Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Chinese Virus....Magu shot himself in the footMwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.
Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.
Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Ndio maana nakuambia uwezo wako wa kufikiri na kug'amua mambo ni mdogo sana.
Nasema hivi reasoning yako iko poor. Wewe ukitembelewa na wageni kwako zaidi ya mia mbili utaweza kujua nani amekuambukiza Covid 19?Nakuambia utatupa marking scheme.
Hakuna tatizo mungu kamuonyesha mwanasayansi feki kua lazima alambe udongo kwa damu za aliowapoteza,leo tz ni xmas,idd,pasaka yani sikukuu zote zimeumana full shangwe
Mimi ninacho jua Magufuli saivi yupo mbinguni anakula raha kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa uaminifu mkubwa na imani aliyoinyesha kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi wale wote wenye mapepo ndio wapinzania wakubwa wa mtu wa Mungu, hivyo ndivyo ninavyo elewa katika imani.Wewe mwenyewe shetani.
Nasema hivi reasoning yako iko poor. Wewe ukitembelewa na wageni kwako zaidi ya mia mbili utaweza kujua nani amekuambukiza Covid 19?
Wewe nawe mwanaume? Jikague kama unao uume utupe jibu. Wanaume wanajulikana.Hebu tulia ww acha kupotezea wanaume muda
Sikutukanikwa sababu uliingia JF kwa ubishoo tu. Ulichokiposti ni cha kitoto, unataka serikali iweke pasipoti ya kuingia huko! GREAT THINKER hawezi kuposti hiki ulichoandika, utakuwa ni mtoto wa darasa la tano.Huna akili pumbavu. Kaa kimya.
Huna akili na huwezi kuelewa ndio maana unafikiri habari za passport ambazo hazina uhusiano na mada. Pumbavu huna akili.Sikutukanikwa sababu uliingia JF kwa ubishoo tu. Ulichokiposti ni cha kitoto, unataka serikali iweke pasipoti ya kuingia huko! GREAT THINKER hawezi kuposti hiki ulichoandika, utakuwa ni mtoto wa darasa la tano.
Tembelea Post zangu ujifunze.
Sikutukani mtoto, angalau ungeingia darasa la saba ungepevuka.Huna akili na huwezi kuelewa ndio maana unafikiri habari za passport ambazo hazina uhusiano na mada. Pumbavu huna akili.
View attachment 1728508
hii sio coincidence, kuna tatizo mahali. our statesmen are falling and our country is dividing.
Very possible.... Halafu kwenye kuzika hawatokei.Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.
Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.
Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
alikua msaidizi wa katibu. na baadae sjui akawa katibu wa RAS wa mkoa gani sjui.. im not so sure tangazo lake la Tanzia lipo humu sema mambo mengi muda mchache nkikutaftie uzi wake ntakosa mengi yanaondelea kwenye kamati kuu lolNisaidie huyo baada ya Mahiga ni Nani?. Leo mara ya pili nauliza sijibiwi.
They have eyes but don't see.Mwanzoni mwa mwaka huu tumeshuhudia ugeni mkubwa ukimilinika kuelekea Chato huku tukiona hakuna tahadhali juu ya ugonjwa wa Covid 19 ikichukuliwa. Tulishudia waziri wa mambo ya nje wa China, rais wa Mozambique, rais wa Zanzibar na aliyekuwa makamu wake.
Baada ya muda sio mrefu tukasikia maalim Seif anaumwa na baadae kufariki. Baada ya muda tena aliyekuwa Chief Secretary ndugu Kijazi alifariki. Huku akiacha waziri Mpango akiwa hoi kitandani.
Tukiunga dots tutakuja kuona kuwa kuna tatizo ambalo lililetwa na ugeni uliokuja Chato ila hakuna tahadhari zilizochukuliwa. Hapa kuna jambo la kujifunza. Tuache kuwa tunachukulia kila kitu kwa mazoea.
Mbona una mawazo mgando we kijana? Mpaka usikie Mchina kafa ndio ujue aliambukiza mtu?Acha kupanick dogo, mtaje mchina aliyeugua kwenye ule msafara unaoutuhumu usilete story Za vijiwe vya wachovu.