Huyo hakuingia katika mchujo huo kwa nia ya kushinda.
Hiyo ni mbinu ya kuweka jina, ili hapo wakati ukiwadia, wakati wa uteuzi, jina lifanye kazi. Wote hao, kama akina Mashinji, mkakati wao ulikuwa ni huo huo.
Wanasubiri uteuzi endapo Magufuli ataendelea kuwepo.