Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

Ujue ni kwa nini wasichana wanakuwa na mahusiano na watu wazima

Kaka unafahamu kuwa huyo mbaba kamuacha mama yake huyo mdada nyumbani?Pia unafahamu kuwa huyo mababa ana watoto wa kike kama huyo mdada?au unaangalia na kuongelea upande mmoja...?

Okay kama baba ana watoto wa kike na hawakosi chochote,anawatimizia kila wanachotaka.......na kama ukiacha kujadili kwa mlengo wa kiimani....na kama amejitokeza binti wa kike hana baba na bado anapenda kudeka, na ni attention seeker.......nikupe mfano mdogo....

I have a friend,in his mid thirties ,just meet with binti in his early twenties, they became lovers...the young lady constsntly complain that she is mistreated by the guy that he doesn't give her much attention...and she would proceed to mention her father...if my father were around...he would care this much and this much.

So sometimes it is very psychological ...there are special attention needs a woman would only get from a grown up men...am not sure of the opposite...does it hold on the opposite side
 
Hakuna cha care wala upuuz gani ni washenzi tu.hawataki kufight for their future they always after somebody to think for them easily
 
Utamuona msichana mbichi kabisa mrembo nadhifu anatoka out na mtu mzima ambaye kimtazamo ni baba yake au babu yake kabisa, watu wanasema labda ni kwasababu gold digger na hawana mapenzi kwa hao watu wazima wengine wanasema ni kwa sababu ya pesa tu za hao watu wazima. Lakini kiukweli kuna kitu tofauti na mawazo ya watu wengi kwa hawa wadada kuwa na mahusiano na watu wazima na wala siyo sababu za pesa za hao watu wazima.

Kitu cha kwanza wasichana wengi wanapenda attention: Wanapenda mwanaume ambaye anaweza kuwajali (Pet them) kuwafanya wao the focus and centre of their lives. Watu wazima wana watreat wasichana namna hii tofauti na vijana wengi wafanyavyo.

Mtu mzima anajisikia proud sana kwa kuwa na msichana mbichi, na anajisikia very appreciative of what he has, kwa hiyo anamtreat with very much reverence. He will pay her all the attention she needs, and pet her, pmoja na kumtreat her kama malkia.

But a younger boyfriend will not give her all the attention or treat her the same way. Mwana MMU mwenzangu, nakaribisha mawazo yako.
Hamna kitu hapo, kinachosumbua ni njaa tu, baadhi ya dada zetu hawawezi kuzificha njaa zao, matokeo yake wanatoka na baba na hata babu zao! Hii ni aibu kwao!
 
ebu tuwasubiri mabinti zetu watueleze kwa undani zaidi.

ila kwangu mimi naona hiyo ni laana kwa hawa mabinti,

kuuchungulia uchi wa baba yako / mama yako ni laana mbaya sana.

binafsi binti ninayemzidi zaidi ya miaka 15 siwezi hata kujenga mazoea naye, vile vile mamaa anayenizidi zaidi ya miaka 15 sitaki kabisa hata kumtania kuhusu mambo ya kikubwa.
Kwani Eva pale bustani ya Eden alikuwa na umri sawa na Adam? Si alikuwa tu kama babu yake manake alishachapa maisha mpaka akaboreka ndio Eva akaumbwa hebu acheni ulimbukeni umri co kigezo cha mapenzi mzee wa miaka 86 na mbibi wa miaka 71 wote ni wazee tu
 
wewe sasa utasababisha watu watafute vibabuuu
 
Waambie mama siku izi wamegundua kuchungulia chanel wakiona mdada upo safi ndio wanakutaka hata kama huna mvuto wanaangalia salalio kina kaka acheni kubweteka mkisubiria kuwa marioo
hawana stress
they give us a lot of care
huwaombi bali wanakupa
they know how a woman means
they are financial stable as they dont have many responsibilitieswww as paying rent,school wfees
long live wazee
 
ebu tuwasubiri mabinti zetu watueleze kwa undani zaidi.

ila kwangu mimi naona hiyo ni laana kwa hawa mabinti,

kuuchungulia uchi wa baba yako / mama yako ni laana mbaya sana.

binafsi binti ninayemzidi zaidi ya miaka 15 siwezi hata kujenga mazoea naye, vile vile mamaa anayenizidi zaidi ya miaka 15 sitaki kabisa hata kumtania kuhusu mambo ya kikubwa.

Huo ni msimamo au mtizamo wa kwako na upo sawa. Lakini ujue kuna wengine nao wanayo mitizamo ambayo sio kama ya kwako na wao wapo sawa ili mradi hawavunji sheria. Dunia ni nzuri kwa kuwa na diversity. Na everything is relative.
 
...mejaribu kusoma in a reverse order meshindwa kuelewa pia
 
Najua msichana mmoja, alikuwa 19 and she fell for a 35yr old.....kwao hela zipo. Angetoka home na gari yao to a date na man wake to fancy places. She paid for the dates sometimes. She even thought of marriage. They didn't work out lakini point ni hela was not the issue so msilazimisheeee
 
hahahaha bora umejihami lakini ushahidi unaonyesha kuwa hao unawalenga ni baba zenu kwa dada wa rika zenu..Pia wana wama zenu wa rika kama za mama za huyo mdada..Tuachane na hulka ya tabia hii

Baba ni baba. Bwana ni bwana, mnajaribu sana kuconnect the two but inabaki palepale, hawana uhusiano
 
Baba ni baba. Bwana ni bwana, mnajaribu sana kuconnect the two but inabaki palepale, hawana uhusiano


We hutaki kukubali ukweli kwa kuwa umeshakua addicated na kutembea na wame za watu Period..huwezi kutembea na kumvulia nguo mtu mwenye umri na baba yako ukasema unahitaji attention?Attention is not something you can shop..attention is two way traffic.....
 
Its true na vijana wengi siku hizi they're not mannered hata ukiona mavazi, na maongezi yao hayaoneshi kumjali huyo binti baadae lakini pia kwa kuwa vijana hawataki kufanya kazi mabinti wanaogopa kutegemewa kiuchumi baadae
 
kwani mtu unapoingia kwenye mapenzi unazingatia vitu gani hasa? ni umri?kipato?caring? au ni true love?
 
We hutaki kukubali ukweli kwa kuwa umeshakua addicated na kutembea na wame za watu Period..huwezi kutembea na kumvulia nguo mtu mwenye umri na baba yako ukasema unahitaji attention?Attention is not something you can shop..attention is two way traffic.....

mtoto wa mwenzio kizuka,akizuka zuka naye.
 
hawana stress
they give us a lot of care
huwaombi bali wanakupa
they know how a woman means
they are financial stable as they dont have many responsibilities as paying rent,school fees
long live wazee

hata Bishanga anafanya haya?
 
Back
Top Bottom