Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Maana ya Desperado ni Jambazi.Acha tumpuuze tu, yuko desperado vibaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana ya Desperado ni Jambazi.Acha tumpuuze tu, yuko desperado vibaya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi nilicheka sana ile anayosema shishi food ni brand yetu wote, halafu anasema kwa msisitizo
[emoji1787][emoji1787] sijajua akiongea na wananchi ndio huwa anakuwa hivihivi au anakuwa siriazi? Wampe tu ubunge tuwe tunajionea comedy sie[emoji23][emoji23][emoji23].. af siku hizi kila online Tv inamtafuta maana kawa comedian sasa. Watu wa Kigoma kweli wana diwani [emoji16]
[emoji1787][emoji1787] sijajua akiongea na wananchi ndio huwa anakuwa hivihivi au anakuwa siriazi? Wampe tu ubunge tuwe tunajionea comedy sie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna video amesema Msechu anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ila hata hivyo hazimsaidiiUbunge anaweza kuropoka [emoji23][emoji23]
Af anapenda kumponda peter msechu ingawa ni utani wa kirafiki... kwamba anakaa kibamba nyumba ya vyumba sita na korido mbili sh. 75000. Et Bora yeye aendelee kukaa mjini
Huo ni utani uliopitiliza 😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna video amesema Msechu anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ila hata hivyo hazimsaidii
[emoji1787][emoji1787] kabisa aiseeHuo ni utani uliopitiliza [emoji23][emoji23]
Maana ya Desperado ni Jambazi.
Ni mwanaume huyo,usishtuke.Makubwa
Ngoja basi nijtahidi kumfuatilia, uwiiiiiihHat mimi before sikuwah mpenda ila ukimfuatilia utampenda tu yuko so cool , so natural , hajikwezi
Naona wengi wanamsifia mnoooh binamuuuh, basi nizamie kwake mazimaaaaah.Hutojuta binam , anafuraisha mno yani
Ni mwanaume huyo,usishtuke.
Diwani mstaafuAna mafanikio gani mpaka kumtolea mfano na kumuanzishia uzi?