nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Tundu Lissu ndio tumaini pekee la sisi wanyonge kukombolewa. Ni yeye pekee anayeweza kwa mara nyingine tukaamka vitandani asubuhi kwenda kupanga foleni kwa ajili ya kupiga kura kama tulivyofanya 2015. Tulipiga kura 2015 kwa matarajio kuwa mzee Lowassa atasimamia mabadiliko tuliyokuwa tukiyahitaji kwa miaka mingi.
Ujumbe kwa CCM na polisi yenu ni kuwa Mzee Kikwete kwa miaka yake 10 alijenga barabara na madaraja mengi nchi nzima lakini hakuifanya iwe turufu maana alikuwa akijuwa kuwa hata huku ujerumani wakati wa Hitler, kulijengwa miundombinu na viwanda vingi lakini uuwaji alioufanya kwa watu haukuhalalisha yeye kubaki madarakani.
Tundu Lissu tunakujuwa sana njoo nyumbani ili maovu yawe wazi, tumeumizwa sana, watu wengi wamepotezwa sana. Katiba mbovu wanufaika ni wanaojipendekeza tu na kwenda huko lumumba na ajira zipo lumumba tu.
Kama uliweza kuwatetea watu mahakamani huko Tarime Nyamongo, Geita, Ulyankulu, Kahama na kila walikoonewa, hakika ni shetani pekee anayeweza kukunyima kura.
Lissu njoo wafanyakazi wamenyanyaswa sana, wamepuuzwa sana, wamedhurumiwa sana bado wana mishahara ya Jakaya.
Tulikuombea umepona.
Waliotaka kukuuwa walikufukuza ubunge na kukukata mshahara yote hiyo ilikuwa ni kuhakikisha hauponi tu. Sasa aibu yao.
Lissu njoo tutakuja kukupokea hapo JNIA.
Lissu ni TUMAINI JEMA
Ujumbe kwa CCM na polisi yenu ni kuwa Mzee Kikwete kwa miaka yake 10 alijenga barabara na madaraja mengi nchi nzima lakini hakuifanya iwe turufu maana alikuwa akijuwa kuwa hata huku ujerumani wakati wa Hitler, kulijengwa miundombinu na viwanda vingi lakini uuwaji alioufanya kwa watu haukuhalalisha yeye kubaki madarakani.
Tundu Lissu tunakujuwa sana njoo nyumbani ili maovu yawe wazi, tumeumizwa sana, watu wengi wamepotezwa sana. Katiba mbovu wanufaika ni wanaojipendekeza tu na kwenda huko lumumba na ajira zipo lumumba tu.
Kama uliweza kuwatetea watu mahakamani huko Tarime Nyamongo, Geita, Ulyankulu, Kahama na kila walikoonewa, hakika ni shetani pekee anayeweza kukunyima kura.
Lissu njoo wafanyakazi wamenyanyaswa sana, wamepuuzwa sana, wamedhurumiwa sana bado wana mishahara ya Jakaya.
Tulikuombea umepona.
Waliotaka kukuuwa walikufukuza ubunge na kukukata mshahara yote hiyo ilikuwa ni kuhakikisha hauponi tu. Sasa aibu yao.
Lissu njoo tutakuja kukupokea hapo JNIA.
Lissu ni TUMAINI JEMA