Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Kama uliweza kuwatetea watu mahakamani huko Tarime Nyamongo, Geita, Ulyankulu, Kahama na kila walikoonewa, hakika ni shetani pekee anayeweza kukunyima kura.
Kwa kuanzia, kazi hii aliyoifanya huko nyuma, na ambayo watu wengi hawaifahamu, inafaa itengenezewe namna ya kuieneza hata kabla ya kampeni hazijaanza.

Tundu Lisuu amedhalilishwa sana na wapuuzi, kwa kupachikwa neno 'Msaliti'. Hili linatakiwa lifutwe kabisa kwa kuonyesha kazi ngumu sana aliyokuwa akiifanya katika kuwatetea wanyonge hata kabla ya kuwa ndani ya siasa.

Kazi ya kutengeneza namna na kueneza habari hii inapaswa ifanyike kitaalam kuvuta hisia za mwanchi wa kawaida awali kabisa ya kampeni.
 
Lissu ni tumaini pekee lililobaki kwa watanzania.

Tulimuombea akapona Mungu amembariki.

Nakumbuka tar 7 na tar 8 ya sept 2017 nilifanya maombi ya nguvu. Nilijifunza namna ya kumwomba Mungu niki refer maombi ya Nabii Eliya Mtishibi wa israel alivyomwomba Mungu atake asitake atimize matakwa ya Eliya.

Kuna namna ambavyo ukiomna ni lazima Mungu atimize.

Sifa , Heshima na Utukufu vimurudie bwana Yehova
 
Kwa kuanzia, kazi hii aliyoifanya huko nyuma, na ambayo watu wengi hawaifahamu, inafaa itengenezewe namna ya kuieneza hata kabla ya kampeni hazijaanza.

Tundu Lisuu amedhalilishwa sana na wapuuzi, kwa kupachikwa neno 'Msaliti'. Hili linatakiwa lifutwe kabisa kwa kuonyesha kazi ngumu sana aliyokuwa akiifanya katika kuwatetea wanyonge hata kabla ya kuwa ndani ya siasa.

Kazi ya kutengeneza namna na kueneza habari hii inapaswa ifanyike kitaalam kuvuta hisia za mwanchi wa kawaida awali kabisa ya kampeni.
Naunga mkono hoja. Tunahiaji details za kazi zake nzuri na kuzitia kwenye vipeperushi angalau tuanzie na magroup ya whatsapp
 
Ni kweli kabisa, lakini ashindane, tena sio kushindana tu, bali ashindane kwa haki. Tena ashindane na Lissu.Hapo ndio tutaona uwezo wake, na kura zake halisi. Kama atalogwa akubali ushindani wa haki, uchaguzi huu hata akishinda utamuacha na fedheha sana, na mambo mengi atabidi atekeleze hasa maendeleo ya watu, na kuheshimu demokrasia. Kubwa zaidi kuliko yote, ushindani huu utamfanya iwe ngumu kwake kubadili katiba ili akae madarakani zaidi ya miaka 10.
LOOooh, "Ni kweli kabisa, kuwa'ni rahisi kwa Tanzania kuitawala Marekani kuliko Magufuli kuanguka 2020'"?

Mkuu 'Tindo' ni wewe?
 
Mzee baba Ana wasiwasi Sana, ukisikiliza hotuba zake kwa makini utagundua anahofia uchaguzi

Hivi hao wapiga Kura gani mnawazungumzia. Tz Hii Ni ya JPM. na kuongea kwenu kunadhihirisha Hilo. Hakuna anayehangaika na maiti. Ukiona unajitungia maneno ujue Ngoma nzito. Lissu hawezi kushinda hata kula 2 Mbili. Nyie Ni Kundi lile la watoto wa secondary wanamchgua kiongozi kwa kuwa walimwona kabishana na mwalimu wa nidhamu. It’s more than that.

Lissu atalipaje ukarimu wa wazungu . Hakuna cha bure wakuu. Na Hakuna zaidi ya uchumi duniani. So ukiskia unapendwa mwanamume kaza mkanda. Ukiona Museveni hawamgusi ujue anajua kula nao. So always ukiona unapendwa sana na wazungu. Jiulize wameona Nini nyuma huko. Niko ulaya mwaka 14 sasa. Najua nachoongea.
 
Nimesoma bandiko lako, hakika ni bandiko lililoelezea ukweli wa mambo yalivyo nchini kwetu kwa hivi sasa na linatia simanzi sana lakini wakati huo huo linaleta tumaini jipya.

Hakika shujaa wetu Tundu Lissu ndiyo tumaini letu kubwa sisi wananchi wanyonge
 
Hivi hao wapiga Kura gani mnawazungumzia. Tz Hii Ni ya JPM. na kuongea kwenu kunadhihirisha Hilo. Hakuna anayehangaika na maiti. Ukiona unajitungia maneno ujue Ngoma nzito. Lissu hawezi kushinda hata kula 2 Mbili. Nyie Ni Kundi lile la watoto wa secondary wanamchgua kiongozi kwa kuwa walimwona kabishana na mwalimu wa nidhamu. It’s more than that.

