Ujio wa Makamu wa Rais Kamala Harris nchini Tanzania, mifumo ya ulinzi nchini isiingiliwe na Marekani

Alie kuzidi kakuzidi , alazima mifumo kuingiliwa ,uyo si Mseveni, Ruto au kagame
 
story za kwenye kahawa hizo.
Ni kweli Rais na Makamu wa USA wanalindwa kijeshi popote pale Duniani,ulinzi wa viongozi Wakuu ni jukumu lao ndani na nje ya nchi.
Ulinzi utakuwa chini ya base yao iliyoko Kenya na ndege za viongozi Wakuu wote zinasindikizwa na ndege za kijeshi zikiwa angani na Magari ya kumbeba yanakuja na ndege maalumu,hawapandi V8 la Bibi wa Kikwajuni.
 
usitweze uwezo wa TISS yetu ...usikubali uchanga wa intelligentsia yetu....when it comes to the local context our operatives are well informed and well prepared to deal with multiple threats more than you can imagine.
 
Ah wapi
Wakinzi wenu wapeni likizo ya siku kadhaa
 
Americans wanajua kila kitu chako kabla Kamala Harris na delegation yake hawajafika hapa. Usidhani kama una siri za Taifa kwa USA.

Hata unapokwenda US Embassy kama una shida yeyote, wanakuona kuanzia Mataa ya Namanga au pale Zantel. By the time unafanya metal checkup pale getini wanafanya procedure tu ku confirm. Achana nao
 
There must be a limit ..local issues are dealt with locally.
 
Ulinzi Ulinzi..kuna techns tunaachiwa udambwi udambwi
 
Achana na maisha ya movie
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni kizazi cha vijana kama ilivyo kizazi cha vijana wetu...usijiweke kwenye upande wa upweke kamwe....waache vijana wetu waoneshe utofauti.
 
Yule sio mzima. Huwa namwangalia anavyojichekeleshachekelesha nabaki nasikitika tu. Ni kama alikua cloned au ana mtindio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…