Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Mnafiki huyu Mtende haeleweki, he is all over the place when it comes to important issues of our Nation.

Baada ya kupigw kibao na wajumbe sasa naona akili inakukaa sawa

BAK, muone P leo naona anamkaribisha Lissu
 
Baada ya kupigwa kibao na wajumbe sasa naona akili inakukaa sawa, muone P leo naona anamkaribisha Lissu
Achana na huyo Pascal Mayalla, kwa kuchukua fomu alifuta kabisa mahusiano yake yote na ustaarabu akaamua kuungana na washamba na limbukeni, genge lililolitafuna taifa na linaloendelea kulitafuna taifa bila huruma...kama nzige hilo genge linakula 24/7 bila kushiba. Acha wafu wazikane!
 
Achana na huyo Pascal Mayalla, kwa kuchukua fomu alifuta kabisa mahusiano yake yote na ustaarabu akaamua kuungana na washamba na limbukeni, genge lililolitafuna taifa na linaloendelea kulitafuna taifa bila huruma...kama nzige hilo genge linakula 24/7 bila kushiba. Acha wafu wazikane!
Ila wajumbe walimuweza sana, sijui kama atakaa asahau

Na ahadi yake ya kuyo milioni kumi kila kata
 
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

Paskali
Umeonyesha ukomavu mkubwa Sana kwenye hili P... Nafikiri ujio wa TL unaenda kuleta taswira mpya kabisa kwenye uchaguzi mkuu October...
 
😂😂😂😂😂 katika michezo niliyocheza utotoni hasa wakati wa likizo ni kuwinda ndege kwa manati 😂 sasa wawindaji wenzangu 😜 na mimi tulikuwa tunalalamika sana kwamba ni ngumu sana kuwapiga na manati mbayuwayu 😂😂

Nimewajua kwa sababu y tabi aya P ya kuyumba yumba [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katika michezo niliyocheza utotoni hasa wakati wa likizo ni kuwinda ndege kwa manati [emoji23] sasa wawindaji wenzangu [emoji12] na mimi tulikuwa tunalalamika sana kwamba ni ngumu sana kuwapiga na manati mbayuwayu [emoji23][emoji23]
Mi nilikua na shabaha, ungeniamba ningekuelekeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ahsante sana Mkuu umeandika ukweli mtupu kuhusu huyu mwenzetu ambaye anajishushia heshima yake kwa matendo na kauli zake za ajabu ajabu.

Achana na huyo Pascal Mayalla, kwa kuchukua fomu alifuta kabisa mahusiano yake yote na ustaarabu akaamua kuungana na washamba na limbukeni, genge lililolitafuna taifa na linaloendelea kulitafuna taifa bila huruma...kama nzige hilo genge linakula 24/7 bila kushiba. Acha wafu wazikane!
 
😂😂😂😂😂 Mbayuwayu hata kuwaona wametua ni nadra sana ila wanapenda kuruka kwenye kundi kubwa basi unarenga kwenye kundi angani lakini hakuna aliyewahi kufanikiwa.

Mi nilikua na shabaha, ungeniamba ningekuelekeza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbayuwayu hata kuwaona wametua ni nadra sana ila wanapenda kuruka kwenye kundi kubwa basi unarenga kwenye kundi angani lakini hakuna aliyewahi kufanikiwa.
Nimekwambia mimi nilikua na walenga na manati tena ile nyekundu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila siku nawashaur cdm... ata kwenye kampeni, wasiwe na mihemko.... watanzania wengi ni "wajinga" kwa iyo wanaitaj kueleweshwa kwa taratibu na kirafiki.... wakifoka na kupayuka..... bado watabaki na hii dhana ya "kupinga kila kitu" najua ni vigumu na muda si rafiki lkn nje ya propaganda mtanzania anatakiwa kueleweshwa kwa taratibu km mtoto wa la kwanza... yani ukimwambia 2+2=4 hakikisha unachukua visoda viwili uviunganishe na viwili uhesabu jumla af ndo umwambie kwamba hilo ndo jibu(nadhani wengi wamenielewa).
 
Musa alifia njiani, hakufika nchi ya ahadi🙄
Kura za Facebook atapata, Ila kura za watu wanaojitambua hawezi kupata
Binafsi nimepoteza kadi ya mpiga kura pia kipindii cha maboresho ya daftari nilikuwa nchini Kenya so zoezi lilinipitia kushoto.
Naamini wapo wengi wanapiga kelele humu lakini hawatokuwa na Access ya kupiga kura kwa namna moja au nyingine.
 
Back
Top Bottom