Ujio wa Tundu Lissu na matokeo ya ajabu

Kuna watu bwana Pascal walisema kuwa kijana mmoja alionekana Dodoma siku ya tukio na kesho yake asubuhi mjini Morogoro.
Kijana huyo ametuhumiwa hadi na USA kuwa anahusika na kuzuia watu kuishi. Jee Polisi pamoja na kuambiwa kijana huyo anashukiwa kuhusika wamewahi kumhoji? Kama wameshindwa jee inazuia RAIA wema akiwepo Mshana Jr kuendelea kumtaja mshukiwa huyo?
Tutaendelea kusema huyu ni mshukiwa na ana baraka za polisi
 
Kuna mada hapa jamvini ilikua na maudhui haya: ...." chunga sana DAB afanyayo ni ya kumharibia mkuu wa nyumba"

Ati as a typical turn coat, alihamia kambi ingine kutoka ile ilohusika na matusi ya nguoni dhidi ya Eddo enzi zile za akisomea ZERO pale MUCCOBS.
Huku na kule! Modus operandi ya shambulio dhidi ya TAL imesheheni signature za kikolomije. Coincidence or not, it is highly likely.
 
Hongera mkuu pasikali, baada ya kura za Maoni jimbo la Kawe bado una nguvu zile zile[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tayari wamepiga marufuku mapokezi
 
Pascal , wakati mwingine hua unanihuzunisha !!. Kwamba mwenye ripoti akaripoti kwenye vyombo husika !!. Kwamba mpaka leo vyombo havijui kuwa mh. Lissu alifanyiwa jinai ?!. Kwamba vyombo kufanya kazi yao mpaka tukaripoti ?!.

So cheap my dear [emoji120][emoji40]
 
Mzee P mayala naheshimu sana umri na taaluma yako ila ungepata zaidi ya kura 3 ningewashangaa sana wajumbe wa kinondoni.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu. Na hiyo hiyo akili kubwa ulio nayo ndio ili kutuma uje kugombea hapa kawe [emoji16][emoji16][emoji16].

Akili kubwa zina tumiwa sana na wenye akili mdogoo. Itoshe tu kusema ila ahadi ya Milioni kumi kwa kila kata ya kawe ilikua ni kujidhalilisha sanaa, japo una akili kubwaa.

No offense intended. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Itoshe tuu kusema nilisha kubaliana na halmashauli ya kichwa changu kua ndugu pasikali ni akili nyingi sana zinazotumikia matakwa ya sisi wenye akili ndogoo.

Kiufupi kabisa, anaendeshwaaa[emoji3][emoji3]
 
Itoshe tuu kusema nilisha kubaliana na halmashauli ya kichwa changu kua ndugu pasikali ni akili nyingi sana zinazotumikia matakwa ya sisi wenye akili ndogoo.

Kiufupi kabisa, anaendeshwaaa[emoji3][emoji3]
Anajua kila kitu lakini anaogopa kukosa keki ya upendeleo anayoikodolea macho
 
Kwanini cctv mlizificha na walinzi kabla ya tukio mliwaondosha ikiwa haihusiki kwanini hayo hamyajadili yakapatikana muafaka mzuri?
 
A day when things get out of hand
 
Anajua kila kitu lakini anaogopa kukosa keki ya upendeleo anayoikodolea macho
Ndio kusema hawezi jisimamia kwa chochotee labda kilicho nje na kutetea tumboo[emoji3][emoji3][emoji3].

Hivi kwanza ameshasikia balaza la habari walicho sema. ? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Tulipofikia Tanzania Ni pabaya ndugu yangu Mshana.
Hivi unafikiri bashite na wahuni wale wenye silaha walijiamulia kupanga na kutekeleza shambulio dhidi ya Mheshimiwa jiwe Bila maelekezo kutoka kwa malaikayesu wa Lugola?
Marais wengi wa Afrika huwa wanatumia watu baki kutekeleza umafia ili wao wabaki kuwa clean
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…