoshwa.
Wamarekani ndiyo wanaendesha Dunia na wanajua mpaka silaha tunazomiliki.Na ni sheria yao kumlinda Rais wao kijeshi popote pale anapokwenda.Tunafurahi kwa diplomasia nzuri ya kufungua nchi kwa dunia. Jitihada kubwa inayofanywa na mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kurejesha mahusiano na mataifa mbalimbali hususani ya Magharibi sio ya kubezwa ...ni jitihada kubwa na leadership style ya kipekee ambayo inaleta manufaa.
Tumewahi kupata ugeni mbalimbali kutoka mataifa makubwa lakini napenda kurejea ugeni wa Rais wa Marekani Barack Obama ambapo "inasemekana" kuwa masuala ya kiulinzi yaliingilia mifumo yetu ya kiulinzi pengine kwa kutoaminiwa sana kwa wataalamu wetu wa maswala ya ulinzi na usalama.
Iwapo suala hilo ni kweli basi hatuna namna bali kutoa angalizo...kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ni imara na ni lazima viaminiwe kwa asilimia 100.Tusidanganywe kuwa hatuwezi bali discussion ifanyike kujua weak points ni zipi na hivyo zifanyiwe kazi.
Tunayo Ikulu mpya ya CHAMWINO Kamwe tusiruhusu mtoka mbali ndio ajidai kuwa ana uelewa wa kuilinda kuliko vyombo vyetu adhimu vya ulinzi na usalama.
Kamwe tusiruhusu details za Ikulu yetu mpya kuangukia mikononi mwa wageni, hili ni hatari sana na ni sawa na kuingilia uhuru na heshima ya nchi.
Otherwise karibu sana mgeni wetu na tuna value ujio wako.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!