Lissu atalipaje ukarimu wa wazungu . Hakuna cha bure wakuu. Na Hakuna zaidi ya uchumi duniani. So ukiskia unapendwa mwanamume kaza mkanda. Ukiona Museveni hawamgusi ujue anajua kula nao. So always ukiona unapendwa sana na wazungu. Jiulize wameona Nini nyuma huko. Niko ulaya mwaka 14 sasa. Najua nachoongea.
Huwezi kuwa ulaya wewe..
 
Kwa kuanzia, kazi hii aliyoifanya huko nyuma, na ambayo watu wengi hawaifahamu, inafaa itengenezewe namna ya kuieneza hata kabla ya kampeni hazijaanza.

Tundu Lisuu amedhalilishwa sana na wapuuzi, kwa kupachikwa neno 'Msaliti'. Hili linatakiwa lifutwe kabisa kwa kuonyesha kazi ngumu sana aliyokuwa akiifanya katika kuwatetea wanyonge hata kabla ya kuwa ndani ya siasa.

Kazi ya kutengeneza namna na kueneza habari hii inapaswa ifanyike kitaalam kuvuta hisia za mwanchi wa kawaida awali kabisa ya kampeni.
Kuwa msaliti hakuhitaji mda mrefu! Anaweza alifanya mema mwanzoni ndiyo, lakini tangu 2015 amekuwa msaliti. Hivyo, mema yake yote ya nyuma yamefutwa. Na sasa ni msaliti.
 
Hivi hao wapiga Kura gani mnawazungumzia. Tz Hii Ni ya JPM. na kuongea kwenu kunadhihirisha Hilo. Hakuna anayehangaika na maiti. Ukiona unajitungia maneno ujue Ngoma nzito. Lissu hawezi kushinda hata kula 2 Mbili. Nyie Ni Kundi lile la watoto wa secondary wanamchgua kiongozi kwa kuwa walimwona kabishana na mwalimu wa nidhamu. It’s more than that.

Lissu atalipaje ukarimu wa wazungu . Hakuna cha bure wakuu. Na Hakuna zaidi ya uchumi duniani. So ukiskia unapendwa mwanamume kaza mkanda. Ukiona Museveni hawamgusi ujue anajua kula nao. So always ukiona unapendwa sana na wazungu. Jiulize wameona Nini nyuma huko. Niko ulaya mwaka 14 sasa. Najua nachoongea.
Maiti in wewe na huyo babako anayeenda kujambishwa this time.
 
Kuwa msaliti hakuhitaji mda mrefu! Anaweza alifanya mema mwanzoni ndiyo, lakini tangu 2015 amekuwa msaliti. Hivyo, mema yake yote ya nyuma yamefutwa. Na sasa ni msaliti.
Pumbavu.

Unao ushahidi?

Tena nasikitika sana kukujibu hapa, kwa sababu hustahili kujibiwa. Huna hadhi na heshima ya kujibiwa hata kwa dharau.

Usihangaike kuni'quote' tena.
 
Matamanio ya wa TZ mengi yangetkka katika katiba otherwise tunapena faraja tj CCM itazidi kuongoza na kushika dola..mchawi wa TZ sio CCM,CDAM,CUF wala ACT ...mchawi anaeturoga ni katiba.
 
LOOooh, "Ni kweli kabisa, kuwa'ni rahisi kwa Tanzania kuitawala Marekani kuliko Magufuli kuanguka 2020'"?

Mkuu 'Tindo' ni wewe?

Ni jibu la kejeli, ila maelezo halisi yapo chini ya hiyo post.
 
Eti hawataki tumpokee ila maiti za mengi na ruge ni ruksa kupokelewa ila huyu alierudi mzima hawataki
 
Ndugu Mleta mada, Ujio wa Tundu Lissu ni furaha ya kila Mtanzania. kwani ni Mwana wetu na Mtanzania mwenzetu. Inasikitisha sana watanzania tunapo jidhadhalilisja na kumtukuza mtu mmoja, na katika ARENA ya kisiasa Tanzania na Africa, tuna tabia ya kumtukuza mtu.

Mfano Baada ya uhuru kupatikana , Tulimtukuza Mwalimu pekee, ili hali kuna wengi waliomtangulia kupigania uhuru na waliokuwa nae ambao hadi leo hawajulikani. Chadema ama Upinzani kuna wengi walikuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mengi ya ukombozi au maendeleo, lakini hatuwaoni kwa sababu ya mila ya kujenga MIUNGU WATU " MAHALI UMCHUKUAPO MMOJA , UNAWAACHA WENGI WAZURI". Tushukuru ndugu Lissu Mola aliimpa uwezo wa Maisha yake kuendelea, Jee alipopigwa Marisasi ingekuwa siku yake, jee unamaanisha leo musingekuwa na wakumikombowa.

Vijana huu ni wakati wenu kuweni na busara za kuweza kuwa na misimamo ya kujitegemea badala ya kujenga MIUNGU WATU, Kama Vijana wa Chadema mnao vijana wazuri kama akina Mnyika, Esther, Sugu, Nyalandu,MSigwa na kadhalika, kwanini hawa wasifae kuwa vinara wa ukombozi wenu, au wasiwe watu mnaoweza kuamka Alfajiri kwenda kuwapigia kura.

Wacheni kujidhalilisha
 
Back
Top Bottom