Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musa alifia njiani, hakufika nchi ya ahadi🙄Usijali,Mussa yuko katika maandalizi ya kuja kuokoa wana wa Israeli siku si nyingi.
Na wewe umo. Mbona una commentHii ni thread ya malofa kupunguzia stress
Naweka kumbukumbu, mkuu 'nditolo'.Itafanyiwa kazi chief. Tunashukuru kwa ushauri
Nawaambia kuna watu wanatetemeka wasomapo ujumbe huu.Tundu Lissu ndio tumaini pekee la sisi wanyonge kukombolewa. Ni yeye pekee anayeweza kwa mara nyingine tukaamka vitandani asubuhi kwenda kupanga foleni kwa ajili ya kupiga kura kama tulivyofanya 2015. Tulipiga kura 2015 kwa matarajio kuwa mzee Lowassa atasimamia mabadiliko tuliyokuwa tukiyahitaji kwa miaka mingi.
Ujumbe kwa CCM na polisi yenu ni kuwa Mzee Kikwete kwa miaka yake 10 alijenga barabara na madaraja mengi nchi nzima lakini hakuifanya iwe turufu maana alikuwa akijuwa kuwa hata huku ujerumani wakati wa Hitler, kulijengwa miundombinu na viwanda vingi lakini uuwaji alioufanya kwa watu haukuhalalisha yeye kubaki madarakani.
Tundu Lissu tunakujuwa sana njoo nyumbani ili maovu yawe wazi, tumeumizwa sana, watu wengi wamepotezwa sana. Katiba mbovu wanufaika ni wanaojipendekeza tu na kwenda huko lumumba na ajira zipo lumumba tu.
Kama uliweza kuwatetea watu mahakamani huko Tarime Nyamongo, Geita, Ulyankulu, Kahama na kila walikoonewa, hakika ni shetani pekee anayeweza kukunyima kura.
Lissu njoo wafanyakazi wamenyanyaswa sana, wamepuuzwa sana, wamedhurumiwa sana bado wana mishahara ya Jakaya.
Tulikuombea umepona.
Waliotaka kukuuwa walikufukuza ubunge na kukukata mshahara yote hiyo ilikuwa ni kuhakikisha hauponi tu. Sasa aibu yao.
Lissu njoo tutakuja kukupokea hapo JNIA.
Lissu ni TUMAINI JEMA
Sawa mkuu, maana niliona kuna sehemu umeandika "hata huku Ujerumani Adolf Hittler....." nikajua upo UjerumaniNipo DSM natoa huduma kwa wenye shida, hasa wagonjwa kwahiyo nipo sana hapa
Kupata uraisi hakutokani na kupigiwa kura nyingi! Katiba inasema kuwa atakayetangazwa na Tume ya uchaguzi ndiye atakekuwa raisi hivyo tume yaweza kumtangaza aliyepata kura chache kuwa mshindi, na tangazo hilo haliwezi kuhojiwa mahakamani. Nani ana ubavu wa kumtangaza mpinzani kuwa kashida uraisi? Mtu anayedhani hilo linawezekana huwa ana roho ngumu sana. Tafakari zaidi!Hakika ni shetani pekee anayeweza kumnyima Tundu Lissu kura. Shetani peke yake ndiye anayefurahia maovu.
Inawezekana vipiUsijali,Mussa yuko katika maandalizi ya kuja kuokoa wana wa Israeli siku si nyingi.
Ndugu Mleta mada, Ujio wa Tundu Lissu ni furaha ya kila Mtanzania. kwani ni Mwana wetu na Mtanzania mwenzetu. Inasikitisha sana watanzania tunapo jidhadhalilisja na kumtukuza mtu mmoja, na katika ARENA ya kisiasa Tanzania na Africa, tuna tabia ya kumtukuza mtu.
Mfano Baada ya uhuru kupatikana , Tulimtukuza Mwalimu pekee, ili hali kuna wengi waliomtangulia kupigania uhuru na waliokuwa nae ambao hadi leo hawajulikani. Chadema ama Upinzani kuna wengi walikuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mengi ya ukombozi au maendeleo, lakini hatuwaoni kwa sababu ya mila ya kujenga MIUNGU WATU " MAHALI UMCHUKUAPO MMOJA , UNAWAACHA WENGI WAZURI". Tushukuru ndugu Lissu Mola aliimpa uwezo wa Maisha yake kuendelea, Jee alipopigwa Marisasi ingekuwa siku yake, jee unamaanisha leo musingekuwa na wakumikombowa.
Vijana huu ni wakati wenu kuweni na busara za kuweza kuwa na misimamo ya kujitegemea badala ya kujenga MIUNGU WATU, Kama Vijana wa Chadema mnao vijana wazuri kama akina Mnyika, Esther, Sugu, Nyalandu,MSigwa na kadhalika, kwanini hawa wasifae kuwa vinara wa ukombozi wenu, au wasiwe watu mnaoweza kuamka Alfajiri kwenda kuwapigia kura.
Wacheni kujidhalilisha
mbona nyie Magufuli munamwita mtukufu unaona wivu na wengine wakiwa na wao mbona mumewafukuza watu uwanachama waliotaka kugombea uraisi kama akina Membe
Ndugu hebu soma vizuri bandiko langu, sikumzungumzia Magufuli, ila nina mzungumzia Lissu.View attachment 1515323
kwan unadhan watu wanamtukuza, kazi nzuri inajiongelesha yenyewe mbna hata nje ya nchi watu wanamkubali na ameshinda president of the year mara kibao, tatizo lenu mnajirundika kwenye post moja cdm nzima mkipeana moyo na akitokea mtu anaongelea tafauti anarushiwa tusi, sasa nyie endeleeni ivo ivo october uyo musa wenu akipata ata 10% njoo niprove wrong, Infact we fanya tu research yako kitaa watu ata hawana ham na uchaguzi tena, mada iliopo mezani ni kubadilisha katiba magufuli aendelee awamu za kutosha nyie endeleni kumsubiri musa wenu mtamuapisha kama raila
Ndugu hebu soma vizuri bandiko langu, sikumzungumzia Magufuli, ila nina mzungumzia Lissu.
Final UpdateWanabodi,
Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.
Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.
Paskali
Baada ya kupigw kibao na wajumbe sasa naona akili inakukaa sawaFinal Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.
Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.
Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!
Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"
Paskali