Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale utani wao wanawezana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna video amesema Msechu anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ila hata hivyo hazimsaidii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna video amesema Msechu anatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ila hata hivyo hazimsaidii
Ila anasema yeye sio commedian.Huyu Jamaa ananifuraishaga sana, wala hatumii nguvu ku trend, he is comedian naturally, Ana kipaji mno, Sijui kama kuna mtu anamchukia huyu jamaa.
Na kuhusu kupenda kum attack peter msechu Sijui kama wana bifu kweli au Ndo ubunifu tu ila namkubali sana , anafanya vizuri sana kwenye comedy.
Anasema Msechu alifanyiwa kitu mbaya na mzee mmoja wa kigoma, msechu alimpa mimba binti wa huyo mzee na mzee alichofanya ni kuitoa mimba kwa binti yake na kuiweka kwa msechu...mpaka leo mimba imegima kutoka"anasema walipata meneja yeye na msechu,,,kesho yake msechu na mkewe wakaenda kwa meneja kuomba unga,sukari,mafuta na mchele na wakaangua maembe kwa meneja, meneja akaona eeh yaan tumesaini jana tu leo wananililia njaa akavunja mkataba"
Hakuwa bordguard alikuwa dereva wake,yule mwanaume aliyezaa na Lina huwa anamtumia uchebe kuwafundisha mababy mama wakeHalafu nimekumbuka, kuna ubuyu kautoa Aristotle ,kumbe bwana Uchebe alikuwa bodyguard wa Linah na alikuwa akilipwa elfu 20 kwa siku, Shishi akavutiwa naye akaamua kumchukua mazima.
Nani?Baza
Mungu atusaidie tusipate watoto wakiume kama huyu anapika nakupakuliwa
Na ni Ubweche piaNi mwanaume huyo,usishtuke.
Kuna wale walimuita uchebe chawa??Ila hii kesi yake na uchebe is very sensitive, nasikia yeye ndo chanzo cha ugomvi na uchebe, nasikia jamaa anakaaga na shilole hadi saa nane usiku , halafu baba levo nae ni mume wa mtu , na juzi niliona kapost Sijui walikua kwenye gar na shilole mara ziwa la shilole likaruka likatoka kwenye sidiria, I think that was too much
Wanamdharau sana uchebe, hiko kipigo cha shilole sawa sawa
Wewe na ndg yako MSAGA SUMUNani?
Anasema Msechu alifanyiwa kitu mbaya na mzee mmoja wa kigoma, msechu alimpa mimba binti wa huyo mzee na mzee alichofanya ni kuitoa mimba kwa binti yake na kuiweka kwa msechu...mpaka leo mimba imegima kutoka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu kwa ubunge kigoma mjin anajidanganya bola abaki uko uko kwenye udiwan tuJamaa kama mafanikio ya mziki aliyoyapata ni jina ambalo amelitumia kwenye siasa na kupitia ushawishi wa Zitto aliukwaa udiwani.
Na mambo yakimwendea vizuri mwaka huu ana ndoto ya kugombea ubunge Kigoma mjini.
Ucheshi anafanya just for funny he's not serious.
Amesema amekasirika kumuona dogo Nondo kuja kutangaza nia wakati yeye yuko kitambo hapo. Kama atakuja Zitto yuko tayari kumuachia ila sio Nondo.Mkuu kwa ubunge kigoma mjin anajidanganya bola abaki uko uko kwenye udiwan tu
Tumefanyaje?Wewe na ndg yako MSAGA SUMU